< Yohane 15 >
1 Ame njame citondo ca vaini, nomba Bata ebalimi.
Mimi ni mzabibu wa huu kweli, na baba yangu ni mkulima wa mzabibu.
2 Nabo bakute kutimbula misampi iliyonse mulinjame itaseme bisepo. Nomba misampi ikutekusema bisepo Bata bakute kwibambilila cena kwambeti ikate bisepo bingi.
Kila tawi ndani yangu ambalo halizai tunda, na husafisha kila tawi ambalo huzaa tunda huliondoa ili kwamba liweze kuzaa zaidi.
3 Amwe mulapenselwa kayi mulaswepe kendi pacebo ca maswi ngondalamwambila.
Ninyi tayari mmekuwa safi kwa sababu ya ujumbe ambao nimekwisha waambia.
4 Kamwikalililani mulinjame kayi nenjame ninkekalilile muli njamwe. Kuliyawa musampi wabulakwikata kucinyina welakwikata bisepo. Copeleco nenjamwe nkamwela kwikata bisepo nankamulekalilinga muli njame.
Mkae ndani yangu, na mimi ndani yenu. Kama tawi lisivyoweza kuzaa peke yake lisipo kuwa katika mzabibu, kadhalika nayi, msipo kaa ndani yangu.
5 Ame njame citondo cancine ncine ca vaini nomba amwe njamwe misampi. Muntu uliyense eshakekalilile mulinjame, nenjame mulyendiye nakekate bisepo bingi. Weco kwakubula njame kuliyawa ncomwela kwinsa.
Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi. Adumuye ndani yangu na mimi ndani yake, mtu huyu huzaa matunda mengi, kwa kuwa pasipo mimi hamuwezi kufanya jambo lolote.
6 Namuntu nkalekalanga mulinjame, nakawalwe kunseti misampi yatemwa, ikute kuyuma. Misampi yamushoboyo ikute kubunganishiwa nekuwalwa mumulilo nekutentwa.
Ikiwa mtu yeyote hatasalia ndani yangu, atatupwa kama tawi na kukauka; watu hukusanya matawi na kuyatupa katika moto, na kuteketea.
7 Namulekala mulinjame, kayi maswi akame ekala mulinjamwe, ngamunsenga ciliconse ncomwela kuyanda, nimukapewe.
Ikiwa mtadumu ndani yangu, na kama maneno yangu yakidumu ndani yenu, ombeni lolote mtakalo, nanyi mtafanyiwa.
8 Bata bakute kulemekeshewa namulekata bisepo bingi, kayi cikute kulesheti njamwe beshikwiya bakame bancine ncine.
Katika hili baba yangu ametukuzwa, kwamba mnazaa matunda mengi na kwamba ni wanafunzi wangu.
9 Mbuli Bata ncobansuni, nenjame ndimusuni amwe. Mwikalenga mu lusuno lwakame.
Kama baba yangu alivyonipenda mimi, mimi pia nimewapenda ninyi; dumuni katika pendo langu.
10 Namukonkelenga milawo yakame, nimwikalenga mulusuno lwakame, mbuli ame nconkute kukonkela milawo ya Bata nekwikalilila mulusuno lwabo.
Ikiwa mtashika amri zangu, mtadumu katika pendo langu kama nilivyo shika amri za baba yangu na kudumu katika pendo lake.
11 “Ndamwambili ibi kwambeti kukondwa kwakame kube muli njamwe kayi kwambeti kukondwa kwenu kube kwakwana.
Nimesema mambo haya kwenu ili kwamba furaha yangu iwe ndani yenu na ili kwamba furaha yenu ifanyike kuwa timilifu.
12 Mulawo wakame niwakwambeti musunanenga mbuli ncondimusuni.
Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane ninyi kwa ninyi kama nilivyo wapenda ninyi.
13 Kuliya muntu ukute lusuno lwapita ulu lwakutaya buyumi bwakendi pacebo cabanendi.
Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba ayatoe maisha yake kwa ajiliya rafiki zake.
14 Namulakonkelenga kwiyisha kwakame ekwambeti njamwe mobaname.
Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo.
