< Luka 4 >
1 Yesu walafumako kumulonga wa Yolodani kaliwesula ne Mushimu Uswepa. Kayi Mushimu Uswepa walamutangunina kuya mucinyika,
Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akarudi kutoka Yordani. Akaongozwa na Roho Mtakatifu hadi nyikani,
2 umo mucinyika walekalamo masuba makumi ana kasunkwa ne Satana, kayi nkalalyapo kantu kalikonse. Lino masubayo mpwalapwa Yesu walanyumfwa nsala.
mahali ambako kwa siku arobaini alikuwa akijaribiwa na ibilisi. Kwa siku zote hizo hakula chochote, hivyo baada ya muda huo akaona njaa.
3 Lino Satana walamwambileti, “Na njobe mwanendi Lesa, ambila libwe ili lisanduke shinkwa.”
Ibilisi akamwambia, “Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.”
4 Yesu walakumbuleti, “Calembwa mu Maswi a Lesa eti, muntu nkela kuba ne buyumi mubyakulya byonka.”
Yesu akajibu akamwambia, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”
5 Kufumapo Satana walamumanta Yesu nekumutwala pa mulundu nekumulesha bwami bonse bwa mu cishi ca panshi mucindi cing'ana.
Ibilisi akampeleka hadi juu ya mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia kwa mara moja.
6 Lino Satana walambila Yesu eti, “Ubu bonse bwami ne bulemu bwakendi ngankupa, pakwinga bonse bwalapewa kuli njame. Nkute ngofu shakupa muntu ngonsuni.
Akamwambia, “Nitakupa mamlaka juu ya milki hizi na fahari zake zote, kwa maana zimekabidhiwa mkononi mwangu nami ninaweza kumpa yeyote ninayetaka.
7 Lino ndakwambilinga na umfukamine ekwambeti, bonse bulelo ubu nibube bwakobe.”
Hivyo ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”
8 Yesu walamukumbuleti, “Calembwa mu Maswi a Lesa eti, fukamina Mwami Lesa wakobe enka nekumusebensela!”
Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake.’”
9 Kumapwilisho Satana walamutwala Yesu ku Yelusalemu nekumubika pa Ng'anda ya Lesa. Nekumwambileti, “Na omwanendi Lesa liwale panshi,
Kisha ibilisi akampeleka mpaka Yerusalemu, akamweka juu ya mnara mrefu wa Hekalu, akamwambia, “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa,
10 pakwinga calembwa mu Maswi a Lesa eti, ‘Lesa nakatume bangelo bakendi kwambeti bakutabe,’
kwa maana imeandikwa: “‘Atakuagizia malaika zake ili wakulinde;
11 Nibakakubake mumakasa “Kwambeti utalilinga kucimpanta cakobe pamabwe.”
nao watakuchukua mikononi mwao, usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’”
12 Nomba Yesu walambeti, “Calembwa mu Maswi a Lesa eti, ‘Utasunka Mwami, Lesa wakobe.’”
Yesu akamjibu, “Imesemwa, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
13 Nomba Satana mpwalapwisha kumusunka Yesu munshila iliyonse, walamushiya kwambeti akamukonke cindi nacimbi.
Ibilisi alipomaliza kila jaribu, akamwacha Yesu mpaka wakati mwingine ufaao.
14 Yesu walabwelela ku Galileya kakute ngofu sha Mushimu Uswepa. Lulumbi lwakendi lwalaya mucishi conseco.
Kisha Yesu akarudi mpaka Galilaya, akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, nazo habari zake zikaenea katika sehemu zote za nchi za kandokando.
15 Walikeyisha mumanda akupaililamo aba Yuda, kayi bantu bonse balamulemeka.
Akaanza kufundisha kwenye masinagogi yao, na kila mmoja akamsifu.
16 Yesu walaya ku Nasaleti uko nkwalakulila. Kayi pabusuba bwa Sabata walengila mung'anda yakupaililamo, pakwinga ecalikuba cinga cakendi, walemana kwambeti abelenge Maswi,
Yesu akaenda Nazareti, alipolelewa, na siku ya Sabato alikwenda katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome,
17 balamupa libuku lya mushinshimi Yesaya. Lino neye walacalula libuku ilyo nekucana palembweti,
naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:
18 “Mushimu wa Mwami Lesa uli pali njame. Pakwinga lansala kwambeti ndibambile mulumbe waina bapenshi. Lantumu kwambeti ndibambile basungwa eti basungululwe, bampofu babone, bantu bashantililwa balubulwe.
“Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa sababu amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaweka huru wanaoonewa,
19 Kayi lantumu kuya kubambileti, cindi cilashiki ncoti Lesa akapulushe bantu bakendi.”
na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika.”
20 Yesu mpwalapwisha walifweka libuku nekupa shimilumbo wa mung'anda yakupaililamo yaba Yuda, nekwikala panshi. Bantu bonse balikuba mung'anda balamulangilisha.
Kisha akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi na akaketi. Watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.
21 Lino Yesu walabambileti, “Lelo maswi awa ngomulanyumfu alakwanilishiwa”
Ndipo akaanza kwa kuwaambia, “Leo Andiko hili limetimia mkiwa mnasikia.”
22 Bantu bonse balamulumbaisha kayi balakankamana ne maswi ngalikwamba mwamano, neco bantu balambeti “Sena uyu nte mwanendi Yosefe?”
Wote waliokuwako wakamsifu na kuyastaajabia maneno yake yaliyojaa neema, wakaulizana, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?”
23 Lino Yesu walabambileti, “Cancinencine nimukambengeti, ‘mung'anga, lipulushe wenka.’ Kayi nimukambengeti, ‘Twalanyumfwa ncowalensa ku Kapelenawo, nako kuno lino linshile omwine.’
Yesu akawaambia, “Bila shaka mtatumia mithali hii: ‘Tabibu, jiponye mwenyewe! Mambo yale tuliyosikia kwamba uliyafanya huko Kapernaumu, yafanye na hapa kwenye mji wako.’”
24 Ndamwambilinga cakubinga, mushinshimi nkakute kutambulwa cena ne bantu bakumunshi kucomwabo.
Yesu akasema, “Amin, nawaambia, hakuna nabii anayekubalika katika mji wake mwenyewe.
25 “Lino kamunyufwani, mumasuba a Eliya kwalikuba ba mukalubingi bangi balikuyanda lunyamfwo mu Isilaeli, mpokwalaba cilala kwa myaka itatu ne myenshi isanu ne umo mpokwalaba nsala mucishi conse.
Lakini ukweli ni kwamba palikuwa na wajane wengi katika Israeli wakati wa Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita pakawa na njaa kuu katika nchi nzima.
26 Eliya uliya kutumwapo kumuntu uliyense palibasa bonse mu Islayeli, nsombi walatumwa ku mukalubingi mutukashi wakumunshi wa Zalefati, mucishi ca Sidoni.
Hata hivyo Eliya hakutumwa hata kwa mmoja wao, bali kwa mjane mmoja wa Sarepta katika nchi ya Sidoni.
27 Palikuba bantu bangi balikukolwa bulwashi bwamankuntu mu Isilaeli mumasuba amushinshimi Elisha. Nsombi Namani enka wa ku Siliya ewalasengulwa.”
Pia palikuwa na wengi wenye ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, isipokuwa Naamani mtu wa Shamu.”
28 Mpobalanyumfweco, bantu bonse balikuba mung'anda yakupaililamo balakalala.
Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.
29 Popelapo balanyamuka nekumukwekwanya kumufunya mumushi usa, nekumutwala pa mulundu mpobalikuba bebaka munshi wabo kwambeti bamuwale panshi.
Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa, ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali.
30 Nomba nendi walapita pakati pa bantu nekuya.
Lakini yeye akapita papo hapo katikati ya huo umati wa watu akaenda zake.
