< Incito 13 >

1 Mu mubungano waku Antiyokeya mwalikuba bashinshimi ne beshikwiyisha aba; Banabasi ne Shimoni walikukwiweti muntu mushipa, ne Lusiya waku Kulene, ne Manaeni uyo walalelwa pamo ne Mwami Helode, kayi ne Saulo.
Sasa katika kanisa la Antiokia, palikuwa na baadhi ya manabii na walimu. Walikua Barnaba, Simeoni (aliyeitwa Nigeri). Lukio wa Kirene, Manaeni( ndugu asiye wa damu wa Herode kiongozi wa mkoa), na Sauli.
2 Busuba nabumbi mpobalabungana kwambeti bamutembaule Lesa, ne kwambeti balikanishe kulya cakulya, Mushimu Uswepa walabambileti, “Kamumbikilani palubasu Banabasi ne Saulo, kwambeti benga basebense ncito njendalabakuwila.”
Walipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema, “Niteengeeni pembeni Barnaba na Sauli, waifanye kazi niliyo waitia.”
3 Lino panyuma pakulikanisha kulya ne kupaila ne kubika makasa palyendibo, balabatuma.
Baada ya Kanisa kufunga, kuomba, na kuweka mikono yao juu ya watu hawa, wakawaacha waende.
4 Banabasi ne Saulo, balatumwa ne Mushimu Uswepa, balaya ku Selukeya. Kufuma uko balatanta bwato ne kuya kushika pansumbu ya Saipulasi.
Kwa hiyo Barnabas na Sauli walimtii Roho Mtakatifu na walitelemka kuelekea Seleukia; Kutoka huko walisafiri baharini kuelekea kisiwa cha Kipro.
5 Mpobalashika mu munshi wa Salamu, balakambauka maswi a Lesa mu manda akupaililamo a Bayuda. Balikuba ne Yohane uyo walikubanyamfwilisha.
Walipokuwa katika mji wa Salami, walilitangaza neno la Mungu katika Masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa pamoja na Yohana Marko kama msaidizi wao.
6 Balendana pansumbu ponse, mpaka balashika ku munshi wa Pafosi. Uko nkobalacana mung'anga, lina lyakendi, Bala-yesu Muyuda, mushinshimi mubepeshi.
Walipokwenda katika kisiwa chote mpaka Pafo, walikuta mtu fulani mchawi, Myahudi nabii wa uongo, ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu.
7 Uyu muntu walikuba munendi Mwendeleshi Selegiyo Paulo, muntu wacenjela. Uyu Selegiyo Paulo, walakuwa Banabasi ne Saulo, pakwinga walikuyandishisha kunyumfwa maswi a Lesa.
Mchawi huyu alishirikiana na Liwali Sergio Paulus, aliyekuwa mtu mwenye akili. Mtu huyu aliwaalika Barnaba na Sauli, kwa sababu alihitaji kusikia neno la Mungu.
8 Elimasi mung'anga usa, Elimasi nilina nalimbi lya Bala-Yesu mu Cigiliki. Walatotekana nabo, kwelekesha kushinkilisha mwendeleshi kwambeti katashoma muli Yesu.
Lakini Elima “yule mchawi” (hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa) aliwapinga; alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani.
9 Nomba Saulo, uyo walikukwiweti Paulo, walesulilwa ne Mushimu Uswepa, walamulangishisha
Lakini Sauli aliyeitwa Paulo, alikuwa amejazwa na Roho Mtakatikfu, akamkazia macho
10 walamwambileti, “Obe mwanendi Muyungaushi, mulwani wabululami, obe weshikulicenjelesha ne bwipishi, nukaleke lilyoni kufulunganya makani akubinga a Mwami Lesa?
na akasema “Ewe mwana wa Ibilisi, umejazwa na aina zote za udanganyifu na udhaifu. Wewe ni adui wa kila aina ya haki. Hautakoma kuzigeuza njia za Bwana, zilizonyooka, je utaweza?
11 Pacindi copele cino Mwami Lesa nakomboloshe ne kukupa mulandu, nushipilwe nteti ulibonepo lisuba kwakacindi kang'ana.” Popelapo mushinshe wa shikunku walamufweka mumenso. Elimasi walashipilwa walatatika kulipuntapunta, kulangaula muntu welela kumutanguninako kaliwamwikata kucikasa.
Sasa tazama, mkono wa Bwana upo juu yako, na utakuwa kipofu. Hautaliona Jua kwa muda” mara moja ukungu na giza vilianguka juu ya Elimas; alianza kuzunguka pale akiomba watu wamwongoze kwa kumshika mkono.
12 Mwendeleshi usa mpwalabona calenshika, walashoma. Walakankamana pakunyumfwa mbyobalikwiyisha bya Mwami Yesu.
Baada ya liwali kuona kilichotokea, aliamini, kwa sababu alishangazwa kwa mafundisho kuhusu Bwana.
13 Paulo ne banendi balatanta bwato ku Pafosi kuya ku Pega, mucibela ca Pamfiliya. Nomba Yohane walabashiya walabwela combenyuma ku Yelusalemu.
Sasa Paulo na rafiki zake walisafiri majini kutoka Pafo na wakafika Perge katika Pamfilia. Lakini Yohana aliwaacha na kurudi Yerusalemu.