15 Nteshi ndimukuwengeti basebenshi sobwe pakwinga musebenshi nkakute kwinshiba bilenshinga mwami wakendi. Nsombi ndamukungeti baname, pacebo cakwambeti byonse mbyondalanyumfwa kuli Bata ndalamwambila.
Siwaiti watumwa, kwa kuwa mtumwa hajui kile afanyacho bwana wake. Nimewaita ninyi marafiki, kwa sababu nimewajulisheni mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba.
16 Ntamwe mwalansala sobwe, nsombi njame ndalamusala. Kayi ndalamupatula kwambeti mukekate bisepo bitalobo. Neco ciliconse ncoshimukasenge kuli Bata mulina lyakame nibakamupe.
Hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mwende mazae matunda, na tunda lenu lipate kukaa. Hii liko hivi ili kwamba chochote muombacho kwa Baba kwa jina langu, atawapeni.
17 Neco mulawo wakame niwakwambeti musunanenga.
Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake.
18 “Na cishi capanshi cikamupate, mukanuke kwambeti calatatikila kupata njame.
Kama ulimwengu utawachukia, mjuwe kwamba ulinichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
19 Nemwekalangeti bantu bamucishi nebalamusuna, nomba pacebo cakwambeti ntamwe bamucishi capanshi sobwe. Nomba bamupela pakwinga ame ndalamusala pakati pabo, weco ntamwe banabo sobwe.
Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda kama wa kwao; Lakini kwa sababau ninyi sio wa ulimwengu na kwa sababu niliwachagua kutoka katika ulimwengu, ni kwa ajili hii ulimwengu huwachukia.
20 Kamwanukanga maswi asa ngondalamwambileti, ‘Musebenshi nkapiti mwami wakendi.’ Na balampensha, nenjamwe nibakamupenshe. Na balanyumfwa maswi akame, nibakanyumfwe maswi enu.
Kumbukeni neno ambalo niliwaambia, 'Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake.' Ikiwa walinitesa mimi, watawateseni ninyi pia; Kama walishika neno langu, wangelishika la kwenu pia.
21 Nsombi nibakamwinshile bintu mbyobalenshila kulinjame, pakwinga nkabamwinshi walantuma.
Watawatendeeni mambo haya yote kwa ajili ya jina langu kwa sababu hawamjui yule aliyenituma.
22 Nendalabula kwisa kubeyisha, nebalabula kuba nemulandu. Nomba lino paliyawa mpobela kukanina mulandu wabo.
Kama nisingekuja na kuwaambia waambia, wasingalikuwa wamefanya dhambi; lakini sasa hawana udhuru kwa dhambi yao.
23 Muntu lapatananga nenjame, lapatananga neBata.
Anichukiaye mimi humchukia Baba pia.
24 Nendalabula kwinsa bintu pakati pabo bitana binshiwapo nemuntu uliyense, cakubinga nebalakabulu kuba nemulandu. Nomba pakwinga balabibona, nsombi bapata ame neBata.
Ikiwa sijafanya kazi miongoni mwao ambayo hapana mmoja aliyeifanya, wangelikuwa hawana dhambi; lakini sasa wamefanya yote mawili wameona na wamenichukia mimi na Baba yangu.
25 Nomba byalenshika mushoboyo mbuli ncecalembwa mulibuku lyabo lya milawo kwambeti, ‘Balapatana nenjame kwakubula mulandu.’
Hili linatokea ili kwamba neno litimie ambalo limeandikwa katika sheria yao: 'Wananichukia mimi bila sababu.'
26 “Shikumunyamfwa lakesanga, uyo ni Mushimu weshukayubulule cancine ncine cilambanga shaBata, Ninkamutumine, nendi uyo akesa nakambele bukamboni.
Wakati mfariji amekuja, ambaye nitamtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyu ndiye, Roho wa kweli, ambaye anatokea kwa Baba, atanishuhudia.
27 Nenjamwe nimukambele bukamboni, pakwinga mulekala nenjame kufuma kumatatikilo.”
Ninyi pia mnanishuhudia kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzo.