< Incito 28 >

1 Mpotwalapuluka ne kushika cena ku mutunta, bantu bakusa balatwambileti, kuno ku mutunta nkomubele nipa nsumbu ikute kukwiweti Melita.
Baada ya kufika nchi kavu salama, ndipo tukafahamu kwamba jina la kile kisiwa ni Malta.
2 Bantu aba balikuba baina myoyo. Balatutambula cena, balatukunkila mulilo pakwinga kwalikuba mpepo cebo ca mfula yali kuloka.
Wenyeji wa kile kisiwa wakatufanyia ukarimu usio wa kawaida. Waliwasha moto na kutukaribisha sisi sote kwa sababu mvua ilikuwa inanyesha na kulikuwa na baridi.
3 Paulo walaya kutema muleye wankuni. Lino cindi ncalabika muleye wa nkuni uwo pamulilo, njoka yabululu yalikubamo mpoyalanyumfwa kulungula, yalasolomokamo ne kumuluma Paulo kucikasa.
Paulo alikuwa amekusanya mzigo wa kuni na alipokuwa anaweka kwenye moto kwa ajili ya joto, nyoka mwenye sumu akatoka humo na kujisokotea mkononi mwake.
4 Bantu ba uko mpobalabona njoka kaili yalelela ku cikasa ca Paulo, balambeti, “Cakubinga muntuyu ni kapondo, nambi wapuluka palwenje, lesa wetu wabululami nkasuni kwambeti uyu muntu ekale ne buyumi.”
Wale wenyeji wa kile kisiwa walipomwona yule nyoka akiningʼinia mkononi mwa Paulo, wakaambiana, “Huyu mtu lazima awe ni muuaji, ingawa ameokoka kutoka baharini, haki haijamwacha aishi.”
5 Paulo waisansamwina pamulilo, uliya kulingwapo sobwe.
Lakini Paulo akamkungʼutia yule nyoka ndani ya moto wala yeye hakupata madhara yoyote.
6 Bantu balikuyeyeti nashimbe, nambi kufwa kwakwinsa kwalamuka. Nomba mpobalalangila kwacindi citali, ne kuboneti paliya cilenshiki pali Paulo, balambeti, “Ni lesa!”
Watu walikuwa wanangoja avimbe au aanguke ghafula na kufa. Lakini baada ya kungoja kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna chochote kisicho cha kawaida kilichomtokea, wakabadili mawazo yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.
7 Capepi napo mpotwalikuba, palikuba mabala amutangunishi wapa nsumbu ya Melita walikukwiweti Pabulosi. Walatutambula ca makasa abili, twalekala nendi masuba atatu.
Basi karibu na sehemu ile, palikuwa na shamba kubwa la mtu mmoja kiongozi wa kile kisiwa, aliyeitwa Publio. Alitupokea na akatuhudumia kwa ukarimu mkubwa kwa muda wa siku tatu.
8 Baishi Pabulosi balikuba bona kabakolwa bulwashi bwa kulungula mubili, kayi ne cinkumbe. Paulo walaya mu ng'anda mobalikuba, walapaila nekubika makasa akendi palyendibo, popelapo balasengulwa.
Baba yake Publio alikuwa mgonjwa kitandani, akiwa anaumwa homa na kuhara damu. Paulo akaingia ndani ili kumwona na baada ya maombi, akaweka mikono juu yake na kumponya.
9 Panyuma mpocalenshika ici bantu bonse balikukolwa malwashi pansumbu apa, balatatika kwisa kuli Paulo, kayi balasengulwa.
Jambo hili lilipotukia, watu wote wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.
10 Balatulemekesha munshila shingi. Mpotwalengila mu bwato bunene kwambeti twenga, balatubikilamo bintu nabimbi byalikuyandika pa bulwendo bwetu.
Wakatupa heshima nyingi, nasi tulipokuwa tayari kusafiri kwa njia ya bahari, wakapakia melini vitu vyote tulivyokuwa tunavihitaji.
11 Panyuma pakwikalako myenshi itatu, twalatanta bwato bunene bwalikufuma ku Alekisandiliya, kuntangu kwa bwato ubu kwalikuba cikoshano ya “Balesa Bampundu.” Ubu bwato bunene bwalikuba apa pa nsumbu cindi conse ca mupewo.
