< Incito 9 >
1 Saulo usa walapitilisha kuyosha sha kushina bantu balikukonkela kwiyisha kwa Yesu. Walaya kuli Mukulene wa Beshimilumbo,
Lakini Sauli, aliendelea kusema vitisho hata vya kifo kwa wanafunzi wa Bwana, alikwenda kwa kuhani mkuu
2 kuya kusenga makalata akumusuminisha kuyanawo ku manda akupaililamo ku Damasiko, kwambeti acanako nabambi bantu bacikonkela kwiyisha kwa Yesu, babe batuloba, nambi batukashi abasunge ne kubaleta ku Yelusalemu.
na kumwomba barua kwa ajili ya masinagogi huko Dameski, ili kwamba akimpata mtu aliye katika Njia ile, awe mwanaume au mwanamke, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.
3 Mpobalashika pepi ne ku Damasiko mu bulwendo bwakendi, mwakutengashila mumuni watuba tuu walafuma kwilu ne ku mushinguluka.
Hata alipokuwa akisafiri, ilitokea kwamba alipokaribia Dameski, ghafla ikamwangaza kotekote nuru kutoka mbinguni,'
4 Walawa panshi ne ku nyumfwa liswi lya kwambeti, “Saulo, Saulo, ulampenshelenga cani?”
naye akaanguka chini na akasikia sauti ikimwambia,”Sauli, Sauli, mbona wanitesa mimi?”
5 Saulo walepusheti, “Inga njamwe bani Mwami?” Liswi lyalamukumbuleti, “Njame Yesu ngolapenshenga.
Sauli akajibu, U nani wewe Bwana? Bwana akasema, “Mimi ndiye Yesu unayeniudhi;
6 Nyamuka, koya wingile mu munshi uwu, ni bakwambile ca kwinsa.”
Lakini inuka, ingia mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda
7 Bantu mbwalikuba nabo balemana, babula ca kwambapo, maswi awo bali kwanyumfwa, nsombi nkabalikumubona muntu walikwamba.
Wale watu waliosafiri pamoja na Sauli wakatulia kimya, wakisikiliza sauti, wasione mtu.
8 Saulo walanyamuka, nsombi mpwalakapula menso, calala kubona cili conse. Neco banendi mbwalikuba nabo balengila nendi mu munshi wa Damasiko kabali bamwikatilila ku cikasa.
Sauli akainuka katika nchi na alipofungua macho yake, hakuweza kuona kitu, wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski.
9 Walekala masuba atatu katabono, katali cakulya, nambi kunwa cili conse.
Kwa siku tatu haoni, hali, wala hanywi.
10 Lino mu Damasiko mwalikuba shikwiya naumbi lina lyakendi Hananiya. Uyo walabona mucimbonimboni Mwami kamukuweti, “Hananiya!” Nendi walakumbuleti, “Mwami!”
Basi palikuwapo mwanafunzi Dameski jina lake Anania, Bwana alisema naye katika maono, “Anania.” Na akasema, “Tazama, nipo hapa, Bwana.
11 Lino Mwami wala mwambileti, “Nyamuka, wenga kunshila njobakute kukuweti, ‘Nshila ya Tandabala.’ Washika ku ng'anda ya Yuda, wenga wipusheko muntu wa ku Taliso, lina lyakendi ni Saulo. Lapailinga pacino cindi.
“Bwana akamwambia, “Inuka uenda zako katika mtaa uitwao Nyofu, na katika nyumba ya Yuda na ukaulize mtu kutoka Tarso aitwaye Sauli; maana angali anaomba;
12 Mucimbonimboni walabona muntu lina lyakendi ni Hananiya walesa ku bika makasa akendi palyendiye kwambeti akonshe kubona kayi.”
na alimwona katika maono mtu jina lake Anania akiingia na kumwekea mikono juu yake ili kwamba apate kuona.
13 Mpwalanyumfweco Hananiya walambeti, “Mwami, bantu bangi balang'ambili sha muntuyu, walabenshila bintu byaipa bantu benu ku Yelusalemu.
Lakini Anania akajibu, “Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kwa watu wengi, kwa kiasi gani alivyowatendea mabaya watakatifu wa huko Yerusalemu;
14 Lino kayi uli kuno pakusuminishiwa ne beshimilumbo bamakulene kwambeti ese abasunge abo bonse bakute kukambilila amwe.”
Hapa ana mamlaka kutoka kwa kuhani mkuu kumkamata kila mmoja anayeliitia jina lako.
15 Nsombi nendi Mwami Yesu walamwambileti, “Koya, pakwinga muntuyu ndamusala, ni musebenshi wakame eshakakambaukile mishobo imbi sha Lina lyakame, bami ne bene Islayeli.
Lakini Bwana akamwambia, “Nenda, kwa maana yeye ni chombo teule kwangu, alichukue jina langu mbele ya Mataifa na wafalme na wana wa Israeli.
16 Ame nindimuboneshe bishikubaba bingi mbyeshi akanyumfwe pacebo ca lina lyakame.”
Maana nitawaonesha yalivyo mengi yatakayompasa kuteswa kwa ajili ya jina langu”.
17 Popelapo Hananiya walanyamuka ne kuya kwingila mu ng'anda umo mwalikuba Saulo. Walabika makasa pali Saulo ne kwambeti, “Mwanse wame Saulo, Mwami Yesu uyo wakubonekela pa nshila mpo wesanga kuno, lantumu. Layandangeti utatike kubona, kayi eti wisulilwe ne Mushimu Uswepa.”
Anania akaenda, akaingia mle nyumbani; Akamwekea mikono akasema, Ndugu Sauli, Bwana Yesu, aliyekutokea katika njia ulipokuwa unakuja, amenituma upate kuona tena na ujazwe Roho Mtakatifu.
18 Popelapo mu menso mwa Saulo mwalafuma bintu bilyeti mamba answi. Walatatika kubona kayi, walanyamuka ne kubatishiwa.
Ghafla vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa; akala chakula na kupata nguvu.
19 Panyuma pakulya cakulya, walaba ne ngofu. Saulo walekala ne beshikwiya baku Damasiko kwa masuba ang'ana.
Akakaa pamoja na wanafunzi huko Dameski kwa siku nyingi.
20 Mwakutataya cindi, Saulo walatatika kukambauka mu manda akupaililamo a Bayuda, kwambeti Yesu ni Mwanendi Lesa.
Wakati huo huo akamtangaza Yesu katika masinagogi, akisema kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.
21 Bantu bonse balikumunyumfwa balakankamana ne kwipushana bene, “Sena uyu nteyo usa walikushina bantu bashoma Yesu ku Yelusalemu? Sena kuno nte leshili kwisa kusunga bantu bamushobo uwu bonse ne kubatwala kuli beshimilumbo bamakulene?”
Na wote waliosikia walishangaa na kusema, “Siyo mtu huyu aliyewaharibu wote walioita Jina hili huko Yerusalemu? Na hapa alikuja kwa kusudi la kuwafunga na kuwapeleka kwa makuhani.”
22 Ngofu sha Saulo sha kukambauka shali kuya kukonempa, walapwisha mano Bayuda balikwikala mu Damasiko, ne kubashinineti Yesu endiye Mupulushi Walaiwa.
Lakini Sauli aliwezeshwa kuhubiri na kuwafanya Wayahudi waliokaa Dameski wachanganyikiwe na kuthibitisha ya kuwa huyu ndiye Kristo.
23 Mpopalapita cindi citali, Bayuda balapanganeti bamushine Saulo.
Baada ya siku nyingi, Wayahudi wakafanya shauri pamoja ili wamuue.
24 Bantu balikuyanda kumushina bali kumupembelela munshi ne mashiku pacishinga ca mushi kwambeti bamushine. Nomba nabambi bantu balaya kumwambila nshebalapangana.
Lakini mpango wao ukajulikana na Sauli. Wakamvizia mlangoni mchana na usiku wapate kumuua.
25 Neco pacindi ca mashiku beshikwiya bakendi balamubika mu mutanga ne kumupulishila pa cibwanko ca lubumbu lwa lilinga.
Lakini wanafunzi wake wakamchukua usiku wakamshusha kupitia ukutani, wakamtelemsha chini katika kapu.
26 Mpwalashika ku Yelusalemu, Saulo walelekesha kusankana pamo ne beshikwiya. Nomba bonse balikuba ne buyowa, balikutonshanya kwambeti neye ni shikwiya.
Na Sauli alipofika Yerusalemu, alijaribu kujiunga na wanafunzi lakini walikuwa wakimuogopa, wasisadiki kuwa yeye ni mwanafunzi.
27 Popelapo Banabasi, walamumanta Saulo ne kumutwala kuli batumwa. Banabasi walabambila batumwa mbuli Saulo mwalabonena Mwami Yesu pa nshila ya ku Damasiko, ne Mwami ncalamwambila, kayi walabambila ncali kukambauka Saulo mulina lya Yesu mwakubula buyowa ku Damasiko.
Lakini Barnaba akamchukua na kumpeleka kwa mitume, Na akawaeleza jinsi Sauli alivyomuona Bwana njiani na Bwana alivyosema nae, na jinsi Sauli alivyohubiri kwa ujasiri kwa jina la Yesu huko Dameski.
28 Neco Saulo walekala nabo, walendana mu Yelusalemu monse kaya ku kambauka mulina lya Mwami Yesu mwakubula buyowa.
Alikutana nao walipoingia na kutoka Yerusalemu. Akanena kwa ujasiri kwa jina la Bwana Yesu,
29 Saulo walikwamba ne kutotekeshana nabo Bayuda bali kwamba Cigiliki. Pacebo ico, naboyo balelekesha kumushina.
akihojiana na Wayahudi wa Kiyunani lakini wakijaribu mara kwa mara kumuua.
