< Yohane 19 >
1 Popelapo Pilato walamumanta Yesu ne kumukwipisha.
Ndipo Pilato akamtoa Yesu akaamuru apigwe mijeledi.
2 Lino bashilikali balabamba mushini wa myunga nekumufwalika kumutwi. Kayi balamufwalika mwinjila wamushobo wabulemu ufubeluka,
Askari wakasokota taji ya miiba, wakamvika Yesu kichwani. Wakamvalisha joho la zambarau.
3 balikabesa kulyendiye nkabambeti, “Mitende, mobami ba Bayuda!” Pacindici balatatika kumuma.
Wakawa wanapanda pale alipo tena na tena, wakisema, “Salamu! Mfalme wa Wayahudi!” Huku wakimpiga makofi usoni.
4 Pilato walapula pansa kayi nekubambila Bayuda, “Kamubonani ndamulete kuli njamwe, neco mwinshibe kwambeti ndiya kumucanapo ne mulandu uli wonse.”
Pilato akatoka tena nje akawaambia wale waliokusanyika, “Tazameni, namkabidhi Yesu kwenu kuwajulisha kwamba mimi sikumwona ana hatia.”
5 Popelapo Yesu walapula nkali afwala mushini wa myunga kumutwi ne cakufwala cifubeluka cisa, Pilato walambeti, “Uyu muntusa.”
Kwa hiyo Yesu akatoka nje akiwa amevaa ile taji ya miiba na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, “Tazameni, huyu hapa huyo mtu!”
6 Bamakulene beshimilumbo nebamalonda ba mu Nga'nda ya Lesa basa mpobalabona Yesu, balolobesheti, “Mupopeni! Mupopeni!” Pilato walambeti, “Mumanteni mwenka mwenga mumupope pakwinga ame ndiya kumucanapo nemulandu.”
Wale viongozi wa makuhani na maafisa walipomwona, wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!” Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi mkamsulubishe, mimi sioni hatia juu yake.”
7 Bantu balambeti, “Afwe tukute mulawo, nomba twakonka mulawo wetu uyu welela kufwa, pakwinga walikwambeti, ‘Njame Mwana wa Lesa.’”
Wayahudi wakamjibu, “Sisi tunayo sheria na kutokana na sheria hiyo, hana budi kufa kwa sababu yeye alijiita Mwana wa Mungu.”
8 Lino Pilato mpalanyumfwa maswi awa, walanyumfwa buyowa kwine.
Pilato aliposikia haya, akaogopa zaidi.
9 Nomba walengila kayi munga'nda nekwipusha Yesu, “Nomba obe kwenu nikupeyo?” Nsombi Yesu nkalakumbula sobwe.
Akaingia tena ndani ya jumba la kifalme, akamuuliza Yesu, “Wewe umetoka wapi?” Lakini Yesu hakumjibu.
10 Kayi Pilato walamwipusheti, “Nicani nkolankumbulunga? Sena nkocinsheti nkute ngofu sha kukusungulula nekukupopa?”
Pilato akamwambia, “Wewe unakataa kuongea na mimi? Hujui ya kuwa nina mamlaka ya kukuachia huru au kukusulubisha?”
11 Yesu walambeti, “Lesa, abula kumupa ngofu nemuliya kwinsapo ciliconse palinjame. Weco uyo wanjaba kuli njamwe ukute bwipishi bunene.”
Ndipo Yesu akamwambia, “Wewe hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa kutoka juu. Kwa hiyo yeye aliyenitia mikononi mwako ana hatia ya dhambi iliyo kubwa zaidi.”
12 Mpwalanyumfwa maswi awa, Pilato walayandishisha kwambeti amusungulule Yesu. Nsombi Bayuda balolobesha, mwamusungulula muntuyu ekwambeti nkamwekatana ne mwami wa kuLoma. Uliyense lalyambanga kuba mwami, ekwambeti nimulwani wamwami wa ku Loma.
