< Yohane 10 >
1 Panyuma pakendi Yesu walambeti, “Ndamwambilinga cakubinga, muntu labulunga kwingilila pacishinga cambelele nikabwalala kayi nikapondo.
Amin, Amini nawaambieni, yule asiyeingia kwa kupitia mlango wa zizi la kondoo, lakini anapanda kwa njia nyingine, mtu huyo ni mwizi na mnyang'anyi.
2 Nsombi muntu lengililinga pacishinga endiye mwembeshi wa mbelele.
Yeye aingiaye mlangoni ni mchungaji wa kondoo.
3 Mulonda ukute kumucalwila. Mbelele shikute kunyumfwa maswi akendi, kayi ukute kushikuwa maina mbelele shakendi, nekushipulisha.
Kwake mlinzi wa mlango humfungulia. Kondoo waisikia sauti yake na huwaita kondoo zake kwa majina yao na kuwatoa nje.
4 Ashipulisha ukute kushitangunina, nashoyo shikute kumukonkela, pakwinga shikute kwinshiba maswi akendi.
Atakapowatoa nje hao walio wake, huwatangulia, na kondoo humfuata, kwa sababu wanaijua sauti yake.
5 Mwensu nkashela kumukonkela sobwe, pakwinga nkashainshi maswi a mwensu. Neco shikute kumufwamba.”
Hawatamfuata mgeni lakini badala yake watamuepuka, kwa sababu hawazijui sauti za wageni.”
6 Yesu walabambila mukoshano uyu, nsombi nabo baliyakunyumfwishisha ncalikubambila.
Yesu alisema mfano huu kwao, lakini hawakuyaelewa mambo haya ambayo alikuwa akisema kwao.
7 Ecebo cakendi kayi Yesu ncalabambilileti, “Ndamwambilinga cakubinga, ame njame cishinga cambelele.
Yesu akasema nao tena, “Amini, amini, nawaambia, Mimi ni mlango wa kondoo.
8 Bonse balesa kantanjisa nibakabwalala kayi nibakapondo, neco mbelele shiliya kubanyumfwila.
Wote walionitangulia ni wezi na wanyang'anyi, lakini kondoo hawakuwasikiliza.
9 Njame cishinga, bonse balengilinga kupitila mulinjame nibakapuluke. Kupitila mulinjame nibakengilenga ne kupula nekucana cakulya.
Mimi ni mlango. Yeyote aingiaye kupitia kwangu, ataokolewa; ataingia ndani na kutoka, naye atajipatia malisho.
10 Nsombi nendi kabwalala ukute kwishila kwiba, kushina ne kononga. Nomba ame nkandipo ico, ndalesa kupa bantu buyumi, kayi bwakwaninina.”
Mwizi haji isipokuwa kuiba, kuua, na kuangamiza. Nimekuja ili kwamba wapate uzima na wawe nao tele.
11 Ame njame mwembeshi waina. Mwembeshi waina ukute kutaya buyumi bwakendi pacebo cambelele shakendi.
Mimi ni mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
12 Nomba mwembeshi wakwingisha ncito yakwembela mbelele nte mwembeshi waina pakwinga nte mwine neco abona kaumpe ukute kushishiya nekufwamba, nomba nako kaumpe kakute kwikatapo nashimbi kayi shilashala shikute kupalangana.
Mtumishi aliyeajiriwa, na siyo mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, huwaona mbwa mwitu wakija na huwaacha na kuwakimbia kondoo.
13 Usa shikulembwa incito ukute kufwamba, pakwinga ntemwinesho, neco nkakute kusukama.
Na mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya. Hukimbia kwa sababu ni mtumishi wa kuajiriwa na hawajali kondoo.
14 Ame njame mwembeshi waina. Mbelele shakame ndishinshi, kayi nashoyo shinjishi.
Mimi ni mchungaji mwema, na ninawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi.
15 mbuli bata ncobanjishi, nenjame ndibenshi, ndalibambila kutaya buyumi bwakame pacebo cambelele shakame.
Baba ananijua, nami namjua Baba, nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
16 Kayi nkute nashimbi mbelele shabula kuba shamucata ici. Nashoyo nishikanyumfwe maswi akame, ninkashilete pamo, nishikabe mulitanga limo kayi ne mwembeshi umo.
Ninao kondoo wengine ambao si wa zizi hili. Hao pia, yanipasa kuwaleta, nao wataisikia sauti yangu ili kwamba pawepo na kundi moja na mchungaji mmoja.
17 “Bata bansuni, pakwinga ndalibambila kuyaba buyumi bwakame kwambeti nkabe nabo kayi.
Hii ndiyo sababu Baba ananipenda: Niutoe uhai wangu halafu niutwae tena.
18 Kuliya muntu wela kundamuna buyumi bwakame, ndabuyabanga mukuyanda kwakame. Nkute ngofu shakutaya buyumi bwakame, kayi ne ngofu shakubumanta. uwu emulawo ngobalampa Bata.”
Hakuna auchukuaye kutoka kwangu, lakini mimi nautoa mwenyewe. Ninayo mamlaka ya kuutoa, na ninayo mamlaka ya kuutwaa pia. Nimelipokea agizo hili kutoka kwa Baba.”
19 Bantu balatatika kupansana pacebo ca maswi awa.
Mgawanyiko tena ukatokea kati ya wayahudi kwa sababu ya maneno haya.
20 Bangi pakati pabo balikwambeti, “Ukute mushimu waipa, kayi wakonya. Nicani mulamunyumfwilinga?”
Wengi wao wakasema, “Ana pepo na ni kichaa. Kwa nini mnamsikiliza?”
21 Nomba bambi balikwambeti, “Maswi awa ntewo amuntu wekatwa ne mushimu waipa. Sena mushimu waipa ngaumubonesha washipilwa kwambeti abone?”
Wengine wakasema, “Haya siyo maneno ya mtu aliyepagawa na mapepo. Pepo linaweza kufungua macho ya kipofu?”
22 Lino calikuba cindi camupewo pakusekekelela kupwa kwa kwibaka Ng'anda ya Lesa ku Yelusalemu.
Ndipo ikaja Sikukuu ya Kuwekwa Wakfu Yerusalemu.
23 Lino Yesu walinkenda mumukushi wa Nga'nda ya Lesa, walikukwiweti mukushi waSolomoni.
Ulikuwa wakati wa baridi, na Yesu alikuwa akitembea hekaluni katika ukumbi wa Selemani.
24 Lino bamakulene baYuda balamubunganina nekumwipusheti, “Nomba nukatuyubwilile lilyoni nanjobe Mupulushi Walaiwa? Twambile.”
Ndipo Wayahudi walipomzunguka na kumwambia, “Mpaka lini utatuweka katika mashaka? kama wewe ni Kristo, tuambie wazi.
25 Yesu walambeti, “Ndalamwambila kendi, nsombi nkamulashomonga. Mulimo ngonkute kwinsa mulina lya Bata, eukute kunjishila bukamboni.
Yesu akawajibu, “Nimekwisha waambia lakini hamuamini. Kazi nizifanyazo kwa jina la Baba yangu, hizo zinashuhudia juu yangu.
26 Nomba amwe nkamulashomonga, pakwinga nkamulipo mulikoto lyambelele shakame.
Hata hivyo hamuamini kwa sababu ninyi si kondoo wangu.
27 Mbelele shakame shikute kunyumfwa maswi akame. Ame ndishinshi, kayi shikute kunkonkela.
Kondoo wangu waisikia sauti yangu; Nawajua, nao wanifuata mimi.
28 Nkute kushipa buyumi butapu, kayi nteshi shikataike. Paliya muntu wela kundamuna. (aiōn , aiōnios )
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn , aiōnios )
29 Bata balampa mbelele isho banene kupita bonse, neco paliya muntu wela kubalamuna mumakasa abo.
Baba yangu, aliyenipa hao, ni mkuu kuliko wengine wote, na hakuna hata mmoja aliye na uwezo wa kuwanyakua kutoka mkononi mwa Baba.
30 Ame neBata tobamo muntu umowa.”
Mimi na Baba tu mmoja.”
31 Lino bamakulene baBayuda balabwesa mabwe kwambeti bamupwaye.
Wakabeba mawe ili wamponde tena.
32 Yesu walabambileti, “Ndamuboneshe mulimo waina walafumina kuli Bata. Nomba nipa ncito shipeyo nshomulayandanga kumpwaila mabwe?”
Yesu akawajibu, “Nimeshawaonesha kazi nyingi nzuri kutoka kwa Baba. Kwa kazi zipi kati ya hizo mnataka kuniponda mawe?”
33 Bamakulene ba Baciyuda balamukumbuleti, “Nkatulayandanga kukupwaya mabwe pacebo ca mulimo waina sobwe, nsombi pacebo cakwambeti ulanyanshanga Lesa. Obe omuntu, ulalyelanikinga neLesa.”
Wayahudi wakamjibu, “Hatukupondi mawe kwa kazi yoyote iliyo nzuri, lakini kwa kukufuru, kwa sababu wewe, uliye mtu, unajifanya kuwa Mungu.”
34 Yesu walabakumbuleti, “Sena mu Milawo yenu nkamwalembweti, ‘Ame ndambeti mobalesa?
Yesu akawajibu, “Haikuandikwa katika sheria yenu, 'Nilisema, “Ninyi ni miungu”'?”
35 Tucinsheti Mabala a Lesa nkela kupwaiwa. Kayi nakubinga, naLesa walikubakuwa, balapewa maswi wakendi eti balesa.”
Ikiwa aliwaita miungu, kwa wale ambao Neno la Mungu liliwajilia (na Maandiko hayawezi kuvunjwa),
36 “Ngamwabaconi uyo Lesa ngwalaswepesha nekumutuma pacishi capanshi, amwe mulamwambilingeti lanyanshanga Lesa, sena nipacebo cakwambeti njame Mwana wa Lesa?
mnasema juu ya yule ambaye Baba alimtoa na kumtuma katika ulimwengu, 'Unakufuru,' kwa sababu nilisema, 'mimi ni Mwana wa Mungu'?
37 Nomba na nkandenshinga mulimo ngobalampa Bata, kamutanshoma.
“Ikiwa sifanyi kazi za Baba yangu, msiniamini.
38 Nsombi na emulimo ngondenshinga, kamushomani mulimo nambi nkamulanshomonga kwambeti mukonshe kwinshiba nekunyumfwishisha kwambeti ame nkute kwikala muli Bata, nabo Bata bakute kwikala muli njame.”
Hata hivyo, ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, ziaminini kazi ili kwamba muweze kujua na kufahamu kwamba Baba yuko ndani yangu na mimi niko ndani ya Baba.”
39 Popelapo bantu basa balayanda kayi kumwikata, nsombi neye walapushumuka.
Wakajaribu tena kumkamata Yesu, lakini alienda zake kutoka mikononi mwao.
40 Yesu walabwelela kayi kutala kwa mulonga wa Yolodani uko Yohane nkwalikubatishila bantu pakuyamba, lino walekala kopeloko.
Yesu akaenda zake tena ng'ambo ya Yordani sehemu ambayo Yohana alikuwa akibatiza kwanza, na akakaa huko.
41 Bantu bangi balesa kulyendiye, nkabambeti, “Yohane liya kwinsapo byeshikukankamanisha sobwe, nsombi byonse mbyalikwamba pamuntu uyu byalikuba byakubinga.”
Watu wengi wakaja kwa Yesu. Waliendelea kusema, “Yohana kweli hakufanya ishara yoyote, lakini mambo yote aliyoyasema Yohana juu ya huyu mtu ni ya kweli.”
42 Kopeloko bantu bangi balashoma Yesu.
Watu wengi wakamwamini Yesu hapo.