30 Beshikwiya mpobala nyumfweco, balaya pamo nendi ku Kaisaleya, ne kumutuma ku Taliso.
Wakati ndugu walipojua jambo hilo, wakamchukua mpaka Kaisaria, na wampeleke aende Tarso.
31 Mibungano yonse yaku Yudeya, ne ku Galileya, kayi ne ku Samaliya yalekala mubote. Kayi yalayumayuma, bantu balafula, pakwinga bantu cindi conse balikupa bulemu Mwami. Kayi Mushimu Uswepa walikubayuminisha.
Basi kanisa lote katika Uyahudi, Galilaya na Samaria, lilikuwa na amani, na likajengwa, na kutembea katika hofu ya Bwana na faraja ya Roho Mtakatifu, kanisa likakua kwa kuongezeka idadi.
32 Petulo mpwali kwendana uku ne uku, walakekala pamo ne bantu ba Lesa baku Lida.
Kisha ilitokea Petro alipokuwa akizungukazunguka pande zote za mkoa, akawateremkia waumini waishio katika mji wa Lida.
33 Uko nkwalacana mutuloba naumbi lina lyakendi Eneya, walikuba watontola biso bya mubili, walikonowa pampasa kwa byaka bisanu ne bitatu, kwakubula kupunduka.
Akamuona huko mtu mmoja jina lake Ainea, mtu huyo amekuwa kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.
34 Petulo walamwambileti, “Eneya, Yesu Klistu lakusengulunga. Punduka, yansula mpasa yakobe.” Popelapo walapunduka.
Petro akamwambia, “Ainea, Yesu Kristo akuponye; Amka na ujitandikia kitanda chako,” Mara akaamka.
35 Mpobalamubona bantu bonse bekala mu Lida, ne mu Saloni, balashoma Mwami.
Na watu wote waliokaa Lida na Sharoni walipomuona mtu huyo, walimgeukia Bwana.
36 Ku Yopa kwalikuba shikwiya naumbi mutukashi, lina lya kendi Tabita mu Cigiliki ni Dolika. Wali kwinsa ncito shingi shaina, wali kunyamfwa bapenshi.
Palikuwa na mwanafunzi Yafa aitwaye Tabitha, ambalo lilitafsiriwa kama “Dorcas” Huyu mwanamke alijaa kazi njema na matendo ya rehema aliyoyafanya kwa maskini.
37 Pacindico Dolika walakolwa ne kufwa. Bantu balasambisha citumbi, ne kuconeka mu cipinda capelu mu ng'anda.
Ilitokea katika siku hizo aliugua na akafa; walipomsafisha, walimpandisha chumba cha juu na kumlaza.
38 Ku Yopa kwalikuba pepi ne ku Lida, neco beshikwiya mpobalanyumfweti Petulo uli ku Lida, balatuma bantu babili kuya kumwambileti, “Tulapapata, kamwisani kuno lino lino.”
Kwa vile Lida ilikuwa karibu na Yafa, na wanafunzi walisikia kwamba Petro alikuwa huko, waliwatuma watu wawili kwake, wakimsihi, “Njoo kwetu bila kuchelewa”.
39 Petulo walanyamuka ne kuya nabo. Mpwalashika, balamushindikila mu cipinda ca pelu cisa. Walacanamo batukashi bangi bamukalubingi kabalila, balamushinguluka Petulo ne kumulesha minjila ne byakufwala nabimbi mbyali kutunga Dolika, cindi ncalikuba muyumi.
Petro akaamka na akaondoka pamoja nao. Alipofika, walimleta katika chumba cha juu. Na wajane wote walisimama karibu naye wakilia, wakimwonyesha koti na nguo ambazo Dorcas aliwashonea wakati akiwa pamoja nao.
40 Petulo walasenga bonse mwa bulemu kwambeti benga pansa. Walasuntama panshi ne kupaila. Walacebukila kwalikuba citumbi cisa ne kwambeti, “Tabita, punduka!” Tabita walakapula, mpwalabona Petulo, walekala ne kwikala.
Petro akawatoa wote nje ya chumba, akapiga magoti akaomba, kisha akaugekia mwili, akasema, “Tabitha, amka”. Akafungua macho yake na alipomwona Petro akakaa chini.
41 Petulo walamwikata kucikasa ne kumunyamfwilisha kwimana. Petulo walakuwa bantu bonse, bashoma Lesa, ne basa batukashi bamukalubingi, ne kumutwala Tabita kulyendibo kali muyumi ntaa!
Kisha Petro akampa mkono wake akamwinua, na alipowaita waamini na wajane, akawakabidhi kwao akiwa hai
42 Makani awa mpwalanyumfwika ku Yopa, bantu bangi balashoma Mwami Lesa.
Jambo hili likajulikana Yafa yote, na watu wengi wakamwamini Bwana.
43 Petulo walekala masuba angi ku Yopa ku ng'anda ya muntu naumbi lina lyakendi Shimoni, kanyuka mpaya.
Ilitokea Petro akakaa siku nyingi Yafa pamoja na mtu aitwaye Simoni, mtengeneza ngozi.