< Mateyo 18 >
1 Pacindi copeleco beshikwiya ba Yesu balesa kulyendiye nekumwipusheti, “Inga niyani eshakabe mukulene wapita bonse mu Bwami bwa kwilu?”
Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
2 Yesu walakuwa mwana ne kumwimanika pakati pabo,
Yesu akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
3 ne kwambeti, “Cakubinga ndamwambilishingeti, mwabula kusanduka, ne kubeti mwana uyu, nteti mukengile mu Bwami bwa kwilu pimbi.
Naye akasema: “Amin, nawaambia, msipookoka na kuwa kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
4 Ecebo cakendi muntu uliyense lalicepeshenga mbuli mwana uyu, epeloyo emukulene wapita, mu Bwami bwa kwilu.
Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
5 Kayi uliyense latambulunga mwana ulyeti uyu pacebo cakame, endiye kayi lantambulunga.”
“Yeyote amkaribishaye mtoto mdogo kama huyu kwa Jina langu, anikaribisha mimi.
6 “Uliyense lapeshengeti umo wabana bakute lushomo muli njame kwambeti bapuntwe, celela kuba cena kumusungilila cilibwe camwampelo munshingo ne kumuwala mulwenje.
Lakini kama mtu yeyote akimsababisha mmojawapo wa hawa wadogo wanaoniamini kutenda dhambi, ingekuwa bora kwake afungiwe jiwe kubwa la kusagia shingoni mwake, na kutoswa katika kilindi cha bahari.
7 Malele kubantu bapacishi capanshi pano, cebo cakufula kwabwipishi, Naboyo bwipishi nkabwelela kubula kuboneka, nomba malele kumuntu uyo lapeshengeti banendi bapuntwe.
“Ole kwa ulimwengu kwa sababu ya yale mambo yanayosababisha watu kutenda dhambi! Mambo hayo lazima yawepo, lakini ole wake mtu yule ambaye huyasababisha.
8 “Lino na cikasa cakobe, nambi mwendo wakobe, ukute kukwipisha, kotimbula utaye, caina kuya kwingila ku buyumi koli watimbuka cikasa, nambi mwendo, kupita kuwalwa kumulilo utapu kokute makasa onse, nambi myendo yonse ibili. (aiōnios )
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios )
9 Kayi na linso lyakobe lilakwipishinga, likolobolemo ulitaye, caina kuya kwingila ku buyumi kokute linso limo'wa, kupita kuwalwa mu Gehena kokute menso abili.” (Geenna )
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna )
10 “Cenjelani, kamutanyansha umo wa bana batwanike aba, cakubinga ndamwambilishingeti, bangelo bakwilu nkobali cindi conse pamenso a Bata bakwilu.”
“Angalia ili usimdharau mmojawapo wa hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [
11 Mwana Muntu walesa kupulusha bantu bataika.
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
12 “Inga mwinseconi, na muntu kakute mbelele mwanda umo, imo itaika, sena nkelela kushiya mbelele shisa makumi asanu, ne ana, ne na shimbi shisanu ne shina mumilundu, ne kuya kulangaula imo isa ilataiki?
“Mwaonaje? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je, hatawaacha wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta huyo mmoja aliyepotea?
13 Ndamwambilinga cakubinga kwambeti, aicana ukute kusekelela kupita kusekelela ne shisa shilabulu kutaika.
Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.
14 Nicimo cimo Ba meshenu bakwilu nkabasuni kwambeti umo wabana batwanike aba ataike?”
Vivyo hivyo, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa hawa wadogo apotee.
15 “Na mwanse wakobe lakwipishili koya kulyendiye, wenga umuleshe cilubo cakendi, mubandike pambali mobabili, na mulanyumfwana ekwambeti ulamubweshe munshila,
“Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako.
16 Nomba na ubula kukunyumfwila, umantepo umo nambi babili, nambi batatu. kwambeti makani nakashininkishiwe ne bukamboni bwa bantu babili nambi batatu.
Lakini kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili ili kila neno lithibitishwe kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.
17 Na naboyo ubula kubanyumfwila, wambileko bamubungano. Kayi na ubula kunyumfwila bamubungano, komubonangeti muntu wamishobo naimbi, nambi shimisonko.”
Kama akikataa kuwasikiliza hao, liambie kanisa. Naye kama akikataa hata kulisikiliza kanisa, basi awe kwenu kama mtu asiyeamini au mtoza ushuru.
18 “Cakubinga ndamwambilishingeti, ciliconse ncoti mukasunge panshi pano, nicikasungwe kwilu, kayi ciliconse nceti mukasungulule panshi pano, nicikasungululwe kwilu.
“Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.
