< Yuda 1 >
1 Njame Yuda musebenshi wa Yesu Klistu, ndemukwabo Jemusi. Ndalembelenga njamwe omwalakwiwa ne Lesa omwekala mu lusuno lwa Lesa Bata omwashinkililwa ne Yesu Klistu.
Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:
2 Nkumbo ne lumuno kayi ne lusuno lwesula bibe nenjamwe.
Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.
3 Mobanse bame, ndayandishishanga kumulembela kalata kwambeti ndimwambile shalupulusho lwetu twense. Nomba lino ndabono kwambeti caina kumulembela nekumusenga mwangofu kwambeti mulwane nkondo yakucingilisha lushomo Lesa ndwalapa bantu kankanda kamowa.
Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo.
4 Ndamulembelenga pakwinga bantu nabambi batanyumfwili Lesa bakute kwiyisha biyisho byabwepeshi balengili pakati penu mwakutabenshiba. Aba ebantu mbwalamba Lesa mu Mabala Aswepa mumisemano yakunyuma kwambeti nakabape cisubulo. Pakwinga bakute kupindamuna makani alambanga lusuno lwa Lesa kwambeti, babepeshelemo bensanga bufule. Ebakute kukana Yesu Klistu Mwami wetu.
Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.
5 Lino ndayandanga kumwanushako nabimbi nambi mubishi kendi, kwambeti Lesa walapulusha mushobo wa Islayeli kufuma ku Injipito, mpwalashina bonse babula kumushoma.
Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6 Kayi kamwanukani bangelo balabula kwikuta ne bwendeleshi bwabo bwelela, balashiya musena Lesa ngwalabapa. Neco Lesa wabasunga ncetani shitapu mu mushinshe mpaka busuba bwalombolosho. (aïdios )
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios )
7 Kayi kamwanukani minshi ibili ya Sodomu ne Gomola yalikuba yabambana. Umo bantu mobali kwinsa bufule ne bintu nabimbi byasafwana bitayandiki ku muntu. Lesa walabapa cisubulo kwambeti cibe cilesho kuli bonse. (aiōnios )
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios )
8 Nabo bantu aba balenshinga cimocimo, balakonkelenga maloto alepishinga mibili yabo, balakananga bwendeleshi bwa Lesa, balatukananga bilengwa byakwilu byalemekwa.
Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka.
9 Nomba Mikayeli mukulene wa bangelo mpobalikulondola ne Satana pakulwanina mubili wa Mose, uliya kumunyanshapo, walamboweti, “Lesa akukanse!”
Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!”
10 Nomba bantu aba bakute lisongwe ne pabintu mbyebateshi, balo ncobeshi ni mano acisemwa mbuli abanyama, ebintu bilabashininga.
Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.
11 Bakute malele pakwinga balakonkelenga nshila njalamanta Kaini. Kayi mbuli ncalensa Balamu, balawili mubwipishi cebo cakuyandishisha mali. Balamupandukili Lesa mbuli calensa Kola, neco naboyo balonongeke
Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
12 Aba ebalepishinga mibungano yenu yalusuno. Baliya nsoni balalinga pamo ne njamwe, balayandangowa byabo. Balyeti makumbi ilanyakangwa ne mpepo, makumbi abula mfula. Balyeti bitondo bitaseme bisepo pacindi cakendi, bitondo ibyo bantu mbyebalashukulu miyanda bilafwililili.
Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa.
13 Balyeti mankape apa lwenje, bakute kupulisha mapofu abintu byabo byasafwana. Balyeti nyenyenshi shilataiki nshila. Neco Lesa wabasungila mu mushinshe wanjobe bani utapu. (aiōn )
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn )
14 Enoki wamusemano wacisanu ne cibili kufumina kuli Adamu walalalukapo sha bantu aba mpwalambeti, “Bonani Lesa pamo ne bangelo batabelengeke lesanga
Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
15 kombolosha bantu bonse. Kubapa cisubulo pancito shabo shaipa nshebalensa, kayi ne maswi abo aipa ngobalikumwamba.”
ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.”
16 Aba endibo beshikutungula, batalumbu bilenshinga banabo, beshikukonkelowa lunkumbwa lwaipa, beshikulitunta, beshikuyandowa kulyela masuku pamitwi ya banabo.
Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.
17 Nomba amwe anukani ncemwalambilwa nebatumwa ba Mwami wetu Yesu Klistu.
Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.
18 Balamwambileti, “Mumasuba akumapwililisho, nikukabe bantu baminyansho, bantu beshikukonkela lunkumbwa lwabo.”
Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”
19 Aba bantu ebakute kuleta kupansana, bakutekuyandowa byamucishi, mu myoyo yabo muliya Mushimu Uswepa sobwe.
Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.
20 Nomba amwe nyumfwanani kwambeti buyumi bwenga pantangu kabuli bwashimpa pa lushomo lwaswepa. Kamupailanga mungofu ya Mushimu Uswepa.
Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu.
21 Ikalani mu lusuno lwa Lesa mpomulapembelelenga Mwami wetu Yesu Klistu uyo eshakamupe buyumi butapu munkumbo shakendi. (aiōnios )
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios )
22 Balesheni nkumbo abo bacitonshanya.
Wahurumieni walio na mashaka;
23 Nomba nabambi mubapulushe pakubasompola mumulilo. Nabambi mubaleshe nkumbo mwabuyowa, nsombi mupelane ne byakufwala byabo byatundubila ne lunkumbwa lwa bwipishi.
wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.
24 Bulemu bube kuli uyo wela kubula kumuleketi muwile mu bwipishi, uyo wela kumushikisha pamenso abulemu bwakendi kamuli mwabula kampenda kalikonse.
Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi:
25 Kuli Lesa mupulushi wetu kupitila muli Yesu Klistu Mwami wetu kube bulemu ne bukulene ne ngofu kayi ne bwendeleshi, kufumina cindi cakunyuma, pacino cindi kayi ne kucindi citapu! Ameni. (aiōn )
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn )