< Bahebeli 5 >

1 Shimilumbo Mukulene uliyense ukute kusalwa kufuma pakati pa bantu banendi, ne kubikwa ne Lesa kwambeti abaimaninenga kuli Lesa. Ncito yakendi ni yakubenga bipo ne milumbo kwambeti Lesa alekelele bwipishi bwa bantu.
Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu anawekwa kuwawakilisha kwa mambo yanayomhusu Mungu, ili apate kutoa matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
2 Pacebo cakwambeti neye walefuka, encakute kubela wabomba moyo kubantu bakute kwinsa byaipa mwakubula kwinshiba.
Kwa kuwa yeye mwenyewe ni dhaifu, aweza kuwachukulia kwa upole wale wasiojua na kupotoka.
3 Neco pakuba muntu walefuka nkela kutwala milumbo kuli Lesa ya kufunya bwipishi bwa bantu banendi bonka sobwe, nsombi ne bwipishi bwakendi.
Hii ndiyo sababu inampasa kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na vivyo hivyo kwa ajili ya dhambi za watu.
4 Nkakute kulisala ne kulipa bulemu mwine bwakuba Shimilumbo Mukulene sobwe, nsombi Lesa eukute kumukuweti abe Shimilumbo Mukulene mbuli ncalakuwa Aloni.
Hakuna anayejitwalia heshima hii mwenyewe; ni lazima aitwe na Mungu, kama vile Aroni alivyoitwa.
5 Copeleco, neye Klistu uliya kulipa bulemu mwine bwakuba Shimilumbo Mukulene sobwe, nsombi Lesa ewalamwambileti, “Njobe mwaname ame lelo ndaba Baiso.”
Pia Kristo hakujitwalia utukufu yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani Mkuu, bali Mungu alimwambia, “Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuzaa.”
6 Kayi mu Mabala, napambi palembweti, “Nukabengowa Shimilumbo cindi conse mbuli bushimilumbo bwa Melekisedeki.” (aiōn g165)
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
7 Yesu kacili muntu pacishi capanshi walikupaila ne kusenga kuli Lesa mwakompolola kalila misonshi kuli Lesa uyo wela kumupulusha ku lufu. Cebo cakulicepesha kayi ne kulibenga, Lesa walamukumbula.
Katika siku za maisha ya Yesu hapa duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, yeye awezaye kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia kwa sababu ya kutii kwake kwa unyenyekevu.
8 Nikukabeti Yesu walikuba Mwanendi Lesa, mapensho ngalakumanya alamwiyisha kunyumfwila Lesa.
Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata,
9 Mpwalaba welela cakupwililila walaba citatiko calupulusho lwa cindi conse ku bantu balamunyumfwilinga. (aiōnios g166)
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios g166)
10 Neco Lesa walamubika kuba Shimilumbo Mukulene, bushimilumbo bwa Melekisedeki.
Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
11 Nkute makani angi akwamba, nomba ayuma kwamba kuli njamwe pakwinga nkamukute kunyumfwa bwangu.
Tunayo mengi ya kusema kuhusu habari ya ukuhani huu, lakini ni vigumu kuyaeleza, kwa sababu ninyi ni wazito wa kuelewa.
12 Nambi canga celela kwambeti pacino cindi mube beshikwiyisha, mulayandanga muntu wela kumwiyisha biyo bitanshi bya maswi a Lesa. Mu musena wakwambeti mulye byakulya byakutamfuna, mucili mwelela kunwowa mukupa.
Kwa hakika, ingawa mpaka wakati huu ingewapasa kuwa walimu, bado mnahitaji mtu wa kuwafundisha tena hatua za awali za kweli ya Neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si chakula kigumu!
13 Uliyense ucinwa mukupa ulyeti mwana kateta wabula lwinshibo mubintu byalulama.
Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.
14 Nomba byakulya byakutamfuna ni bya makulene, abo bela kusebensesha ngofu sha lwinshibo lwakushiyanisha pakati pa caina ne caipa kwelela.
Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.

< Bahebeli 5 >