< Kuyubulula 13 >

1 Nomba cinjoka calakemana mulombe lwa lwenje. Kayi ndalabona cinyama kacitumpunuka mu lwenje, calikukute meca likumi ne mitwi isanu ne ibili. Pa lica lili lyonse palikuba ngowani, kayi pamutwi uliwonse palikuba pa lembwa lina lya kusebanya Lesa.
Kisha joka alisimama juu ya mchanga ufukwe wa bahari. Kisha nikaona mnyama akitoka kwenye bahari. Alikuwa na pembe kumi na vichwa saba. Katika pembe zake kulikuwa na taji kumi, na katika kichwa chake kulikuwa na maneno ya kufuru kwa Mungu.
2 Ico cinyama calikubeti kankonongo, myendo yalikubeti ya malama kayi mulomo walikubeti wa nkalamu. Cishinshimwe cisa calayaba ngofu yaco ne cipuna kayi ne bwendeleshi ku cinyama.
Huyu mnyama niliyemuona ni kama chui. Miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Yule joka akampa nguvu, na katika kiti chake cha enzi, na mamlaka yenye nguvu sana ya kutawala.
3 Mutwi umo wa cinyama walikuboneketi cilonda cinene cakufwa naco, nsombi cilondeco calapola, palashalowa mubata. Bantu bonse pa cishi capanshi balikukonkela cinyama balakankamana.
Kichwa cha mnyama mmojawapo kilionekana kuwa na jeraha kubwa ambalo lingesababisha mauti yake. Lakini jeraha lake likapona, na dunia yote ikashangazwa na ikamfuata mnyama.
4 Muntu uli yense walikukambilila cishinshimwe cisa, pakwinga ecalapa bwendeleshi kucinyama. Kayi naco cinyama balikucikambilila, pakwambeti, “Inga niyani welaneti cinyama? Inga niyani sena wela kulwana naco?”
Pia wakamwabudu joka, maana alimpa mamlaka yule mnyama. Wakamwabudu mnyama pia, na wakaendelea kusema, “Nani kama mnyama? na “Nani atapigana naye?”
5 Cinyama calasuminishiwa kwamba maswi akutwanga ne kusampula Lesa. Calasuminishiwa kuba ne ngofu sha bwendeleshi kwa myenshi makumi ana ne ibili.
Mnyama akapewa mdomo ili azungumze maneno ya kujisifu na matusi. Aliruhusiwa kuwa na mamlaka kwa miezi arobaini na miwili.
6 Calatatika kutukana Lesa ne lina lyakendi ne musena nkwakute kwikala kayi ne bonse bakute kwikala kwilu.
Hivyo mnyama alifungua mdomo wake kuongea matusi dhidi ya Mungu, akalitukana jina lake, eneo alililokuwa akiishi na wale wanaoishi mbinguni.
7 Calasuminishiwa kulwana ne bantu ba Lesa ne kubakoma, kayi calapewa ngofu sha bwendeleshi pa mishobo yonse ne bishi byonse ne milaka yonse kayi ne pa bantu ba nkanda shapusana shonse.
Mnyama aliruhusiwa kufanya vita na waamini na kuwashinda. Pia, alipewa mamlaka juu ya kila kabila, watu, lugha na taifa.
8 Bantu bangi bekala cishi capanshi nibakacikambilile cinyama ico. Aba ebantu balabula kulembwa mulibuku lyabuyumi. Nomba abo bakute maina alalembwa mu libuku lya buyumi lya Mwana Mbelele kacitana cilengwa cishi, nteti bakacikambilile.
Wote walioishi duniani watamwabudu yeye, kila mmoja ambaye jina lake halijaandikwa, toka uumbaji wa dunia, katika kitabu cha uzima, ambacho ni cha Mwana Kondoo, ambaye alichinjwa.
9 “Na mukute matwi nyumfwani!”
Ikiwa yeyote ana sikio, na asikilize.
10 “Uyo welela kwikatwa busha nakaikatwe busha.” “Uyo welela kufwa ku cibeshi, cakubinga nakafwe ku cibeshi.” Bantu ba Lesa bela kwikalika cali ne kuba ne lushomo.
Ikiwa mmojawapo amechukuliwa mateka, na kwenye mateka ataenda. Ikiwa mmojawapo ataua kwa upanga, kwa upanga atauawa. Huu ni mwito wa utulivu na uvumilivu na imani kwa hao walio watakatifu.
11 Kayi ndalabona nacimbi cinyama calikufumbuka panshi. Calo calikukute meca abili alyeti meca a mwana mbelele, nomba calikwambeti cishinshimwe.
Tena nikaona mnyama mwingine anakuja kutoka katika nchi. Alikuwa mwenye pembe mbili kama kondoo na akazungumza kama joka.
12 Calo calikukute ngofu shonse shabwendeleshi bwa cinyama cakutanguna cisa. Calikukakatisha cishi capanshi ne bantu bonse mucishi capanshi eti bakambililenga cisa cinyama cakutanguna calikukute mubata wa cilonda.
Alionyesha mamlaka yote katika mnyama yule wa kwanza katika uwepo wake, na kufanya katika dunia na wale walioishi wakimuabudu yule mnyama wa kwanza, yule ambaye jeraha lake limepona.
13 Cinyama ca cibili ici calensa bintu bingi bikankamanisha, calaleta mulilo pa cishi capanshi kufuma mwilu bantu bonse kabebelela.
Akafanya miujiza yenye nguvu, hata akafanya moto ushuke katika dunia kutoka mbinguni mbele ya watu,
14 Ici cinyama cacibili calabepa bantu pacishi capanshi, pakwinsa bintu bikankamanisha pakusebensesha ngofu nshecalapewa ne cinyama cakutanguna. Calabambileti babambe cikoshano ca cinyama cisa calabula kufwa mpocalayaswa cibeshi, nsombi calapitilisha kuba ciyumi.
na kwa ishara aliruhusiwa kufanya, akawadanganya hao wakaao katika dunia, akiwaambia kutengeneza sanamu kwa heshima ya mnyama ambaye alikuwa amejeruhiwa kwa upanga, lakini bado aliishi.
15 Cinyama cacibili balacisuminisha kufubaila muya waco mucikoshano ca cinyama cakutanguna cisa, kwambeti cikonshe kwamba ne kushina bantu bonse balakananga kucikambilila.
Aliruhusiwa kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama ili sanamu iweze kusema na kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe.
16 Ici cinyama calakakatisha bantu bonse, batwanike ne bamakulene, bakute buboni ne babula buboni, basha kayi ne basunguluka kwambeti badindwe cishibisho pa cikasa ca kululyo nambi pa nkumo.
Pia akalazimisha kila mmoja, asiye na thamani na mwenye nguvu, tajiri na maskini, huru na mtumwa, kupokea alama katika mkono wa kuume au katika paji la uso.
17 Paliya muntu wela kula nambi kulisha kali wabula cishibisho ico. Ici cishibisho cilemanininga lina lya cinyama, nambi cibelengelo ca lina lyaco.
Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama, na hii ni namba yenye kuwakilisha jina lake.
18 Pano epali mano. Muntu wacenjela wela kwinshiba mwine bupandulushi bwa cibelengelo ca cinyama, pakwinga cibelengelo ca 666 cilemanininga lina lya muntu.
Hii inahitaji busara. Ikiwa yeyote ana ufahamu, mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.

< Kuyubulula 13 >