< Baloma 11 >

1 Lino ndepushungeti, “Sena Lesa walataya bantu bakendi?” Sobwe, nkacela kwinshika pakwinga ne njame nde mu Islayeli, umo wa bashikulu ba Abulahamu, kayi wamukowa wa Benjamini.
Basi, nauliza: je, Mungu amewakataa watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni Mwisraeli mzawa wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
2 Lesa nkalabakana bantu bakendi abo mbwalasala kaindi. Mucinsheti mu Mabala muli maswi ayo mushinshimi Eliya ngalikudandaulila Lesa eti ababoneshe bukalu bwakendi Baislayeli? Pakwinga walambeti,
Mungu hakuwakataa watu wake aliowateua tangu mwanzo. Mnakumbuka yasemavyo Maandiko Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung'unikia Mungu kuhusu Israeli:
3 “Mwami, bantu aba balashina bashinshimi benu ne kuwisha nteme shenu. Ndashala ndenka, lino nenjame balandanga kunshina”
“Bwana, wamewaua manabii wako na kubomoa madhabahu yako. Ni mimi tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?”
4 Lino Lesa walamukumbula aconi? Walambeti, “Ndalibikila bantu bakwana myanda makumi asanu ne abili abo batana bapaililapo Baala, lesa wabundengamano usa.”
Je, Mungu alimjibu nini? Alimwambia: “Nimejiwekea elfu saba ambao hawakumwabudu Baali.”
5 Lino encocibele ne cino cindi. Kulashala Baislayeli bang'ana abo Lesa mbwalasala mu kwina moyo kwakendi.
Basi, ndivyo ilivyo pia wakati huu wa sasa: ipo idadi ya waliobaki ambao Mungu aliwateua kwa sababu ya neema yake.
6 Neco, na walabasala mu kwina moyo kwakendi, lino nte pacebo ca bintu mbyobalensa. Necalaba mushobo uyo kwina moyo kwakendi ne kwalabula kuba kwinamoyo kwancinencine sobwe.
Uteuzi wake unatokana na neema yake, na si kwa sababu ya matendo yao. Maana, kama uteuzi wake ungetegemea matendo ya watu, neema yake haingekuwa neema tena.
7 Aconi lino? Baislayeli nkabalacanapo mbyobalikuyanda. Nsombi bantu bang'anowa abo Lesa mbwalasala ebalabicana. Bashala bonse balashinka matwi ku maswi a Lesa,
Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata kile walichokuwa wanakitafuta; lakini wote walioteuliwa walikipata. Wengine walipumbazwa,
8 Mbuli Mabala ncakute kwambeti, “Lesa walabapa moyo wakuta nyumfwishisha bintu, nomba kushikila lino nkabakute kubona nambi kunyumfwa.”
kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao.”
9 Lino Dafeti ukute kwambeti, “malyalya abo abe kose ne liliba lyabo, kayi bawe panshi ne kupewa cisubulo.
Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.
10 Menso abo apofole kwambeti bacileke kubona, kayi misana yabo ikonkomane cindi conse mu mapensho abo.”
Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!”
11 Ndepushunga, “Sena Bayuda balalisuntula ne kuwila limo kwakubula kayi kupunduka?” Sobwe. Nsombi pacebo ca bwipishi bwabo lupulusho lwalashika kuli bantu ba mishobo naimbi, kwambeti Bayuda babenshile minyono.
Basi, nauliza: je, Wayahudi wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na kosa lao ukombozi umewajia watu wa mataifa mengine, ili Wayahudi wapate kuwaonea wivu.
12 Na bwipishi bwa Bayuda bwalaleta bwinishi bwingi ku bantu pacishi capanshi conse, neco kayi na kwalilwa kwabo kwalaleta bwinishi bwingi ku bantu ba mishobo naimbi. Nomba nikukabeconi Bayuda bonse beti bakapuluke bakasankana pamo ne bashoma bashobo naimbi, ekwambeti colwe nicikakonempe nditu.
Kosa la Wayahudi limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, na utovu wao kwa kiroho umeleta baraka nyingi kwa watu wa mataifa mengine. Basi, ni dhahiri zaidi kwamba utimilifu wao utasababisha baraka nyingi zaidi.
