< Yohane 19 >

1 Popelapo Pilato walamumanta Yesu ne kumukwipisha.
Basi Pilato alimchukua Yesu na kumchapa.
2 Lino bashilikali balabamba mushini wa myunga nekumufwalika kumutwi. Kayi balamufwalika mwinjila wamushobo wabulemu ufubeluka,
Wale maaskari wakasokota miiba na kutengeneza taji. Wakaiweka juu ya kichwa cha Yesu na kumvalisha vazi la rangi ya zambarau.
3 balikabesa kulyendiye nkabambeti, “Mitende, mobami ba Bayuda!” Pacindici balatatika kumuma.
Wakamjia na kusema, “Wewe mfalme wa Wayahudi! na kisha kumpiga kwa mikono yao.
4 Pilato walapula pansa kayi nekubambila Bayuda, “Kamubonani ndamulete kuli njamwe, neco mwinshibe kwambeti ndiya kumucanapo ne mulandu uli wonse.”
Kisha Pilato alitoka nje na kuwaambia watu, “Tazama nawaleteeni huyu mtu kwenu ili mjue kwamba mimi sikuona hatia yoyote ndani yake.”
5 Popelapo Yesu walapula nkali afwala mushini wa myunga kumutwi ne cakufwala cifubeluka cisa, Pilato walambeti, “Uyu muntusa.”
Kwa hiyo Yesu akatoka nje; alikuwa amevaa taji ya miiba na vazi la zambarau. Ndipo Pilato akawaambia, “Tazameni mtu huyu hapa!”
6 Bamakulene beshimilumbo nebamalonda ba mu Nga'nda ya Lesa basa mpobalabona Yesu, balolobesheti, “Mupopeni! Mupopeni!” Pilato walambeti, “Mumanteni mwenka mwenga mumupope pakwinga ame ndiya kumucanapo nemulandu.”
Kwa hiyo wakati kuhani mkuu na wakuu walipomwona Yesu, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe, msulubishe.” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa mimi sioni hatia ndani yake.”
7 Bantu balambeti, “Afwe tukute mulawo, nomba twakonka mulawo wetu uyu welela kufwa, pakwinga walikwambeti, ‘Njame Mwana wa Lesa.’”
Wayahudi wakamjibu Pilato, “Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufa kwa sababu yeye alijifanya kuwa mwana wa Mungu.”
8 Lino Pilato mpalanyumfwa maswi awa, walanyumfwa buyowa kwine.
Pilato aliposikia maneno haya alizidi kuogopa,
9 Nomba walengila kayi munga'nda nekwipusha Yesu, “Nomba obe kwenu nikupeyo?” Nsombi Yesu nkalakumbula sobwe.
akaingia Praitorio tena na kumwambia Yesu, “Wewe unatoka wapi? Hata hivyo, Yesu hakumjibu.
10 Kayi Pilato walamwipusheti, “Nicani nkolankumbulunga? Sena nkocinsheti nkute ngofu sha kukusungulula nekukupopa?”
Kisha Pilato akamwambia, “Je, wewe huongei na mimi? Je, wewe hujui kuwa mimi nina mamlaka ya kukufungua na mamlakaya kukusulubisha?”
11 Yesu walambeti, “Lesa, abula kumupa ngofu nemuliya kwinsapo ciliconse palinjame. Weco uyo wanjaba kuli njamwe ukute bwipishi bunene.”
Yesu akamjibu, “Usingekuwa na nguvu dhidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa hiyo, mtu aliyenitoa kwako ana dhambi kubwa.”
12 Mpwalanyumfwa maswi awa, Pilato walayandishisha kwambeti amusungulule Yesu. Nsombi Bayuda balolobesha, mwamusungulula muntuyu ekwambeti nkamwekatana ne mwami wa kuLoma. Uliyense lalyambanga kuba mwami, ekwambeti nimulwani wamwami wa ku Loma.
Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huru, lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, “Kama utamwacha huru basi wewe si rafiki wa Kaisari: Kila ajifanyaye kuwa mfalme hunena kinyume cah kaisari.”
13 Pilato mpwalanyumfweco, walamupulisha Yesu, nekwikala pacipuna cakomboloshelapo milandu, pabusena bwalikukwiweti, “Lubansa lwa mabwe.” Mu cihebeli ukute kukwiweti, Gabata.
Pilato alipoyasikia maneno haya, akamleta Yesu nje kisha akakaa kwenye kiti cha hukumu mahali pale panapojulikana kama sakafu, lakini kwa Kiebrania, Gabatha.
14 Nomba bwalikuba busuba bwakulibambila sha Pasika, kayi cindi calikuba muma 12 koloko munshi. Pilato walambila Bayuda, “Uyu Mwami wenu.”
Siku ya maandalizi ya pasaka ilipofika, panapo muda wa saa ya sita. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni mfalme wenu huyu hapa!”
15 Nomba nabo balolobesha nekwambeti, “Mushineni! Mushineni! Kapopwani!” Pilato walabepusheti, “Sena mpope Mwami wenu?” Bamakulene beshimilumbo balakumbuleti, “Tuliyawa Mwami naumbi sobwe, nsombi Mwami wa ku Loma enka.”
Wakapiga kelele, “Mwondoshe, mwondoshe, msulubishe!” Pilato akawaambia, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Naye Kuhani mkuu akajibu, “Sisi hatuna mfalme isipokuwa Kaisari.”
16 Popelapo Pilato walamutwala Yesu kulyendibo kwambeti bamupope. kufumapo Yesu walaba mumakasa abo.
Ndipo Pilato alipomtoa Yesu kwao ili asulibiwe.
17 Bashilikali balamumantisha Yesu lusanda lwakendi, balapula nendi mulubansa nekuya kumusena walikukwiweti. “Cifupa ca mutwi” Mu Cihebeli bakute kwambeti “Gologota.”
Nao wakamchukua Yesu, naye akatoka, hali ameubeba msalaba wake mwenyewe mpaka kwenye eneo liitwalo fuvu la kichwa, kwa Kihebrania huitwa Golgotha.
18 Kopeloko balamupopa palusanda. Kayi balapopa bantu bambi babili, umbi kulikasa lyalulyo naumbi kulikasa lya kucipiko, Yesu nendi walikuba pakati.
Ndipo walipomsulibisha Yesu, pamoja naye wanaume wawili, mmoja upende huu na mwingine upande huu, na Yesu katikati yao.
19 Pilato walalemba cishibisho pelu palusanda. Walalembeti, “Yesu wa kuNasaleti, Mwami wa Bayuda.”
Kisha Pilato akaandika alama na kuiwekwa juu ya msalaba. Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETH, MFALME WA WAYAHUDI.
20 Mpwalapopela Yesu palikuba pepi neku Yelusalemu. Neco Bayuda bangi balikababelengapo. Cishibisho ici calikuba calembwa mumishobo itatu, Cihebeli ne Cilatini kayi ne Cigiliki.
Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
21 Bamakulene ba beshimilumbo ba Bayuda balambila Pilato, “Kamutalembeti, Mwami wa Bayuda sobwe. Nsombi mwine ewalikulyambeti eMwami wa Bayuda.”
Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Nomba Pilato walambeti, “Mbyondalembe, nibibe copeleco mbuli ncondalembe.”
Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
23 Bashilikali basa mpwobalapopa Yesu, balamanta bayakufwala byakendi nekutwamunamo tumpansha tuna, mushilikali uliyense walamanta kampansha kakendi. Balamanta kayi nemwinjila wakendi uyo walikuba watungwa necikwisa cimo kayi nkawalikuba ne lupeto.
Baada ya askari kumsulibisha Yesu, walichukua mavazi yake na kuyagawa katika mafungu manne, kila askari fungu moja, vivyo hivyo na kanzo, Sasa ile kanzu haikuwa imeshonwa bali ilkuwa imefumwa yote tokea juu.
24 Lino bashilikali abo balambilaneti, “Katutautwamuna sobwe, nsombi twinse nsolo kwambeti twinshibe na nibani eshi aumante.” Byalenshika mushoboyo kwambeti bikwanishiwe balambwa mumabala, “Balayabana byakufwala byakame, kayi mwinjila wakame balawinshila nsolo.” Weco ncobalensa bashilikali basa.
Kisha wakasemezana wao kwa wao, “Tusiipasue, bali tupigeni kura ili kuona itakuwa ya nani.” Hili lilitokea ili lile andiko litimizwe, lile lisemalo waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura.”
25 Nomba pepi ne lusanda palemana banyina, ne mukwabo banyina, kayi palikuba Maliya mukashendi klopa ne Mariya wa ku magadalena.
Askari walifanya mambo haya. Mama yake Yesu, dada wa mama yake, Mariamu mke wa Kleopa na Mariamu Magdalena - wanawake hawa walikuwa wamesimama karibu na msalaba wa Yesu.
26 Lino Yesu mpalabona banyina ne shikwiya usa ngwalikusuna nkabalibemana pepi, walambila banyina eti, “Ma mwanenu uno.”
Yesu alipomwona mama yake pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wakisimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, tazama, ona mwanao huyu hapa!”
27 Walambila kayi shikwiya usa eti, “Banyoko aba.” Lino kufumina popelapo shikwiya usa walabamanta batukashi abo ne kutatika kubasunga cena kwakendi.