Miezi mitatu baadaye tukaanza safari kwa meli iliyokuwa imetia nanga kwenye kisiwa hicho kwa ajili ya majira ya baridi. Hii ilikuwa meli ya Iskanderia yenye alama ya miungu pacha waitwao Kasta na Poluksi.
12 Mpotwalashika ku munshi wa Sulakusa, twalekalako masuba atatu.
Kituo chetu cha kwanza kilikuwa Sirakusa na tukakaa huko siku tatu.
13 Kufuma uko, twalenda ne kuya kushika ku munshi wa Legiyamu. Busuba bwalakonkapo, lukupwe lwalatatika kupupula kufumina ku musansa. Pabusuba bwatubili twalashika pa cito ca Potiyolo.
Kisha tukangʼoa nanga, tukafika Regio. Siku iliyofuata, upepo mkali wa kusi ukavuma, na siku ya pili yake tukafika Puteoli.
14 Uko twalacanako banse abo balatusengeti, twikale nabo kwa nsondo imo. Twalatatika bulwendo bwetu bwa mapwililisho pakuya kushika ku Loma.
Huko tukawakuta ndugu, nasi tukakaribishwa tukae nao kwa siku saba. Hivyo tukaendelea na safari mpaka Rumi.
15 Banse baku Loma mpobalanyumfweti tuli munshila, balatucinsha mpaka kushika ku musena walikukwiweti, “Cibansa camakwebo ca Apiya,” Kayi ne kumusena kwalikukwiweti, “Manda Atatu Abensu.” Paulo mpwalababona, walalumba Lesa kayi walayuminishiwa.
Ndugu wa huko Rumi waliposikia habari zetu, walikuja mpaka Soko la Apio na mahali paitwapo Mikahawa Mitatu kutulaki. Paulo alipowaona, alimshukuru Mungu akatiwa moyo.
16 Mpotwalashika ku Loma, Paulo balamusuminisha kwikala enka kalondwa ne mushilikali.
Tulipofika Rumi, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake akiwa na askari wa kumlinda.
17 Mpopalapita masuba atatu, Paulo walakuwa batangunishi ba Ciyuda kwambeti abandike nabo. Mpobalabungana pamo, Paulo walabambileti, “Baislayeli baname, nikukabeti paliya caipa ncondalensa kuli banse betu, nambi kutoteka miyambo ya bamashali betu bakulu kulu, Bayuda balansungisha mu Yelusalemu, ne kuntwala mu makasa aba Loma.
Siku tatu baadaye Paulo akawaita pamoja viongozi wa Kiyahudi. Walipokwisha kukusanyika akawaambia, “Ndugu zangu, ingawa sikufanya jambo lolote dhidi ya watu wetu au dhidi ya desturi za baba zetu, lakini nilikamatwa huko Yerusalemu nikakabidhiwa kwa Warumi.
18 Baloma mpobalanjipusha mipusho kwambeti benshibe makani ncabele, balayanda kunsungulula pakwinga baliya kucana mulandu ngondelela kufwilapo.
Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo.
19 Nsombi Bayuda nkabalikuyandeti ame nsungululwe sobwe, ecebo cakendi ndalasengeti Mwami Mukulene wa ku Loma kuno awomboloshe mulandu wakame. Nikukabeco ame ndiya mfundilishi ne bantu bamushobo wakame sobwe.
Lakini Wayahudi walipopinga uamuzi huo, nililazimika kukata rufaa kwa Kaisari, ingawa sikuwa na lalamiko lolote juu ya taifa langu.
20 Ecebo cakendi ncondamukuwili kwambeti ng'ambe ne njamwe. Ame ndasungwa ncetani cebo ca muntuyo ngobalapembelelenga Baislayeli bonse.”
Basi hii ndiyo sababu nimewatumania, ili niseme nanyi. Kwa kuwa ni kwa ajili ya tumaini la Israeli nimefungwa kwa minyororo.”
21 Balo balakumbuleti, “Tuliya kutambulapo makalata kufuma ku Yudeya alambanga makani akobe. Kayi paliya banse betu bafuma uko kwisa kutwambila makani aipa pali njobe sobwe.
