< Yohane 3 >
1 Muntu wamulikoto lya Bafalisi, lina lyakendi Nikodemo, mutangunishi wa Bayuda,
Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudi lililotawala.
2 walesa kuli Yesu mashiku ne kwambeti, “Bashikwiyisha, tucinsheti njamwe shikwiyisha ngwalatutumina Lesa, pakwinga kuliya muntu wela kwinsa bingashilo byeshikukankamanisha mbyomulenshinga, na Lesa nkalipo nendi.”
Huyu alimjia Yesu usiku akamwambia, “Rabi, tunajua kuwa wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya miujiza hii uifanyayo wewe, kama Mungu hayuko pamoja naye.”
3 Yesu walambeti, “Cancine ndakwambilinga kuliya muntu wela kwingila mubwami bwa Lesa na liya kusemwa cipya.”
Yesu akamjibu, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu anayeweza kuuona Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa mara ya pili.”
4 Nikodemo walepusheti, “Sena muntu ngosemwa kayi cipya lakulu kendi? Sena ngawingila mulibunda mubanyina ne kusemwa cipya?”
Nikodemo akauliza, “Awezaje mtu kuzaliwa wakati akiwa mzee? Hakika hawezi kuingia mara ya pili kwenye tumbo la mama yake ili azaliwe!”
5 Yesu walamukumbuleti, “Ndakwambilinga cancine ncine kwambeti kotana wingila mu Bwami bwa Lesa citanshi kusemwa ne menshi ne Mushimu Uswepa.
Yesu akamwambia, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu yeyote anayeweza kuingia Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa kwa maji na kwa Roho.
6 Muntu ukute kusemwa kumubili, nsombi kumushimu ukute kusemwa ne Mushimu Uswepa.
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
7 Kotakankamana pakwinga ndakwambilyeti wela kusemwa katubili.
Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’
8 Lukupwe lukute kupupula kulubasu kulikonse, kayi mukute kunyumfweti lulapupulunga, nsombi nkokute kwinshiba nkolulafumunga nambi nkolulenga. Nicimo cimo ne muntu uliyense lasemwa ne Mushimu Uswepa.”
Upepo huvuma popote upendapo. Mvumo wake unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu aliyezaliwa na Roho.”
9 Nikodemo walepusheti, “Ibi ngabinshika aconi?”
Nikodemo akamuuliza, “Mambo haya yanawezekanaje?”
10 Yesu walambeti, “Sena obe ntobe shikwiyisha wenshibikwa mu islayeli, nomba nkobinshi aconi bintu ibi?”
Yesu akamwambia, “Wewe ni mwalimu mashuhuri wa Waisraeli, nawe huelewi mambo haya?
11 Ndakwambilinga cancine ncine tukute kwamba mbyotwinshi, kayi tukute kupa bukamboni mbyotwalabona, nomba amwe nkamulashomonga maswi etu.
Amin, amin ninakuambia, sisi tunazungumza lile tunalolijua na tunashuhudia lile tuliloliona. Lakini ninyi watu hamkubali ushuhuda wetu.
12 Na nkamulashomonga mpondamwambilinga byapanshi pano, nomba ngamushoma aconi ndamwambila bintu byakwilu?
Nimewaambia mambo ya duniani, nanyi hamkuniamini, mtaniaminije basi nitakapowaambia mambo ya mbinguni?
13 “Kuliya muntu walayako kwilu, nsombi Mwana Muntu ewalesa kufuma kwilu.
Hakuna mtu yeyote aliyekwenda mbinguni isipokuwa yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.
14 Nomba kayi mbuli Mose mucinyika musa walapacika njoka ya mukuba pelu pacitondo, copeleco neye Mwana Muntu nakanyamunwe pelu mushobomo.
Kama vile Mose alivyomwinua yule nyoka kule jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu.
15 Kwambeti uliyense wamushoma akabe ne buyumi butapu. (aiōnios )
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios )
16 Kayi Lesa walabasunisha bantu pacishi capanshi, ecebo cakendi walayaba Mwanendi umo enka, kwambeti uliyense eti akamushome akacane buyumi butapu. (aiōnios )
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
17 Lesa nkalatuma Mwanendi panshi pano, kwambeti omboloshe milandu ya bantu, nsombi kwambeti abapulushe.
Kwa maana Mungu hakumtuma Mwanawe kuuhukumu ulimwengu, bali kupitia kwake ulimwengu upate kuokolewa.
18 “Namuntu washoma muli Yesu, Lesa nteshi akamomboloshe, nsombi abo balabulunga kushoma balomboloshewanga kendi, pakwinga nkabalashomonga Mwana wa Lesa enka.
Yeyote amwaminiye hahukumiwi, lakini asiyeamini amekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
19 Lombolosho nulu lwakwambeti nekukabeti mumuni walesa pacishi capanshi bantu balasuna mushinshe, kupita mumuni pakwinga incito shabo shaipa.
Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko nuru kwa sababu matendo yao ni maovu.
20 Uliyense lenshinga byaipa, wapatana ne mumuni. Kayi nkakute kwisa patuba, kutina incito shakendi shaipa kwambeti ngashibonekela.
Kwa kuwa kila atendaye maovu huchukia nuru, wala haji kwenye nuru ili matendo yake maovu yasifichuliwe.
21 Nsombi balenshinga byancine ncine bakute kwisa patuba, kayi bya kwinsa byabo bikute kwinshibiketi labinshi mwakunyumfwila Lesa.”
Lakini yule aishiye kwa ukweli huja kwenye nuru, ili ionekane wazi kwamba matendo yake yametendeka katika Mungu.”
22 Panyuma pakendi, Yesu ne beshikwiya bakendi balaya ku cimpansha caYudeya. Walekala nabo kwacindi citali kopeloko kabatisha bantu.
Baada ya haya, Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika nchi ya Uyahudi, nao wakakaa huko kwa muda na kubatiza.
23 Neye Yohane walikubatisha ku Ainoni pepi ne Salimu, pakwinga ekwalikuba menshi angi. Bantu balikushika kulyendiye, walikubabatisha.
Yohana naye alikuwa akibatiza huko Ainoni karibu na Salimu kwa sababu huko kulikuwa na maji tele. Watu wazima wakamjia huko ili kubatizwa.
24 Pacindici Yohane walikatana uwalwa mujele.
(Hii ilikuwa kabla Yohana hajatiwa gerezani).
25 Beshikwiya bambi baYohane balatatika kutototekeshana ne Muyuda naumbi shamwambo wakuliswepesha.
Mashindano yakazuka kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja kuhusu suala la desturi ya kunawa kwa utakaso.
26 Neco beshikwiya basa balesa kuli Yohane ne kumwambileti, “Mwiyi bonani, muntu usa ngomwalikwamba nendi kutala kwa mulonga wa Yolodani, usa ngomwalenshila bukamboni neye labatishinga, kayi bantu bonse balafwambilinga kulyendiye.”
Wakamwendea Yohana wakamwambia, “Rabi, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ngʼambo ya Mto Yordani, yule uliyeshuhudia habari zake, sasa anabatiza na kila mtu anamwendea!”
27 Yohane walakumbuleti, “Muntu nkela kutambula kantu kalikonse na Lesa liya kumupa.
Yohana akawajibu, “Hakuna mtu yeyote awezaye kupata kitu chochote isipokuwa kile tu alichopewa kutoka mbinguni.
28 Amwe ngamumbela bukamboni pakwinga mwalanyumfwa ndalambeti, Ntame Mupulushi Walaiwa, nsombi njame walatumwa pantangu pakendi.
Ninyi wenyewe ni mashahidi wangu kwamba nilisema, ‘Mimi si Kristo, ila nimetumwa nimtangulie.’
29 Nyabwinga nimuka shibwinga. Nomba munendi nyabwinga emanapepi kanyumfwako ukute kukondwa anyumfwa maswi ashibwinga. Nicimo cimo nenjame kukondwa kwakame kulakwana.
Bibi arusi ni wa bwana arusi. Lakini rafiki yake bwana arusi anayesimama karibu naye na kusikiliza kutoka kwake, hufurahi sana aisikiapo sauti ya bwana arusi. Kwa sababu hii furaha yangu imekamilika.
30 Usa welela kuba ne bulemu bunene bwapita bwakame.”
Yeye hana budi kuwa mkuu zaidi na mimi nizidi kuwa mdogo.”
31 “Weshikufuma kwilu wapita bonse. Weshikufuma panshi pano niwapanshi pano, kayi ukute kwamba bya panshi pano. Weshikufuma kwilu wapita bonse.
“Yeye ajaye kutoka juu yu juu ya yote, yeye aliye wa duniani ni wa dunia, naye huzungumza mambo ya duniani. Yeye aliyekuja kutoka mbinguni, yu juu ya yote.
32 Nendi uyu lenshinga bukamboni pa bintu mbyalabona ne kunyumfwa, nsombi paliya ukute kushoma maswi akendi.
Yeye hushuhudia yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna yeyote anayekubali ushuhuda wake.
33 Nsombi muntu ashoma maswi akendi, ukute kulesheti Lesa ukute kukwanilisha malayano akendi.
Lakini yeyote anayekubali huo ushuhuda anathibitisha kwamba, Mungu ni kweli.
34 Uyo Lesa ngwalatuma, ukute kwamba maswi a Lesa, pakwinga Lesa ukute kumupa Mushimu Uswepa wabula cipimo.
Yeye aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, kwa kuwa Mungu humtoa Roho pasipo kipimo.
35 Bata bamusuni mwanabo, kayi babika bintu byonse mumakasa akendi.
Baba anampenda Mwana, naye ametia vitu vyote mikononi mwake.
36 Muntu lashomonga mwanoyo, ukute buyumi butapu. Nsombi lakananga kushoma mwanoyo, nteshi akabe nebuyumi, neco bukalu bwa Lesa buli palyendiye cindi conse.” (aiōnios )
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios )