< Yuda 1 >
1 Njame Yuda musebenshi wa Yesu Klistu, ndemukwabo Jemusi. Ndalembelenga njamwe omwalakwiwa ne Lesa omwekala mu lusuno lwa Lesa Bata omwashinkililwa ne Yesu Klistu.
Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, na ndugu yake Yakobo, kwa wale ambao wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na waliotunzwa kwa ajili ya Yesu Kristo:
2 Nkumbo ne lumuno kayi ne lusuno lwesula bibe nenjamwe.
rehema na amani na upendo viongezwe kwenu.
3 Mobanse bame, ndayandishishanga kumulembela kalata kwambeti ndimwambile shalupulusho lwetu twense. Nomba lino ndabono kwambeti caina kumulembela nekumusenga mwangofu kwambeti mulwane nkondo yakucingilisha lushomo Lesa ndwalapa bantu kankanda kamowa.
Wapenzi, wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu sote, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waamini.
4 Ndamulembelenga pakwinga bantu nabambi batanyumfwili Lesa bakute kwiyisha biyisho byabwepeshi balengili pakati penu mwakutabenshiba. Aba ebantu mbwalamba Lesa mu Mabala Aswepa mumisemano yakunyuma kwambeti nakabape cisubulo. Pakwinga bakute kupindamuna makani alambanga lusuno lwa Lesa kwambeti, babepeshelemo bensanga bufule. Ebakute kukana Yesu Klistu Mwami wetu.
Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu pekee na Bwana Yesu Kristo.
5 Lino ndayandanga kumwanushako nabimbi nambi mubishi kendi, kwambeti Lesa walapulusha mushobo wa Islayeli kufuma ku Injipito, mpwalashina bonse babula kumushoma.
Sasa napenda kuwakumbusha ninyi ingawa kuna wakati mlijua kwa ukamilifu kwamba Bwana aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri, lakini baadaye kuwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 Kayi kamwanukani bangelo balabula kwikuta ne bwendeleshi bwabo bwelela, balashiya musena Lesa ngwalabapa. Neco Lesa wabasunga ncetani shitapu mu mushinshe mpaka busuba bwalombolosho. (aïdios )
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios )
7 Kayi kamwanukani minshi ibili ya Sodomu ne Gomola yalikuba yabambana. Umo bantu mobali kwinsa bufule ne bintu nabimbi byasafwana bitayandiki ku muntu. Lesa walabapa cisubulo kwambeti cibe cilesho kuli bonse. (aiōnios )
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios )
8 Nabo bantu aba balenshinga cimocimo, balakonkelenga maloto alepishinga mibili yabo, balakananga bwendeleshi bwa Lesa, balatukananga bilengwa byakwilu byalemekwa.
Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya mtukufu.
9 Nomba Mikayeli mukulene wa bangelo mpobalikulondola ne Satana pakulwanina mubili wa Mose, uliya kumunyanshapo, walamboweti, “Lesa akukanse!”
Lakini hata Mikaeli malaika mkuu, wakati alipokuwa akishindana na ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kuleta hukumu ya uongo dhidi yake, lakini badala yake alisema, “Bwana akukemee!”
10 Nomba bantu aba bakute lisongwe ne pabintu mbyebateshi, balo ncobeshi ni mano acisemwa mbuli abanyama, ebintu bilabashininga.
Lakini watu hawa huleta uongo dhidi ya chochote wasicho kifahamu. Na kile wasicho kifahamu- kile ambacho wanyama wasio na akili hujua kwa silika- haya ndiyo yaliyo waharibu.
11 Bakute malele pakwinga balakonkelenga nshila njalamanta Kaini. Kayi mbuli ncalensa Balamu, balawili mubwipishi cebo cakuyandishisha mali. Balamupandukili Lesa mbuli calensa Kola, neco naboyo balonongeke
Ole wao! Kwa kuwa wametembea katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu. Wameangamia katika uasi wa Kora.
12 Aba ebalepishinga mibungano yenu yalusuno. Baliya nsoni balalinga pamo ne njamwe, balayandangowa byabo. Balyeti makumbi ilanyakangwa ne mpepo, makumbi abula mfula. Balyeti bitondo bitaseme bisepo pacindi cakendi, bitondo ibyo bantu mbyebalashukulu miyanda bilafwililili.
Hawa ni miamba katika sherehe zenu za upendo, wakisherehekea bila aibu, wakijilisha tu wenyewe. Ni mawingu yasiyo na maji, yanayobebwa na upepo, ni miti iliyopukutika isiyo na matunda iliyo kufa mara mbili, iliyong'olewa mizizi
13 Balyeti mankape apa lwenje, bakute kupulisha mapofu abintu byabo byasafwana. Balyeti nyenyenshi shilataiki nshila. Neco Lesa wabasungila mu mushinshe wanjobe bani utapu. (aiōn )
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn )
14 Enoki wamusemano wacisanu ne cibili kufumina kuli Adamu walalalukapo sha bantu aba mpwalambeti, “Bonani Lesa pamo ne bangelo batabelengeke lesanga
Enoko, wa saba katika orodha ya Adamu, alitabiri kuhusu wao, akisema, “Tazama! Bwana anakuja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
15 kombolosha bantu bonse. Kubapa cisubulo pancito shabo shaipa nshebalensa, kayi ne maswi abo aipa ngobalikumwamba.”
ili afanye hukumu juu ya kila mtu, na kutia hatia wote wasiomcha Mungu juu ya matendo yao yote waliyokwishafanya katika njia zisizo za kitauwa, na kwa maneno yote ya ukali ambayo wasio watauwa wameyanena dhidi yake.”
16 Aba endibo beshikutungula, batalumbu bilenshinga banabo, beshikukonkelowa lunkumbwa lwaipa, beshikulitunta, beshikuyandowa kulyela masuku pamitwi ya banabo.
Hawa ni wale wanung'unikao, walalamikao ambao hufuata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine.
17 Nomba amwe anukani ncemwalambilwa nebatumwa ba Mwami wetu Yesu Klistu.
Lakini ninyi, wapenzi, kumbukeni maneno ambayo yalinenwa zamani na mitume wa Bwana Yesu Kristo.
18 Balamwambileti, “Mumasuba akumapwililisho, nikukabe bantu baminyansho, bantu beshikukonkela lunkumbwa lwabo.”
Walisema kwenu, “Katika wakati wa mwisho kutakuwa na watu wanaodhihaki ambao hufuata tamaa zao zisizo za kitauwa.”
19 Aba bantu ebakute kuleta kupansana, bakutekuyandowa byamucishi, mu myoyo yabo muliya Mushimu Uswepa sobwe.
Watu hawa ni watenganishaji, wanatawaliwa na tamaa za asili, na hawana Roho.
20 Nomba amwe nyumfwanani kwambeti buyumi bwenga pantangu kabuli bwashimpa pa lushomo lwaswepa. Kamupailanga mungofu ya Mushimu Uswepa.
Lakini ninyi, wapenzi, kama mjijengavyo katika imani yenu takatifu sana, na kama muombavyo katika Roho Mtakatifu,
21 Ikalani mu lusuno lwa Lesa mpomulapembelelenga Mwami wetu Yesu Klistu uyo eshakamupe buyumi butapu munkumbo shakendi. (aiōnios )
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios )
22 Balesheni nkumbo abo bacitonshanya.
Onesheni rehema kwa wale walio na shaka.
23 Nomba nabambi mubapulushe pakubasompola mumulilo. Nabambi mubaleshe nkumbo mwabuyowa, nsombi mupelane ne byakufwala byabo byatundubila ne lunkumbwa lwa bwipishi.
Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.
24 Bulemu bube kuli uyo wela kubula kumuleketi muwile mu bwipishi, uyo wela kumushikisha pamenso abulemu bwakendi kamuli mwabula kampenda kalikonse.
Sasa kwake awezaye kuwalinda msijikwae, na kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake, bila mawaa na kuwa na furaha kuu,
25 Kuli Lesa mupulushi wetu kupitila muli Yesu Klistu Mwami wetu kube bulemu ne bukulene ne ngofu kayi ne bwendeleshi, kufumina cindi cakunyuma, pacino cindi kayi ne kucindi citapu! Ameni. (aiōn )
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn )