< Luka 24 >
1 Lino mumenemene pa busuba bwa pa Sondo, batukashi abo balanyamuna mafuta ne byanunkila mbyobalabamba kuya kucumbwe.
Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
2 Balacana libwe lyakunkulushiwapo pacishinga ca cumbwe.
Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
3 Nomba mpobalengila mucumbwe baliya kucanamo citumbi ca Mwami Yesu.
lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
4 Kabacikankamana, balabonowa bantu babili balikuba bafwala byakufwala byabekema kabali bemana pepi nabo.
Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao.
5 Batukashi abo balatina nekukotama panshi. Lino bantu abo balabepusheti, “Mulamulangwelinga cani muntu muyumi pakati pa bafu?
Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
6 Nkalimo muno, lapunduku. Kamwanuka maswi ngalamwambila mpwalikuba ku Galileya.
Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba:
7 Eti Mwana Muntu welela kuyabwa mumakasa a bantu baipa, nekupopwa palusanda, nekupunduka kubafu pakapita masuba atatu.”
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’”
8 Popelapo batukashi basa balanuka maswi aya.
Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
9 Mpobalafuma kucumbwe kusa, balambila beshikwiya likumi ne umo kayi ne bantu bambi bonse.
Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote.
10 Abo batukashi balikuba Maliya wa ku Magadala, ne Yohana ne Maliya banyina Jemusi. Balo ne batukashi bambi balikubapo balambila batumwa makani aya.
Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi.
11 Nsombi maswi ayo kubeshikwiya alaboneka eti nikutamokowa, neco baliya kubashoma batukashi abo.
Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi.
12 Nsombi nendi Petulo walanyamuka nekufwambilako kucumbwe. Mpwalashika walabonowa muli bikwisa byonka, walabwelela kung'anda kali wakankamana pabintu byalenshika.
Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.
13 Pabusuba ubo beshikwiya babili balikuya kumunshi walikukwiweti Emausi. Mushinso wa kufuma ku Emausi kushika ku Yelusalemu walikuba wa makilomita akwana likumi ne limo.
Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
14 Mpobalikuya munshila bali kababandika pa bintu ibyo byonse byalenshika.
Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
15 Kabacibandika nekwipushanya, Yesu mwine walesa pepi ne kwendela pamo nabo.
Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
16 Balamubona nomba baliya kumwinshiba.
lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
17 Yesu walabepusheti, “Nimakani cini ngomulenga nkamubandikilana?” Lino nabo balemana kayi cinso cabo nkacili calaka nemapensho,
Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?” Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni.
18 lino umbi walikukwiweti kileopasi walamwipusheti, “Sena njobe mwensu wenka mu Yelusalemu utenshi byalenshika masuba apita kunyuma?”
Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”
19 Yesu walepusheti, “Byamushobocini?” Lino balakumbuleti. Sha Yesu wa ku Nasaleti. Uyo muntu walikuba munshinshimi wali kwinsa bintu byangofu pamenso a Lesa ne bantu bonse.
Akawauliza, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote.
20 Nsombi bamakulene beshimilumbo ne bakulene betu bambi balamutwala kwambeti apewe mulandu wakushinwa, kufumapo balamupopa palusanda.
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
21 Nsombi afwe twalikuba twengashila kwambeti nakalubule ba Isilaeli. Lino palapiti masuba atatu kufuma mpobyenshika byonse ibi.
Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
22 Lino kayi batukashi nabambi pakati petu balatukankamanisha. Nabo balaya kucumbwe mumene mene,
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
23 lino mubili wakendi baliya kucanamo. Mpobalabwela balambeti balabono bangelo abo balabambileti Yesu nimuyumi.
lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai.
24 Bambi mulikoto lyetu balaya kucumbwe ne kucana mbuli ncobalamba batukashi basa, nabo baliya kumubona Yesu.
Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”
25 Lino Yesu walabambileti, “Amwe mobantu baluya, bakute kubula kuyanda kushoma bwangu bintu byonse byalamba bashinshimi.
Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii!
26 Sena nkamucinshi kwambeti mupulushi walaiwa usa walikwelela kunyumfwa byeshikubaba byonse ibi kwambeti engile mubulemu bwakendi?”
Je, haikumpasa Kristokuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”
27 Lino walabasansulwila byonse byalembwa mumalembo onse, kutatikila mumabuku a Mose mpaka ku bashinshimi bonse bilambanga palyendiye.
Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.
28 Mpobalashika pepi ne Yelusalemu, Yesu walenseti lapitililinga.
Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele.
29 Nsombi beshikwiya abo balamukakatisha ne kwambeti, “Kamwikalani nenjafwe pakwinga kulashipi, bonani lisuba lilenga akwibila.” Neco walengila mung'anda ne kwikala nabo.
Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.
30 Mpwalekala nabo pakulyela, Yesu walamanta shinkwa, walalumba Lesa, Kayi walakomona nekubayabila.
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
31 Popelapo menso abo alacaluka. Lino balamwinshiba popelapo walashimanganowa.
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
32 Lino balatatika kwambilaneti, “Cancine ncine maswi akendi ayasanga mumoyo mpwatwambilanga munshila pasa, nekupandulula mabala.”
Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”
33 Kufumapo balanyamuka nekubwelela ku Yelusalemu, uko nkobalacana beshikwiya likumi ne umo kabali babungana pamo nebanabo,
Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
34 kabambeti, “Nicakubinga Mwami lapunduku kubafu, labonekele kuli Shimoni.”
wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.”
35 Lino naboyo babili basa, balasansulula calenshika munshila mpobalamwinshiba Mwami mpwalabakomwena shinkwa.
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
36 Kabacamba babili abo, Yesu mwine walashika nekwimana pakati pabo bonse ne kwambeti, “lumuno lube nenjamwe.”
Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
37 Balo balatilimuka nekutina pakwinga balayeyeti balabononga cipuku.
Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
38 Nendi walabambileti, “Nomba mulapengelenga cani ne kutoshana mumyoyo mwenu?
Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
39 Kamubona makasa nebimpanta byakame, kwambeti njame. Kamunjikata munyumfwe pakwinga cipuku ciliya musuni nebifupa mbuli mbyomulabonongeti ndibikute ame.”
Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”
40 Lino mpwalambeco walababonesha makasa nebimpanta byakendi.
Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake.
41 Nabo baliya kushoma pakwinga balikuba bakondwa, kayi ne kukankamana. Lino walabepusheti, “Sena mukutepo byakulya pano?”
Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
42 Balamupa cipansha ca nswi yakuyoka.
Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
43 Walacitambula ne kulya bonse nkababonako.
naye akakichukua na kukila mbele yao.
44 Lino walabambileti, “Ibi ebintu byondamwambila mpondalikuba nenjamwe. Pasa ndalikwambeti byonse byalembwa pali njame mu Milawo Lesa njalapa Mose, ne mumabuku abashinshimi, ne mulibuku lya kutembaula.”
Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
45 Lino walabanyafwa kwambeti banyufwishishe Mabala.
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
46 Walabambileti, “Byalalembwa nibi; Mupulushi welela kupenshewa ne kupunduka kubafu pabusuba bwabutatu.
Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
47 Kwambeti mulina lyakendi Mulumbe Waina ukakambaukwe kubantu ba mishobo yonse, kutatikila ku Yelusalemu. Kwambeti basanduke mumoyo benseco neye Lesa empwela kubalekelela bwipishi bwabo.
Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
48 Amwe mobakamboni pabintu ibi.
Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
49 Ninkamutumine cipo ico Bata ncobalashomesha, nsombi mwelela kwikala mumunshi muno kushikila mukatambule ngofu sheti shikafume kwilu.”
“Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
50 Lino Yesu walabatangunina kufuma mumunshi umo kuya kushika ku Betaniya. Kopeloko walatambika makasa akendi nekubaleleka.
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
51 Lino kacibaleleka walapansana nabo, nekumantwa kuya kwilu.
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
52 Lino balamukambilila, panyuma pakendi balabwelela ku Yelusalemu kabali bakondwa maningi.
Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
53 Cindi conse balikucanika mu Ng'anda ya Lesa kabalumbaisha Lesa.
Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.