< Incito 3 >

1 Lino busuba nabumbi Petulo ne Yohane balikuya ku Ng'anda ya Lesa cindi ca 3 koloko mansailo, kuya kupaila.
Siku moja Petro na Yohana walikuwa wanapanda kwenda Hekaluni kusali yapata saa tisa alasiri.
2 Bantu nabambi balaleta muntu walasemwa kali mulema myendo. Masuba onse balikumubika pa cishinga ca Ng'anda ya Lesa, calikukwiweti “Cishinga Capa,” Kwambeti asengenga bantu balengilinga mu lubuwa lwa Ng'anda ya Lesa.
Basi palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa. Alichukuliwa na kuwekwa kwenye lango la Hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili aombe msaada kwa watu wanaoingia Hekaluni.
3 Uyu muntu mpwalabona Petulo ne Yohane kabengila mu lubuwa lwa Ng'anda ya Lesa, walabasengeti, “Kamumpako kantu.”
Huyu mtu alipowaona Petro na Yohana wakikaribia kuingia Hekaluni, akawaomba wampe sadaka.
4 Balo balamulangishisha, popelapo Petulo walamwambileti, “Kotulangishisha!”
Wakamkazia macho, kisha Petro akamwambia, “Tutazame sisi.”
5 Nendi walabangishisha kayeyeti natambuleko kantu.
Hivyo yule mtu akawatazama, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
6 Nomba Petulo walamwambileti, “Mali ndiyawa, nsombi nindikupe cintu nconkute. Mu Lina lya Yesu Klistu waku Nasaleti, Imana wende!”
Ndipo Petro akamwambia, “Sina fedha wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!”
7 Walamwikata kucikasa cakululyo, ne kumunyamfwilisha kwimana. Popelapo bimpanta ne tupondopashi twakendi twalayuma yuma.
Petro akamshika yule mtu kwa mkono wa kuume akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.
8 Walaulukila mwilu, walemana nji! ne kutatika kwenda kaculauka culauka, walengila mu lubuwa lwa Ng'anda ya Lesa pamo nendibo kalyendela mwine, katembaula Lesa.
Akaruka juu na kusimama, akaanza kutembea. Kisha akaingia Hekaluni pamoja na Petro na Yohana, huku akitembea na kurukaruka na kumsifu Mungu.
9 Bantu bonse balamubona kenda ne kutembaula Lesa.
Watu wote walipomwona akitembea na kumsifu Mungu,
10 Balamwinshibeti endiye walikwikala pa Cishinga Capa ca Ng'anda ya Lesa. Ici calenshika ku muntuyu calabakankamanisha ne kubapwisha mano.
wakamtambua kuwa ni yule mtu aliyekuwa akiketi nje ya Hekalu penye lango liitwalo Zuri akiomba msaada, nao wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale yaliyomtukia.
11 Bantu bonse, balakankamana kwine, balafwambila kumukushi walikukwiweti, “Mukushi wa Solomoni.” Uko kwalikuba Petulo ne Yohane, balacana usa muntu kali wabekatilila.
Aliyeponywa alipokuwa akiambatana na Petro na Yohana, watu wote walishangaa mno, wakaja wakiwakimbilia pale ukumbi wa Solomoni.
12 Petulo mpwalaboneco walamba nabo bantu abo, walambeti, “Amwe Baislayeli mulakankamanangeconi? Mulatulangangeconi cisa eti muntuyu tulamwendeshe ne ngofu shetu tobene? Sena mulayeyengeti afwe njafwe tukute kupaila Lesa kupita amwe?
Petro alipoona watu wamekusanyika akawaambia, “Enyi Waisraeli, kwa nini mnastaajabu kuhusu jambo hili? Mbona mnatukazia macho kwa mshangao kana kwamba ni kwa uwezo wetu au utakatifu wetu tumemfanya mtu huyu kutembea?
13 Nteco ico sobwe, Lesa wa Abulahamu, Lesa wa Isake, Lesa Yakobo, kayi Lesa wa bamashali betu, elapa bulemeneno Yesu musebenshi wakendi. Amwe ngomwalatwala mu makasa a bendeleshi ne kumukana pamenso pa Pilato, nendi kayanda kumusungulula.
Mungu wa Abrahamu na Isaki na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Mwanawe Yesu, ambaye ninyi mlimtoa ahukumiwe kifo na mkamkana mbele ya Pilato, ingawa yeye alikuwa ameamua kumwachia aende zake.
14 Nsombi mwalakana musebenshi washomeka kayi walulama, mwalasenga Pilato kwambeti, amusungulwile kapondo usa.
Ninyi mlimkataa huyo Mtakatifu na Mwenye Haki mkaomba mpewe yule muuaji.
15 Mwalashina citente ca buyumi, nsombi Lesa walamupundusha kubafu, kayi afwe tobakamboni pa makani awa.
Hivyo mkamuua aliye chanzo cha uzima, lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu. Sisi tu mashahidi wa mambo haya.
16 Muntuyu ngomulabononga kayi ngomwinshi, lashomo lina lya Yesu. Lushomo ndwakute muli Yesu, elulayumishi myendo yakendi, kwambeti abe cena, mbuli ncomulamubononga mwense.”
Kwa imani katika jina la Yesu, huyu mtu mnayemwona na kumfahamu ametiwa nguvu. Ni kwa jina la Yesu na imani itokayo kwake ambayo imemponya kabisa huyu mtu, kama ninyi wote mnavyoona.
17 Kayi ndicinshi mobanse bame kwambeti, amwe ne batangunishi benu mwalensa ibi mwakubula kwinshiba.
“Sasa ndugu zangu, najua ya kuwa ninyi mlitenda bila kujua, kama walivyofanya viongozi wenu.
18 Nomba Lesa walambilalimo kubashinshimi bonse kwambeti, Klistu nakapenshewe, neco walacikwanilisha ndendende.
Lakini kwa njia hii Mungu alitimiza kile ambacho alikuwa ametabiri kwa vinywa vya manabii wake wote, kwamba Kristo atateswa.
19 Neco shiyani bwipishi, bwelelani kuli Lesa kwambeti afunye bwipishi bwenu,
Tubuni basi mkamgeukie Mungu, dhambi zenu zifutwe, ili zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwepo kwake Bwana,
20 na mwinseco, cindi cakatontoshi keshikufuma pamenso pa Mwami Lesa nikakamushikile, kayi nakamutumine Klistu Yesu uyo Lesa ngwalasalilalimo cebo ca njamwe.
naye apate kumtuma Kristo, ambaye ameteuliwa kwa ajili yenu, yaani Yesu.
21 Uyo nendi walatambulwa Kwilu mpaka kushika cindi cakubambulula bintu, mbuli Lesa ncalamba kupitila mubashinshimi bakendi bakulukulu bashomeka. (aiōn g165)
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn g165)
22 Mose walambeti, Lesa Mwami wenu nakapundushepo umo pakati pabanse benu uyo eshakabe mushinshimi ulyeti ame. Mukamunyumfwilenga mbyeti akamwambilenga byonse.
Kwa maana Mose alisema, ‘Bwana Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Itawapasa kumtii huyo kwa kila jambo atakalowaambia.
23 Uliyense eshakabule kunyumfwila mushinshimi uyo nibakamufunye pa bantu ba Lesa ne kumononga.
Mtu yeyote ambaye hatamsikiliza huyo nabii, atatupiliwa mbali kabisa na watu wake.’
24 Bashinshimi bonse balikwambapo, kutatikila Samiyele, mpaka bashinshimi bonse balabako panyuma pakendi, balikukambauka sha masuba ano.
“Naam, manabii wote tangu Samweli na waliokuja baada yake, wote walitabiri kuhusu siku hizi.
25 Kushomesha kwa Lesa kupitila mubashinshimi bakendi nikwenu, kayi mukutemo lubasu mu cipangano ncalabamba Lesa ne bamashali benu bakulukulu. Mbuli ncalambila Abulahamu kwambeti, Kupitila mubashukulu bakobe, ninkape colwe mishobo yonse ya pacishi capanshi.
Ninyi ndio wana wa manabii na wa Agano ambalo Mungu alifanya na baba zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Kupitia kwa uzao wako, watu wote wa ulimwengu watabarikiwa.’
26 Neco Lesa walasala musebenshi wakendi, cakutanguna walamutuma kuli njamwe, kwambeti amupe colwe pakunyamfwilisha uliyense kushiya nshila shakendi shaipa.
Mungu alipomfufua Yesu Mwanawe, alimtuma kwenu kwanza, ili awabariki kwa kumgeuza kila mmoja wenu kutoka njia yake mbaya.”

< Incito 3 >