31 Yesu walaya ku Kapelenawo, mumunshi wa mucishi ca Galileya walikayisha bantu pabusuba bwa Sabata.
Kisha Yesu akashuka kwenda Kapernaumu, mji wa Galilaya, na katika siku ya Sabato akawa anafundisha.
32 Kwiyisha kwakendi, kwalekata myoyo yabantu pakwinga maswi akendi alalesha kwambeti akute ngofu sha bwendeleshi.
Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
33 Mung'anda yakupailila mwalikuba muntu walikuba wekatwa ne mushimu waipa walolobesha ne liswi lyapelu eti,
Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapiga kelele kwa nguvu akisema,
34 “Anu tulamwinshi cani amwe Yesu wa ku Nasaleti? Sena mulesa kutononga? Ndamwinshibi njamwe Waswepa mutumwa wa Lesa!”
“Tuache! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu!”
35 Lino Yesu walakalalila mushimu waipa eti, “Mwena, fuma mu muntuyu!” Neco mushimu waipa walamuwisha panshi pakati pa bantu nekufuma muli endiye cakubula kumulingapo.
Basi Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akisema, “Nyamaza kimya! Nawe umtoke!” Yule pepo mchafu akamwangusha yule mtu chini mbele yao wote, akatoka pasipo kumdhuru.
36 Bantu bonse balakankamana nekwipushanyeti, “Anu ni maswi cini aya cakubinga nendi lambilinga mishimu yaipa cangofu nayoyo ilamunyumfwilinga nekufumamo.”
Watu wote wakashangaa, wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”
37 Neco lulumbi lwakendi lwalanyumfwika mumisena yonse yashunguluka cishi.
Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.
38 Lino Yesu walafumako ku ng'anda yakupaililamo nekuya ku ng'anda ya Shimoni. Kumakwendi Shimoni batukashi balikuba balwashi cimpwita. Lino bantu balasenga Yesu eti abashilike.
Yesu akatoka katika sinagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Basi huko alimkuta mama mkwe wa Simoni akiwa ameshikwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu amsaidie.
39 Neco Yesu walaya kwimana pepi nendiye walakalalila cimpwita, kofuma, cindi copeleco cimpwita calapwa. Kumakwendi abo balapunduka nekutatika kubabambila byakulya.
Hivyo Yesu akamwinamia na kukemea ile homa, nayo ikamwacha. Akaamka saa ile ile, naye akaanza kuwahudumia.
40 Lisuba mpolyalebila abo balikukute banabo balikuba ne malwashi apusana pusana, balabaleta kwalikuba Yesu. Walabekata ne makasa bonse balwashi, popelapo balaba cena.
Jua lilipokuwa linatua, watu wakamletea Yesu watu wote waliokuwa na maradhi mbalimbali, naye akaweka mikono yake juu ya kila mgonjwa, naye akawaponya.
41 Nayo mishimu yaipa yalikufuma mubantu bangi kayolobesheti, “Njobe mwanendi Lesa!” Nsombi nendi walaikalalila ne kwikanisha kwamba pakwinga yalikumwishibeti ni wasalwa wa Lesa.
Pepo wachafu pia wakawatoka watu wengi, nao walipokuwa wakitoka wakapiga kelele, wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu!” Lakini Yesu akawakemea na kuwazuia wasiseme, kwa maana walimjua kuwa yeye ndiye Kristo.
42 Mpobwalaca Yesu walafuma ku Kapelenawo nekuya kubusena kwalikubula kwikala bantu. Bantu balatatika kumuyandaula, mpobalamucana balelesha kumusenga camakasa abili kwambeti ataya kumbi.
Kesho yake, kulipopambazuka, Yesu alikwenda mahali pa faragha. Watu wengi wakawa wanamtafuta kila mahali, nao walipomwona wakajaribu kumzuia asiondoke.
43 Nsombi nendi walabakumbuleti, “Ndelela kukambauka Mulumbe Waina wa Bwami bwa Lesa kuminshi imbi pakwinga encito njalantuma Lesa.”
Lakini yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.”
44 Neco walikukambauka mumanda akupaililamo aku Yudeya onse.
Naye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Uyahudi.