19 Kayi cakubinga ndamwambilishingeti, mwanyumfwana mobabili pacishi capanshi, pakusenga cintu ciliconse, Bata bakwilu nibakamwinshile.
“Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu watakubaliana duniani kuhusu jambo lolote watakaloomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni.
20 Pali babili, nambi batatu balabungana mu Lina lyakame, ame mpondi pakati pabo.”
Kwa kuwa wanapokusanyika pamoja watu wawili au watatu kwa Jina langu, mimi niko papo hapo pamoja nao.”
21 Popelapo Petulo walesa kuli Yesu, ne kumwipusheti, “Nkambo, na mukwetu kapitilishowa kunjipishila, ngandimulekelela tunkanda tungaye? Sena nganshikisha tunkanda tusanu ne tubili?”
Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
22 Yesu walamukumbuleti, “Sena ndambangowa tunkanda tusanu ne tubili, sobwe, nsombi tunkanda makumi asanu ne abili kufulisha tunkanda tusanu ne tubili.”
Yesu akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
23 Lino Bwami bwa kwilu tubwelanishe cisa. Palikuba mwami uyo walakuwa basebenshi bakendi kwambeti, abone cena nkongole nshobalikukute.
“Kwa hiyo Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme aliyetaka kufanya hesabu zake za fedha na watumishi wake.
24 Mpwalatatika kubasesa, kwalacanika musebenshi naumbi walikukute nkongole ya mali angi akwana bina myanda myanda.
Alipoanza kufanya hesabu zake, mtu mmoja aliyekuwa anadaiwa talanta10,000, aliletwa kwake.
25 Mpwalalilwa kubwesha nkongole, Mwami walambeti, musebenshi usa aulishiwe ne mukashendi ne banabendi, ne bintu byonse mbyalikukute, kwambeti nkongole isa ipwe.
Kwa kuwa alikuwa hawezi kulipa deni hilo, bwana wake akaamuru kwamba auzwe, yeye, mkewe, watoto wake na vyote alivyokuwa navyo, ili lile deni lipate kulipwa.
26 Musebenshi usa walasuntama nekufulungana panshi pamenso pa mwami ne kukombeleleti, “Kamupembelelako pang'ana ninkabweshe nkongole yonse.”
“Yule mtumishi akampigia magoti, akamsihi yule bwana akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
27 Mwami usa walanyumfwila luse, ne kumulekelela nkongole yonse, ne kumusuminisheti, ayenga.
Yule bwana wa huyo mtumishi akamwonea huruma, akafuta deni lake lote, akamwacha aende zake.
28 Nomba uyu musebenshi mpwalapula, walakumanya musebenshi munendi walikumukutile nkongole ya mali akwana mwanda umo. Walamwikata mwabukalu ne kumutinga panshingo, ne kumwambileti, “Bwesha nkongole isa!”
“Lakini yule mtumishi alipokuwa anatoka nje, akakutana na mtumishi mwenzake aliyekuwa amemkopesha dinarimia moja. Akamkamata, akamkaba koo akimwambia, ‘Nilipe kile ninachokudai!’
29 Musebenshi munendi usa walaliwisha panshi kumyendo yakendi ne kumukombeleleti, Kamupembelelako pang'ana, ninkabweshe nkongole njonkute kuli njamwe.
“Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’
30 Nendi walakana kumulekelela, walamusungisha mujele, kushikila akabweshe nkongole.
“Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.
31 Basebenshi nabambi mpobalabona calenshika, balepilwa kwine. Neco balaya kumwambila mwami bintu byonse.
Watumishi wenzake walipoona haya yaliyotukia wakaudhika sana, nao wakaenda na kumwambia bwana wao kila kitu kilichokuwa kimetukia.
32 Mwami usa walamukuwa, ne kumwambileti, “Musebenshi waipa obe! Ame ndalakulekelela nkongole yonse mpowalankombelela.
“Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu! Mimi nilikusamehe deni lako lote uliponisihi.
33 Sena nkowanga welela kumwinshila nkumbo ne kumulekelela munobe mbuli ame ncondakwinshila nkumbo ne kukulekelela?”
Je, haikukupasa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhurumia wewe?’
34 Mwami usa walakalala, neco walamuwala mujele kwambeti bakamupenshe, kushikla akabweshe nkongole isa,
Kwa hasira, yule bwana wake akamtia yule mtumishi mikononi mwa askari wa gereza ili ateswe mpaka atakapolipa yote aliyokuwa anadaiwa.
35 Yesu walapwisha kwamba pakwambeti “Ici encoti bakense Bata bakwilu kuli umo ne umo, uyo utalekelele munendi ne moyo wonse.”
“Hivi ndivyo Baba yangu wa mbinguni atakavyomfanyia kila mmoja wenu ikiwa hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”