13 Lino ndambilinga njamwe mobakunsa. Pacebo cakwambeti ndalatumwa ku bantu bamishobo naimbi, neco, nkute kutwanga pancito iyi.
Basi, sasa nawaambieni ninyi watu wa mataifa mengine: Maadamu mimi nimekuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine, ninajivunia huduma yangu,
14 Kayi nkute kuyandeti ndibapeshe bufuba bantu bamushobo wakame, ne kupulushapo nabambi pali endibo.
nipate kuwafanya wananchi wenzangu wawaonee ninyi wivu, na hivyo nipate kuwaokoa baadhi yao.
15 Nomba na bantu bapacishi conse capanshi bakabweshiwa kayi mu bwanse ne Lesa pacebo ca kubabika pambali Bayuda, nomba nicikabe aconi nendi akabatambula kayi? Nibakabeti bantu bafwa balapunduku kubafu.
Maana ikiwa kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati watakapokubaliwa na Mungu? Wafu watafufuka!
16 Na muntu upa Lesa cimpansha ca shinkwa cakutanguna, ekwambeti shinkwa wonse niwa Lesa. Kayi na muntu upa Lesa muyanda wa citondo ekwambeti ne misampi yonse niya Lesa.
Ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri pia.
17 Amwe bantu bakunsa njamwe mulyeti misampi yacitondo cama olivi camucisuwa, mwanungwako ku citondo cabyalwa camaolivi. Nomba lino mulamanta musena wa misampi isa yalatimbulwako. Pacebo ici, mulatambulungonga ngofu sha mumiyanda ya citondo cakubyala ca maolifi, okwambeti cilyeti Bayuda.
Naam, baadhi ya matawi ya mzeituni bustanini yalikatwa, na mahali pake tawi la mzeituni mwitu likapandikizwa. Ninyi watu wa mataifa mengine ndio hilo tawi la mzeituni mwitu; na sasa mnashiriki nguvu na utomvu wa mzeituni bustanini.
18 Weco mutabanyanshanga sobwe abo balakwempulwako mbuli misampi isa. Nomba ngamulitukumuna aconi? Amwe njamwe kamusampi owa. Ntamwe mwekata miyanda sobwe, nsombi miyanda endiyo yamwikatilila.
Basi, msiwadharau wale waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia, kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza ninyi.
19 Nomba amwe ngamwambeti, “Cakubinga misampi isa yalakwempulwa kwambeti banjikatanishepo ame.”
Lakini utasema: “Matawi yalikatwa kusudi mimi nipandikizwe mahali pake.”
20 Cakubinga, nabo balakwempulwako pakwinga nkabalashoma, nomba amwe cebo cakushoma, lino nimwikale pabusena ubo, nsombi kamutatwangilapo, lino kamubani ne buyowa.
Sawa! Yalikatwa kwa sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe na tahadhari.
21 Lesa nkalabalekowa Bayuda abo balyeti misampi ya citondo yancinencine. Sena lino mulayeyengeti nakamuleke amwe?
Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
22 Kamwinshibani kwambeti Lesa ni wankumbo, nsombi kayi nimukalu. Ku bantu abo balawa wakalala, nsombi kulinjamwe ukute inkumbo, na mupitilisha kwinsa bintu byela kuleta nkumbo shakendi. Namubula kwinseco nenjamwe nakamukwempule.
Kumbuka, basi, jinsi Mungu alivyo mwema na mkali. Yeye ni mkali kwa wale walioanguka, na ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo, nawe pia utakatwa.
23 Nomba na abo Bayuda basanduka nekutatika kushoma Klistu, nakabanungeko kucitondo. Pakwinga Lesa ukute ngofu shakubanungako kayi.
Nao Wayahudi, hali kadhalika; wakiacha utovu wao wa imani, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
24 Nomba amwe bantu ba mishobo naimbi mulyeti misampi ya citondo ca ma olivi camucisuwa, Lesa walamukwempula kucitondo calamusema, nekumununga kucitondo ca ma olivi cakubyala. Lino na cilico, sena lino ngawalilwa kunungako ku citondo cama olivi cakubyala misampi iyo yalakwempulwa? Bayuda balyeti citondo ca maolifi cakubyala, neco capuba kwambeti Lesa ainungeko misampiyo kayi.
Ninyi watu wa mataifa mengine, kwa asili ni kama tawi la mzeituni mwitu, lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika mzeituni bustanini mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa asili ni kama mzeituni bustanini, na itakuwa jambo rahisi zaidi kwao kupandikizwa tena katika mti huohuo wao.
25 Nomba lino mobanse bame, pali casolekwa ncondayandangeti mucinshibe, kutineti ngamulibona kuba bamano, nicakwambeti kuyuma myoyo kwa Baislayeli nteti kukapitilile nsombi nikukapwe mpaka cindi cibelengelo ca bakunsa beti bakenshibe Lesa cikakwane.
Ndugu zangu, napenda mjue ukweli huu uliofichika msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi wa Wayahudi ulikuwa ni wa muda tu, mpaka watu wa mataifa mengine watakapokuwa wamemfikia Mungu.
26 Popelapo bonse Baislayeli nibakapuluke. Mbuli mabala ncalambangeti, “Mupulushi nakafumine ku Siyoni, nakafunye bwipishi bonse bwa bashikulu bendi Yakobo bonse.
Hapo ndipo taifa lote la Israeli litakapookolewa, kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: “Mkombozi atakuja kutoka Sioni, atauondoa uovu wa Yakobo.
27 Ninkapangane nabo cipangano copeleci ndakabafunyinapo bwipishi bwabo.”
Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
28 Pacebo cakukana Mulumbe Waina, Bayuda balaba balwani ba Lesa, kwambeti amwe bantu bamishobo naimbi mucaninepo bwinishi. Nsombi na Lesa walabasala, nabo nibansebendi basunika pacebo ca bamashali babo bakaindi.
Kwa sababu wanaikataa Habari Njema, Wayahudi wamekuwa adui wa Mungu, lakini kwa faida yenu nyinyi watu wa mataifa. Lakini, kwa kuwa waliteuliwa, bado ni rafiki wa Mungu kwa sababu ya baba zao.
29 Pakwinga Lesa nkakute kushinta mano na lakuwu muntu ne kumupa colwe.
Maana Mungu akisha wapa watu zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba amefanya hivyo.
30 Kaindi amwe bamishobo naimbi nkamwali kumunyumfwila Lesa, nsombi lino Lesa lamwinshilinga inkumbo pacebo ca kutanyumfwa kwa Bayuda.
Hapo awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.
31 Weco naboyo Bayuda nkabalanyumfwilinga Lesa pacino cindi, nsombi nipacebo cakwambeti naboyo bakatambule nkumbo sha Lesa pacindi cayandika, nkumbo nshomulatambulu.
Hali kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma ya Mungu.
32 Pakwinga Lesa walasandula bantu bonse kuba basha cebo ca kutanyumfwa, kwambeti nendi abanyumfwile nkumbo bonse. (eleēsē g1653)
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
33 Buboni bwa lesa nibunene cikamba. Mano akendi nkakumu ne lwishibo lwakendi nkalwishibiki. Nomba niyani welela kunyumfwishisha kombolosha kwakendi? Kayi niyani welela kwishiba nshila shakendi?
Utajiri, hekima na elimu ya Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu:
34 Mbuli Mabala ncakute kwambeti, “Niyani welela kwinshiba miyeyo ya Lesa, niyani welela kumupa mano?”
“Nani aliyepata kuyajua mawazo ya Bwana? Nani awezaye kuwa mshauri wake?
35 “Nomba niyani walamupapo kantu Lesa kwambeti nendi amubweshele kantu ako?”
Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?”
36 Pakwinga endiye walabilenga byonse, kayi byonse nibiyumi kupitila mungofu shakendi, Kayi mpobili cebo ca endiye. Bulemeneno bube bwakendi cindi conse. Amen. (aiōn g165)
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina. (aiōn g165)

< Baloma 11 >