Tangu wakati huo, Pilato akajitahidi kutafuta njia ya kumfungua Yesu, lakini Wayahudi wakazidi kupiga kelele wakisema, “Ukimwachia huyu mtu, wewe si rafiki wa Kaisari. Mtu yeyote anayedai kuwa mfalme anampinga Kaisari.”
13 Pilato mpwalanyumfweco, walamupulisha Yesu, nekwikala pacipuna cakomboloshelapo milandu, pabusena bwalikukwiweti, “Lubansa lwa mabwe.” Mu cihebeli ukute kukwiweti, Gabata.
Pilato aliposikia maneno haya akamtoa Yesu nje tena akaketi katika kiti chake cha hukumu, mahali palipoitwa Sakafu ya Jiwe, kwa Kiebrania paliitwa Gabatha
14 Nomba bwalikuba busuba bwakulibambila sha Pasika, kayi cindi calikuba muma 12 koloko munshi. Pilato walambila Bayuda, “Uyu Mwami wenu.”
Basi ilikuwa siku ya Maandalio ya Pasaka, yapata kama saa sita hivi. Pilato akawaambia Wayahudi, “Huyu hapa mfalme wenu!”
15 Nomba nabo balolobesha nekwambeti, “Mushineni! Mushineni! Kapopwani!” Pilato walabepusheti, “Sena mpope Mwami wenu?” Bamakulene beshimilumbo balakumbuleti, “Tuliyawa Mwami naumbi sobwe, nsombi Mwami wa ku Loma enka.”
Wao wakapiga kelele, “Mwondoe! Mwondoe! Msulubishe!” Pilato akawauliza, “Je, nimsulubishe mfalme wenu?” Wale viongozi wa makuhani wakamjibu, “Sisi hatuna mfalme mwingine ila Kaisari.”
16 Popelapo Pilato walamutwala Yesu kulyendibo kwambeti bamupope. kufumapo Yesu walaba mumakasa abo.
Ndipo Pilato akamkabidhi Yesu kwao ili wamsulubishe. Kwa hiyo askari wakamchukua Yesu.
17 Bashilikali balamumantisha Yesu lusanda lwakendi, balapula nendi mulubansa nekuya kumusena walikukwiweti. “Cifupa ca mutwi” Mu Cihebeli bakute kwambeti “Gologota.”
Yesu, akiwa ameubeba msalaba wake, akatoka kuelekea mahali palipoitwa Fuvu la Kichwa (kwa Kiebrania ni Golgotha).
18 Kopeloko balamupopa palusanda. Kayi balapopa bantu bambi babili, umbi kulikasa lyalulyo naumbi kulikasa lya kucipiko, Yesu nendi walikuba pakati.
Hapo ndipo walipomsulubisha. Pamoja naye walisulubisha watu wengine wawili, mmoja kila upande wake, naye Yesu katikati.
19 Pilato walalemba cishibisho pelu palusanda. Walalembeti, “Yesu wa kuNasaleti, Mwami wa Bayuda.”
Pilato akaamuru tangazo liandikwe na liwekwe juu kwenye msalaba wa Yesu, likasema: “Yesu wa Nazareti, Mfalme wa Wayahudi.”
20 Mpwalapopela Yesu palikuba pepi neku Yelusalemu. Neco Bayuda bangi balikababelengapo. Cishibisho ici calikuba calembwa mumishobo itatu, Cihebeli ne Cilatini kayi ne Cigiliki.
Kwa kuwa mahali hapo Yesu aliposulubiwa palikuwa karibu na mjini, Wayahudi wengi walisoma maandishi haya yaliyokuwa yameandikwa kwa lugha za Kiebrania, Kiyunani na Kilatini.
21 Bamakulene ba beshimilumbo ba Bayuda balambila Pilato, “Kamutalembeti, Mwami wa Bayuda sobwe. Nsombi mwine ewalikulyambeti eMwami wa Bayuda.”
Viongozi wa makuhani wa Wayahudi wakapinga, wakamwambia Pilato, “Usiandike ‘Mfalme wa Wayahudi,’ bali andika kwamba mtu huyu alisema yeye ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Nomba Pilato walambeti, “Mbyondalembe, nibibe copeleco mbuli ncondalembe.”
Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”
23 Bashilikali basa mpwobalapopa Yesu, balamanta bayakufwala byakendi nekutwamunamo tumpansha tuna, mushilikali uliyense walamanta kampansha kakendi. Balamanta kayi nemwinjila wakendi uyo walikuba watungwa necikwisa cimo kayi nkawalikuba ne lupeto.
Askari walipokwisha kumsulubisha Yesu, walichukua nguo zake wakazigawa mafungu manne, kila askari fungu lake. Ila walikubaliana wasilichane lile vazi lake kwa maana lilikuwa halina mshono bali limefumwa tangu juu hadi chini.
24 Lino bashilikali abo balambilaneti, “Katutautwamuna sobwe, nsombi twinse nsolo kwambeti twinshibe na nibani eshi aumante.” Byalenshika mushoboyo kwambeti bikwanishiwe balambwa mumabala, “Balayabana byakufwala byakame, kayi mwinjila wakame balawinshila nsolo.” Weco ncobalensa bashilikali basa.
Wakaambiana, “Tusilichane ila tulipigie kura ili kuamua ni nani atalichukua.” Hili lilitukia ili Maandiko yapate kutimizwa yale yaliyosema, “Wanagawana nguo zangu, na vazi langu wanalipigia kura.” Hayo ndiyo waliyoyafanya wale askari.
25 Nomba pepi ne lusanda palemana banyina, ne mukwabo banyina, kayi palikuba Maliya mukashendi klopa ne Mariya wa ku magadalena.
Wakati huo huo karibu na msalaba wa Yesu walikuwa wamesimama mama yake, na dada wa mamaye, na Maria mke wa Klopa, na Maria Magdalene.
26 Lino Yesu mpalabona banyina ne shikwiya usa ngwalikusuna nkabalibemana pepi, walambila banyina eti, “Ma mwanenu uno.”
Yesu alipomwona mama yake mahali pale pamoja na yule mwanafunzi aliyempenda wamesimama karibu, akamwambia mama yake, “Mwanamke, huyo hapo ndiye mwanao,”
27 Walambila kayi shikwiya usa eti, “Banyoko aba.” Lino kufumina popelapo shikwiya usa walabamanta batukashi abo ne kutatika kubasunga cena kwakendi.
kisha akamwambia yule mwanafunzi, “Nawe huyo hapo ndiye mama yako.” Tangu wakati huo yule mwanafunzi akamchukua mama yake Yesu nyumbani kwake.
28 Yesu walenshiba kwambeti lino byonse bilakwanilishiwa. Lino kwambeti bikwanilishiwe byonse byalambwa mumabala, nendi walambeti “Nkute inyotwa.”
Baada ya haya, Yesu hali akijua kuwa mambo yote yamemalizika, alisema ili kutimiza Maandiko, “Naona kiu.”
29 Popelapo palikuba nsupa yesula waini wasasa. Bashilikali basa balasabika cisambo mu waini wasasa usa, nekucisomeka kukatondo ka hisopi nekukashikisha pamulomo pakendi.
Hapo palikuwa na bakuli lililojaa siki. Kwa hiyo wakachovya sifongo kwenye hiyo siki, wakaiweka kwenye ufito wa mti wa hisopo, wakampelekea mdomoni.
30 Yesu mpalasupita waini wasasa walambeti, “Byonse bilakwanilishiwa.” Lino walakotama mutwi nekufwa.
Baada ya kuionja hiyo siki, Yesu akasema, “Imekwisha.” Akainamisha kichwa chake, akaitoa roho yake.
31 Bwalikuba busuba bwakulibambila sha Pasika. Bamakulene ba Bayuda nkabali kwandeti bitumbi ibyo bibe pa lusanda pa busuba bwa Sabata, pakwinga busuba bwa Sabata ubo bwalikuba bunene. Weco balamusenga Pilato kwambeti batyokole myendo ya bantu basa balikuba bapopwa nekubafunya.
