< Bafilipi 2 >

1 Buyumi bwenu muli Yesu Klistu bukute kumupa ngofu, kayi lusuno lwakendi lukute kumupa katontoshi. Mukute kwikala ne moyo umo mu Mushimu Uswepa, kayi mukute nkumbo kayi nekuyandana umo ne umo.
Kama kukiwa na jambo lolote la kutia moyo katika kuunganishwa na Kristo, kukiwa faraja yoyote katika upendo wake, kukiwa na ushirika wowote na Roho, kukiwa na wema wowote na huruma,
2 Neco ndamwambilinga kwambeti munkondweleshe nekusuminishana manjeyaulwa, kayi ne kuyandana kumo, nekwikala ne moyo umo, ne muyeyo umo.
basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.
3 Kamutensanga bintu mwakulisuna nambi mwakulitukumuna sobwe, nsombi kulicepesha kuli umo ne munendi. Cindi conse kamuyeyangeti munenu wamupita.
Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza wala kujivuna, bali kwa unyenyekevu kila mtu amhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake.
4 Kamutensanga bintu mbyomusuni amwe mwenka nsombi ne bintu mbyobasuni banenu.
Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
5 Neco mwense mube ne moyo ngwalikukute Yesu Klistu.
Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu:
6 Nendi walikukute bwikalo bwa Lesa, nsombi nkaleleshapo kulyelanika ne Lesa wangofu.
Yeye, ingawa alikuwa na asili ya Mungu hasa, hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa kitu cha kushikilia,
7 Nendi walalichepesha nekwikala bwikalo eti musha, kayi walekala nebuyumi eti bantu bonse.
bali alijifanya si kitu, akachukua hali hasa na mtumwa, naye akazaliwa katika umbo la mwanadamu.
8 Walalicepesha, kayi walenda mubuyumi bwakunyumfwila mpaka kushikila ku lufu lwakendi lwapalusanda.
Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza, akatii hata mauti: naam, mauti ya msalaba!
9 Pacebo ici Lesa walamusumpula kupita byonse nekumupa lina lyapita maina onse.
Kwa hiyo, Mungu alimtukuza juu sana, na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina,
10 Walenseco kwambeti lina lya Yesu lyashumbulwa bintu byonse byakwilu ne byapanshi kayi ne panshi pacishi bikasuntame panshi nekumukambilila,
ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi,
11 kayi byonse nibikasuminishe pantangalala kwambeti Yesu Klistu ni Mwami, kwambeti Lesa Bata balemekwe.
na kila ulimi ukiri ya kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
12 Pacebo ici mwasunika, mwanyumfwilanga cindi conse mpondanga nenjamwe, nomba kamunyumfwilanga nambi ndi patali nenjamwe. Mupitilishe kusebensa mwabuyowa nekututuma kulesheti mwapuluka,
Kwa hiyo, wapenzi wangu, kama vile ambavyo mmekuwa mkitii siku zote, si tu wakati nikiwa pamoja nanyi, bali sasa zaidi sana nisipokuwepo, utimizeni wokovu wenu kwa kuogopa na kutetemeka,
13 pakwinga Lesa endiye ukute kusebensa mulinjamwe, neco kamuyandanga kwinsa bintu byeshikumukondwelesha.
kwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema.
14 Kamwinsanga bintu byonse mwakutatongauka nambi kutotekeshana,
Fanyeni mambo yote bila kunungʼunika wala kushindana,
15 kwambeti mube babula kampenda kayi nekuba bana ba Lesa baswepa abo balekalanga muchishi cabantu bapilinkana mano, kayi beshikulwanisha banabo. Pakati pabantu bamushoboyo mukute kubala eti nyenyeshi pacishi capanshi,
ili msiwe na lawama wala hatia, bali mwe wana wa Mungu wasio na kasoro katika kizazi chenye ukaidi na kilichopotoka, ambacho ndani yake ninyi mnangʼaa kama mianga ulimwenguni.
16 pa kubambila maswi eshikupa buyumi. Neco ame ninkabe necebo cakulinyumfwa pabusuba bwakubwela kwa Yesu. Busuba ubo nicikenshibike kwambeti nkandalasebensa mulimo wabulyo, kayi kwelesha kwakame kuliya kuba kwabulyo.
Mkilishika neno la uzima, ili nipate kuona fahari siku ya Kristo kwamba sikupiga mbio wala kujitaabisha bure.
