< Bakolose 1 >
1 Njame Paulo, mutumwa wa Klistu Yesu kwelana ne kuyanda kwa Lesa, ndi pamo ne Timoti mwanse wetu,
Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
2 tulalembelenga amwe mwalasalwa ne Lesa mwekala mu Kolose, mobanse mwashoma muli Klistu. Lesa Bata bamuleshe kwina moyo nekumupa lumuno.
Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
3 Twamupaililangonga, cindi conse tukute kulumbaisha Lesa Baishi, Mwami wetu Yesu Klistu,
Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,
4 tulamulumbunga, pakwinga tulanyumfu sha lushomo ndomukute muli Klistu Yesu, kayi lusuno ndomukute ku bantu ba Lesa bonse.
kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:
5 Lushomo ne lusuno lwenu lwebakwa pabupembeleshi, ubo Lesa mbwamubambila Kwilu, mbomwalatambula mpomwalanyumfwa Mulumbe Waina kwa kacindi cakutanguna, uwo e maswi ancinencine.
imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili
6 Mulumbe Waina ulapitilishingowa kuleta colwe kubantu, kayi ulamwaikilinga mucishi capanshi conse, mbuli ncalesa kuli njamwe pabusuba mbomwalanyumfwishisha ne kwishiba nkumbo sha Lesa.
iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
7 Mwalaiya ibi bintu kufuma kuli Epafulasi musebenshi munetu wayandika, musebenshi washomeka lasebenselenga Klistu uyo watwimaninako.
Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
8 Ewalatwambila sha lusuno ndolamunyamfwanga Mushimu Uswepa.
ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
9 Ecebo cakendi kufuma pa busuba mpotwalanyumfwa sha makani enu tuliya kuleka kumupaililako. Tulasengengeti Lesa amupe mano ne lwishibo lwesulila lwa Mushimu Uswepa kwambeti mwishibe cena luyando lwakendi.
Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.
10 Popelapo nimukacikonse kwenda munshila njalayandanga nekumukondwelesha Mwami. Mulenshinga cena muncito shenu shapusana pusana, buyumi bwenu nibukaleshe micito yapusana pusana. lunshibo lwenu lwakwishiba Lesa lukule.
Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,
11 Ndapailingeti Lesa pakusebensesha ngofu sha bulemu bwakendi, amupeko ngofu shapitilila, kwambeti mucikonshe kupita mumakatasho aliwonse kamuli mwatekanya myoyo nekukondwa.
mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha
12 Lumbaishani Mwami Lesa Bata abo balapesheti mucikonshe kutambula colwe ncabambila bantu mu Bwami bwakendi bulamunikinga.
mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.
13 Walatufunya mu ngofu sha mushishe nekututwala mu bwendeleshi bwa Mwanendi ngwasuni.
Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
14 Kupitila mu Mwanendi, Lesa walatupulusha mu bwipishi pakutulekelela bwipishi bwetu bonse.
ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.
15 Klistu emukoshano wancinencine wa Lesa uyo utaboneke. Nendi eMwanendi wakusomona, ukute bwendeleshi pabilengwa byonse.
Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
16 Kupitila mulyendiye Lesa walalenga byonse byakwilu nebyapa cishi capanshi, mbyotukute kubona ne mbyotutakonsho kubona, mishimu yangofu, ne bendeleshi ne bami Lesa walalenga byonse kupitila mu Mwanendi kayi nibyakendi.
Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
17 Mwanendi Lesa walikubako myaka yandoba bintu byonse kabitana bibako, mulyendiye byonse byekatana pamo.
Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
18 Klistu emutwi wa mubungano, emubili wakendi. Klistu emukalo wa buyumi bwa mubili, kayi ekabalabala kupunduka kubafu kwambeti amantemo lubasu lwakutanguna muli byonse.
Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
19 Lesa walakondwa kwambeti ngofu shakendi shabulesa shibonekele muli Klistu.
Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
20 Kayi kupitila mu mwanendi, Lesa walayanda kwambeti abike pamo bintu byonse, bya kwilu ne bya pa cishi capashi mulumuno, kupitila mulufu lwapa lusanda lwa Mwanendi.
na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.
21 Mwalikuba mwatalamuka kuli Lesa cebo ca miyeyo yenu ne bintu byaipa mbyomwalikwinsa.
Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.
22 Nomba pacino cindi kupitila mu Mwanendi uyo walaba muntu ne kufwa. Mulaba banendi Lesa kwambeti amulete kulyendiye, kamuli baswepa babula kampenda nambi kantongo kalikonse.
Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
23 Neco kamubani ne lushomo lwayuma kamutaba bantu beshikutenkana pakupembelela kwenu, nkomwalatambula pacindi ncomwalanyumfwa Mulumbe Waina. Ame Paulo, ndemusha pacebo ca Mulumbe Waina uwu ulakambaukwanga pacishi conse.
ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.
24 Kayi lino ndakondwa kumupengela, pakwinga mapensho akame alanyamfwilishinga kupwisha mapensho a Klistu alashala akupengela mubili wakendi, uwo uli mubungano.
Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
25 Neco ndemusha wa mubungano, pakwinga Lesa walampa ncito yakusebensa, incito ya kukambauka mulumbe wakendi wonse.
Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:
26 Pakwinga ku myaka yandoba, mulumbe uwu nkawalikuba weshibikwa ku muntu uliyense sobwe, nomba pacino cindi ulakambaukwanga ku bantu bakendi. (aiōn )
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
27 Lesa walayandeti bantu batamwishi beshibe maswi acancine ncine. Maswi abubile bwa bulemu bwakendi ubo bwalikuba bwasolekwa ku bantu bonse. Calikuba casolekwa ico nicakwambeti Klistu uli muli njamwe, kayi ewalamupa kupembelela kwa kwisakutambula bulemu bwakendi Lesa.
Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
28 Klistu engotulakambaukunga. Tulasebenseshenga mano etu onse kucenjesha ne kwiyisha bantu bonse kwambeti babule kampenda mukwikatana pamo ne Klistu.
Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.
29 Ecebo cakendi ncondasebenselenga cangofu pakusebensesha ngofu nshondalapewa ne Klistu shilasebensenga mulinjame.
Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.