Kwa kuwa ilikuwa siku ya Maandalio ya Pasaka, Wayahudi hawakutaka miili ibaki msalabani siku ya Sabato, hasa kwa kuwa hiyo Sabato ingekuwa Sikukuu. Wakamwomba Pilato aamuru miguu ya wale waliosulubiwa ivunjwe ili wafe haraka miili iondolewe kwenye misalaba.
32 Lino bashilikali balesa, nekutyokola umo pa babili basa balapopwa pamo ne Yesu. Balensa copeleco ne kumunendi usa.
Kwa hiyo askari wakaenda wakavunja miguu ya mtu wa kwanza aliyesulubiwa pamoja na Yesu na yule mwingine pia.
33 Nsombi mpobalashika pali Yesu, pakubona kwambeti lafu kendi, neco baliya kutyokola myendo yakendi.
Lakini walipomkaribia Yesu, wakaona ya kuwa amekwisha kufa, hivyo hawakuvunja miguu yake.
34 Nsombi umo wa bashilikali basa walamuyasa mumbafu ne lifumo, nomba mwalafuma milopa ne menshi.
Badala yake mmoja wa wale askari akamchoma mkuki ubavuni na mara pakatoka damu na maji.
35 Uyo walabona bintu ibi endiye labinshilinga bukamboni, kwambeti ne njamwe mushome. Bukamboni bwakendi nibwancine ncine, kayi mwine ucinshi kwambeti mbyalambanga nibyakubinga.
Mtu aliyeona mambo hayo ndiye alitoa ushuhuda, nao ushuhuda wake ni kweli. Anajua kuwa anasema kweli, naye anashuhudia ili pia nanyi mpate kuamini.
36 Ibi byalenshika kwambeti byalambwa mumabala bikwanilishiwe, mabala akwambeti, “Nteshi bakatyokole lifupa lyakendi nambi limo.”
Kwa maana mambo haya yalitukia ili Maandiko yapate kutimia, yale yasemayo, “Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Kayi kuli mabala nambi alambangeti, “Bantu nibakamwebele uyo ngobalayasa.”
Tena Andiko lingine lasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma.”
38 Panyuma pakendi Yosefe wa ku Arimatea walasenga Pilato kwambeti amusuminishe kufunya citumbi ca Yesu. Yosefe walikuba weshikwiya wa Yesu, nsombi mwakusolama, pakwinga balikutina bamakulene ba Bayuda. Lino Pilato walamusuminisha, nendi walafunya citumbi ico.
Baada ya mambo haya, Yosefu wa Arimathaya, aliyekuwa mfuasi wa Yesu, ingawa kwa siri kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi, alimwomba Pilato ruhusa ili kuuchukua mwili wa Yesu. Pilato alimruhusu, hivyo akaja, akauchukua.
39 Kwalesa kayi nikodemasi, usa walaya kuli Yesu mashiku pakutatika pasa. Nendi walaleta mafuta anunkila a mule asankanishiwa ne aloe, alikuba alema makilogilamu akwana 32.
Naye Nikodemo, yule ambaye kwanza alimwendea Yesu usiku, akaja, akaleta mchanganyiko wa manemane na manukato, yenye uzito wa zaidi ya kilo thelathini
40 Bantu babili aba balamanta mubili wa Yesu nekupomba mucikwisa caswepa ne mafuta anunkila cena, balakonka mwambo wa Bayuda.
Wakauchukua mwili wa Yesu, wakaufunga katika sanda ya kitani safi pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya Wayahudi.
41 Uko Yesu nkwalapopwa kwalikuba libala. Nomba mulibala umo mwalikuba cumbwe calino lino, citana cibikwamo muntu.
Basi palikuwa na bustani karibu na mahali pale aliposulubiwa, na pale ndani ya ile bustani palikuwa na kaburi jipya, ambalo halikuwa limezikiwa mtu bado.
42 Lino bwalikuba busuba bwa kulibambila kwa Bayuda kusekelela Pasika, Nomba manda ayo alikuba pepi, balabika Yesu mopelomo.
Kwa hiyo, kwa kuwa ilikuwa siku ya Wayahudi ya Maandalio, nalo kaburi hilo lilikuwa karibu, wakamzika Yesu humo.