17 Lushomo lwenu lulyeti cipo ca mulumbo ulabengangwa kuli Lesa, neco na milopa yakame itika pa cipo ca mulumbo, ame ngankondwa pamo nenjamwe mwense.
Lakini hata kama nikimiminwa kama sadaka ya kinywaji kwenye dhabihu na huduma itokayo katika imani yenu, mimi ninafurahi na kushangilia pamoja nanyi nyote.
18 Cimo cimo nenjamwe mubenga mwakondwa, kayi nekusangalala pamo nenjame.
Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kufurahi na kushangilia pamoja nami.
19 Na Mwami Yesu lasuminishi, ndashoma kwambeti ninkachikonshe kutuma Timoti kulinjamwe lino lino, kwambeti nkayuminishiwe ne mulumbe weshikufuma kulinjamwe.
Natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo hivi karibuni aje kwenu, ili nipate kufarijika moyo nitakapopata habari zenu.
20 Endiye enka lamushilingonga mano eti njame.
Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.
21 Aba nabambi balashala balashilinga mano kubintu byabo kutamba pacebo ca Yesu Klistu sobwe.
Kwa maana kila mmoja anajishughulisha zaidi na mambo yake mwenyewe wala si yale ya Yesu Kristo.
22 Mwense muyinshi kendi milimo yaina Timoti njakute kwinsa pakwinga ndalasebensa nendiyeti mwana ne baishi, pakukambauka Mulumbe Waina.
Lakini ninyi wenyewe mnajua jinsi Timotheo alivyojithibitisha mwenyewe, kwa maana ametumika pamoja nami kwa kazi ya Injili, kama vile mwana kwa baba yake.
23 Pacebo ici ndashoma kwambeti nindimutume mwakufwambana, nimbone bintu ncoshi binyendele.
Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.
24 Ndashoma Mwami kwambeti, nenjame ninkese lino lino.
Nami mwenyewe ninatumaini katika Bwana kwamba nitakuja kwenu hivi karibuni.
25 Lino ndayeyeti ngacinyamfwa na ndamutumu kulinjamwe mukwetu Epaflodito. Nendi lasebense pamo nenjame, mushilikali muname, uyo ngomwalatuma kwisa akunyamfwa ame.
Lakini nadhani ni muhimu kumtuma tena kwenu Epafrodito, ndugu yangu na mtendakazi pamoja nami, aliye askari mwenzangu, ambaye pia ni mjumbe wenu mliyemtuma ili ashughulike na mahitaji yangu.
26 Pakwinga layandishishinga kumubona mwense, kayi wongumana pacebo cakwambeti wabanga mulwashi mbuli ncomwalanyumfwa.
Kwa maana amekuwa akiwaonea sana shauku ninyi nyote, akiwa na wasiwasi kwa kuwa mlisikia kwamba alikuwa mgonjwa.
27 Nicakubinga wabanga mulwashi pepi nekufwa. Nsombi Lesa wamubela nkumbo, kayi liyawa kwinshila inkumbo nendi enka sobwe, nsombi nenjame kwambeti ampulushe kumapensho anene.
Kweli alikuwa mgonjwa, tena karibu ya kufa. Lakini Mungu alimhurumia, wala si yeye tu, bali hata na mimi alinihurumia, nisipatwe na huzuni juu ya huzuni.
28 Weco ndayandishishinga kumutuma kulinjamwe kwambeti mukasekelele pamo nendiye mwakamubona, lino kungumana kwakame nikukacepe.
Kwa hiyo mimi ninafanya bidii kumtuma kwenu ili mtakapomwona kwa mara nyingine, mpate kufurahi, nami wasiwasi wangu upungue.
29 Neco kamumutambulani camakasa abili nekukondwa eti mukwetu muli Klistu. Bantu bamushoboyu mwelela kubalemeka.
Kwa hiyo mpokeeni katika Bwana kwa furaha kubwa, nanyi wapeni heshima watu kama hawa,
30 Walayanda kufwa cebo camulimo wa Yesu Klistu. Walalibenga mwakutatina kwambeti ngofwa, kwambeti anyamfwe pa bintu ibyo amwe mbyomwalikubula kucikonshya.
kwa sababu alikaribia kufa kwa ajili ya kazi ya Kristo, akihatarisha maisha yake ili aweze kunihudumia vile ninyi hamkuweza.

< Bafilipi 2 >