Kisha akamwambia yule mwanfunzi, “Tazama, huyu hapa mama yako. “Tokea saa hiyo yule mwanafunzi akamchukua kwenda nyumbani kwake.
28 Yesu walenshiba kwambeti lino byonse bilakwanilishiwa. Lino kwambeti bikwanilishiwe byonse byalambwa mumabala, nendi walambeti “Nkute inyotwa.”
Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
29 Popelapo palikuba nsupa yesula waini wasasa. Bashilikali basa balasabika cisambo mu waini wasasa usa, nekucisomeka kukatondo ka hisopi nekukashikisha pamulomo pakendi.
Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
30 Yesu mpalasupita waini wasasa walambeti, “Byonse bilakwanilishiwa.” Lino walakotama mutwi nekufwa.
Naye Yesu alipoionja hiyo, akasema, “Imekwisha.” Kisha akainamisha kichwa chake, akaikabidhi roho yake.
31 Bwalikuba busuba bwakulibambila sha Pasika. Bamakulene ba Bayuda nkabali kwandeti bitumbi ibyo bibe pa lusanda pa busuba bwa Sabata, pakwinga busuba bwa Sabata ubo bwalikuba bunene. Weco balamusenga Pilato kwambeti batyokole myendo ya bantu basa balikuba bapopwa nekubafunya.
Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa kubaki juu ya msalaba wakati wa Sabato (kwa kuwa Sabato ilikuwa siku ya muhimu), wayahudi walimwomba Pilato kuwa miguu yao wale wliokuwa wamesulibishwa ivunjwe, na kwamba miili yao ishushwe.
32 Lino bashilikali balesa, nekutyokola umo pa babili basa balapopwa pamo ne Yesu. Balensa copeleco ne kumunendi usa.
Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
33 Nsombi mpobalashika pali Yesu, pakubona kwambeti lafu kendi, neco baliya kutyokola myendo yakendi.
Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
34 Nsombi umo wa bashilikali basa walamuyasa mumbafu ne lifumo, nomba mwalafuma milopa ne menshi.
Hata hivyo, mmoja wa askari alimchoma Yesu ubavuni kwa mkuki, na mara yakatoka maji na damu.
35 Uyo walabona bintu ibi endiye labinshilinga bukamboni, kwambeti ne njamwe mushome. Bukamboni bwakendi nibwancine ncine, kayi mwine ucinshi kwambeti mbyalambanga nibyakubinga.
Naye aliyeona hili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni wa kweli. Yeye anajua kuwa alichokisema ni cha kweli ili nanyi pia muamini.
36 Ibi byalenshika kwambeti byalambwa mumabala bikwanilishiwe, mabala akwambeti, “Nteshi bakatyokole lifupa lyakendi nambi limo.”
Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Kayi kuli mabala nambi alambangeti, “Bantu nibakamwebele uyo ngobalayasa.”
Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
38 Panyuma pakendi Yosefe wa ku Arimatea walasenga Pilato kwambeti amusuminishe kufunya citumbi ca Yesu. Yosefe walikuba weshikwiya wa Yesu, nsombi mwakusolama, pakwinga balikutina bamakulene ba Bayuda. Lino Pilato walamusuminisha, nendi walafunya citumbi ico.
Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Yesu, lakini kwa siri kwa kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato kwamba auchukue mwili wa Yesu. Naye Pilato akampa ruhusa. Kwa hiyo Yusufu akaja kuuondoa mwili wa Yesu.
39 Kwalesa kayi nikodemasi, usa walaya kuli Yesu mashiku pakutatika pasa. Nendi walaleta mafuta anunkila a mule asankanishiwa ne aloe, alikuba alema makilogilamu akwana 32.
Naye Nicodemo ambaye hapo awali alimfuata Yesu usiku naye akaja. Yeye alileta mchanganyiko wa manemane na udi, yapata uzito wa ratili mia moja.
40 Bantu babili aba balamanta mubili wa Yesu nekupomba mucikwisa caswepa ne mafuta anunkila cena, balakonka mwambo wa Bayuda.
Kwa hiyo wakauchukua mwili wa Yesu wakaufanga kwenye sanda ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
41 Uko Yesu nkwalapopwa kwalikuba libala. Nomba mulibala umo mwalikuba cumbwe calino lino, citana cibikwamo muntu.
Mahali ambapo Yesu alisulibiwa kulikuwa na bustani; ndani ya ile bustani kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakuna mtu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
42 Lino bwalikuba busuba bwa kulibambila kwa Bayuda kusekelela Pasika, Nomba manda ayo alikuba pepi, balabika Yesu mopelomo.
Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio kwa Wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wakamlaza Yesu ndani yake.

< Yohane 19 >