Wakamjibu, “Hatujapokea barua zozote kutoka Uyahudi zinazokuhusu, wala hapana ndugu yeyote aliyekuja hapa ambaye ametoa taarifa au kuzungumza jambo lolote baya juu yako.
22 Nomba tulayandanga kulinyumfwila tobene miyeyo yakobe, pakwinga tucinshi kwambeti kulikonse bantu balambangeti mu likoto mobele nkalilipo cena sobwe.”
Lakini tungependa kusikia kutoka kwako unalofikiri kwa sababu tunajua kwamba kila mahali watu wanazungumza mabaya kuhusu jamii hii.”
23 Neco balabamba busuba bumbi bwa kwisa kubandika ne Paulo, Bangi bali kwisa kung'anda nkwali kwikala. Kufuma mumene mene mpaka mansailo, Paulo wali kubasansululwila ne kubakambaukila makani a Bwami bwa Lesa. Walelekesha kubambila makani alambanga pali Yesu kwambeti bashome, pa kubambila byalembwa mu Milawo ya Mose ne mu mabuku alalembwa ne bashinshimi bakulukulu.
Baada ya kupanga siku ya kuonana naye, watu wengi wakaja kuanzia asubuhi hadi jioni akawaeleza na kutangaza kuhusu Ufalme wa Mungu akijaribu kuwahadithia juu ya Yesu kutoka Sheria ya Mose na kutoka Manabii.
24 Nabambi batangunishi balashoma makani ngalikwamba Paulo, nsombi nabambi baliya kwashoma sobwe.
Baadhi wakasadiki yale aliyosema, lakini wengine hawakuamini.
25 Lino nkapalikuba kunyumfwana cena pakati pabo, neco bapalangana Paulo mpwalamba maswi akupwililisheti, “Cakubinga Mushimu Uswepa walamba cena kupitila muli mushinshimi Yesaya, pa kwambila bamashali betu bakulukulu eti,
Hivyo hawakukubaliana, nao walipokuwa wanaondoka, Paulo akatoa kauli moja zaidi: “Roho Mtakatifu alinena kweli na baba zenu aliposema mambo yale yaliyomhusu Bwana Yesu kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba:
26 “Koya ku bantu aba ubambileti, kunyumfwa nimukanyumfwenga, nsombi nteti mukanyumfwishishenga sobwe. Kubona nimukabonenga, nsombi nteti mukabonesheshenga sobwe.
“‘Nenda kwa watu hawa na useme, “Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama, lakini hamtaona.”
27 Pakwinga bantu aba bayuma myoyo, kayi matwi ashinka, ne menso abo acalika. Necabuleco, ne balalangishisha cena, ne kunyumfwishisha cena, ne kuba ne myoyo ilayandishishinga kwinshiba kwambeti bashiye bwipishi bwabo, kwambeti Ame ndibasengule.”
Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
28 Paulo walapitilisha kubambileti, “Mwelela kwinshibeti beshikukambauka makani a lupulusho lwa Lesa, batumwa ku bantu bamishobo naimbi, pakwinga balo nibakanyumfwe!”
“Basi na ijulikane kwenu kwamba, huu wokovu wa Mungu umepelekwa kwa watu wa Mataifa, nao watasikiliza.” [
29 Paulo mpwalapwisha kwambeco Bayuda balafumapo kabaya kutotekeshana cangofu bene bonka.
Naye akiisha kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]
30 Paulo walekala kwa byaka bibili mu ng'anda njali kusonkela, bonse bantu balikwisa kumubona wali kubatambula cena.
Kwa miaka miwili mizima Paulo alikaa huko kwa nyumba aliyokuwa amepanga. Akawakaribisha wote waliokwenda kumwona.
31 Walikukambauka sha Bwami bwa Lesa, ne kubeyisha sha Mwami Yesu Klistu kwakubula buyowa, kayi paliya muntu walelekesha ku mukanisha sobwe.
Akahubiri Ufalme wa Mungu na kufundisha mambo yale yaliyomhusu Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri wote na bila kizuizi chochote.

< Incito 28 >