< Jemusi 4 >
1 Inga nkondo shilafumunga kupeyo? Inga kutotekeshana pakati penu kulafumunga kupeyo? Ntepasa shilafumunga mu lunkumbwa lwa mubili, ebilalwananga mulinjamwe?
Ni kitu gani kinachosababisha mapigano na ugomvi miongoni mwenu? Je, haya hayatokani na tamaa zenu zinazoshindana ndani yenu?
2 Mukute kuyanda bintu nsombi bikute kumutaika, ecebo cakendi mukute kuyanda kushina, mukute kuyandishisha bintu, nsombi nkamukute kubicana, neco mukute kulondola nekulwana. Nkamukute kucana mbyomulayandanga pakwinga nkamukute kusenga Lesa kwambeti amupe.
Mnatamani lakini hampati, kwa hiyo mwaua. Mwatamani kupata lakini hampati vile mnavyotaka, kwa hiyo mnajitia katika magomvi na mapigano. Mmepungukiwa kwa sababu hammwombi Mungu.
3 Kayi mwasenganga, nkamukute kutambula, pakwinga miyeyo yenu yaipa. Mukute kusenga bintu kwambeti musebenseshe mubintu byalunkumbwa lwakumubili.
Mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, ili mpate kuvitumia hivyo mtakavyopata kwa tamaa zenu.
4 Amwe bantu babula lushomo, sena nkamucisheti cibusa ne cishi nikuba mulwani ne Lesa? Neco muntu layandanga cibusa ne cishi layandanga kuba mulwani wa Lesa.
Ninyi wanaume na wanawake wazinzi, hamjui ya kwamba urafiki na dunia ni uadui na Mungu? Kwa hiyo mtu yeyote anayetaka kuwa rafiki wa dunia hufanyika adui wa Mungu.
5 Sena mulayeyeti cikute kwamba Mabala nibwepeshi cakwambeti, “Mushimu Lesa ngwabika mulinjafwe utusuni kayi ukute bufuba palinjafwe?”
Au mwadhani kwamba Andiko lasema bure kuwa huyo Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?
6 Nomba necikabeco, nkumbo sha Lesa nishangofu. Mbuli Mabala ncalambangeti, “Lesa nkasuni beshikulisumpula, beshikulicepesha embwakute kupa nkumbo.”
Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Andiko husema: “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
7 Neco kamulibombeleshani kuli Lesa, tinganani ne Satana, neye nakamufwambe.
Basi mtiini Mungu. Mpingeni ibilisi, naye atawakimbia.
8 Kamuseng'enani kuli Lesa, neye nakaseng'ene kuli njamwe. Amwe beshibwipishi! Sambani kumakasa. Swepeshani myoyo yenu amwe bandemishibili!
Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu ninyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu ninyi wenye nia mbili.
9 Kamulitibuka mobene, nyumfwani nsoni, kayi lilani misoshi. Kuseka kwenu kube kulila, kayi kukondwa kwenu kube nsoni.
Huzunikeni, ombolezeni na kulia. Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni.
10 Mwalicepesha kuli Lesa, neye nakamusumpule.
Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye atawainua.
11 Mobanse bame, kamutambananga byaipa umo ne munendi, nambi komboloshana. Mwenseco mulomboloshonga Milawo ya Lesa. Womboloshanga Milawo ya Lesa ekwambeti nkolenshinga cilambanga Milawo, ulabanga momboloshi.
Ndugu, msineneane mabaya ninyi kwa ninyi. Mtu yeyote anayesema mabaya dhidi ya ndugu yake au kumhukumu anasema dhidi ya sheria na kuihukumu. Unapoihukumu sheria, basi huishiki sheria bali umekuwa hakimu wa kuihukumu hiyo sheria.
12 Lesa eukute kupa Milawo kayi emomboloshi. Endiye wela kupulusha kayi nekushina. Njobe bani olomboloshonga munobe?
Yuko Mtoa sheria mmoja tu na yeye peke yake ndiye Hakimu, ndiye awezaye kuokoa au kuangamiza. Lakini wewe ni nani hata umhukumu jirani yako?
13 Lino kamunyumfwani amwe mulambangeti, “Lelo nambi Lilo” Tukenga kumunshi unene wakuti wakuti, twenga twikaleko caka cakabumbulu, katwinsa makwebo nekucana mali angi.
Basi sikilizeni ninyi msemao, “Leo au kesho tutakwenda katika mji huu ama ule tukae humo mwaka mmoja, tufanye biashara na kupata faida.”
14 Nkamukute kwishiba ceti cikenshike lilo. Inga buyumi bwenu bulyeconi? Mulyeti bwishi bukute kubonekowa kwacindi cing'ana nekushimangana.
Lakini hamjui hata litakalotukia kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha hutoweka.
15 Amwe mwela kwambeti, “Mwami Lesa akatusuminisha kuba nebuyumi nitukense ici ne ico”
Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Bwana akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”
16 Nomba pacino cindi mulalisumpulunga, kulisumpula kulico kwaipa.
Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu.
17 Muntu eshiba bintu byaina byakwinsa, nomba ubula kubinsa ukute mulandu.
Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.