14 Mpobalafuma ku Pega, balapitilila mpaka balashika ku Antiyokeya mucibela ca Pisidiya. Pa busuba bwa Sabata balengila mu ng'anda mobalikupailila Bayuda, balekala panshi.
Paulo na rafiki yake walisafiri kutoka Perge na wakafika Antiokia ya Pisidia. Huko walikwenda katika sinagogi siku ya Sabato na kukaa chini.
15 Bamakulene bang'anda yakupaililamo mpobalabelenga maswi mulibuku lya Milawo ya Mose, ne mulibuku lyabashinshimi bakulukulu, balabatumina maswi akwambeti, “Mobanse, na mukutepo maswi akuyuminishako bantu balikuno, tulamusengenga ngamwambapo.”
Baada ya kusoma sheria na manabii, viongozi wa sinagogi aliwatumia ujumbe wakisema, “Ndugu, kama mnao ujumbe wa kutia moyo watu hapa, semeni”
16 Popelapo Paulo walanyamuka ne kubamweneka bantu ne makasa ne kwambeti. “Amwe Baislayeli baname, ne njamwe mwense mukute kutembaula Lesa, kamunyumfwani!
Kwa hiyo Paulo alisimama na kuwapungia mkono; alisema, “Wanaume wa Israeli na enyi mnao mtii Mungu, sikilizeni.
17 Lesa wamushobo wetu afwe Baislayeli, walasala bamashali betu bakulukulu, walabafulisha kabacili bensu mucishi ca Injipito. Walabapulisha mucishico ne cikasa cakendi cangofu.
Mungu wa hawa watu wa Israeli aliwachagua baba zetu na kuwafanya watu wengi walipokaa katika nchi Misri, na kwa mkono wake kuinuliwa aliwaongoza nje yake.
18 Walabalama cena byaka makumi ana mucinyika, nikukabeti balikwalilwa kumunyumfwila.
Kwa miaka arobaini aliwavumilia katika jangwa.
19 Lesa walashina mishobo isanu ne ibili ya bantu balikwikala mucishi ca Kenani, walabalamuna cishico ne kupa Baislayeli kuba cishi cabo.”
Baada ya kuyaharibu mataifa saba katika nchi ya Kaanani, aliwapa watu wetu nchi yao kwa urithi.
20 “Ibi byonse byalamanta byaka pepi myanda ina ne makumi asanu. Kufumapo walabapa bomboloshi kushika kucindi ca Samiyele.
Matukio haya yote yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini. Baada ya vitu hivi vyote, Mungu aliwapa waamuzi mpaka Samweli Nabii.
21 Bantu balasenga kwambeti Lesa abape Mwami, neco Lesa walabapa Saulo, mwanendi Kisi, wamucikombo ca Benjameni, uyo walabendelesha byaka makumi ana.
Baada ya haya, watu waliomba mfalme, hivyo Mungu aliwapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa kabila la Benjamini, kuwa mfalme kwa miaka arobaini.
22 Kufumapo Lesa walamufulapo Saulo, ne kubikapo Dafeti kuba Mwami wabo. Pali Dafeti Lesa walambeti, ‘Ndacana Dafeti, mwanendi Jese, emuntu ngonsuni, kayi nakense bintu byonse mbyondayandanga.’
Kisha baada ya Mungu kumuondoa katika ufalme, alimwinua Daudi kuwa mfalme wao. Ilikuwa ni kuhusu Daudi kwamba Mungu alisema, 'Nimempata Daudi mwana wa Yese kuwa mtu apendezwaye na moyo wangu; ambaye atafanya kila kitu nipendacho.'
23 Kufuma mubashikululwa bamucikombo ca Dafeti, Lesa walasalamo Yesu kuba Mupulushi wa Baislayeli, mbuli ncalalaya.
Kutoka kwenye ukoo wa mtu huyu Mungu ameiletea Israeli mkombozi, Yesu, kama alivyoahidi kufanya.
24 Yesu katanatatika ncito, Yohane walikukambaukila Baislayeli bonse, kwambeti basanduke kushiya bwipishi bwabo ne kubatishiwa.
Hili lilianza kutokea, kabla ya Yesu kuja, Yohana kwanza alitangaza ubatizo wa toba kwa watu wote wa Israeli.
25 Cindi Yohane ncalikuba pepi kupwisha ncito yakendi, walabepusha bantu, ‘Inga amwe mulayeyengeti ame njame bani? Ame ntame uyo ngomulapembelelenga sobwe. Nsombi palesanga naumbi panyuma pakame, ngondelela kubula kufulula nkwabilo shakendi.”
Naye Yohana alipokuwa akimalizia kazi yake, alisema, 'Mwanifikiri mimi ni nani? mimi si yule. Lakini sikilizeni, ajaye nyuma yangu, sisitahili kulegeza viatu vya miguu yake.'
26 “Mobanse, mobashikululwa ba Abulahamu, ne njamwe mwense mukute kukambilila Lesa, ni kuli njafwe Lesa nkwalatumini mulumbe uwu walupulusho.
Ndugu, watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wale ambao kati yenu mnamwabudu Mungu, ni kwa ajili yetu kwamba ujumbe huu wa ukombozi umetumwa.
27 Bantu bekala mu Yelusalemu ne batangunishi baliya kumwinshiba Yesu, kayi baliya kwanyumfwishisha maswi abashinshimi bakulukulu awo ngobalikubelenga pabusuba bwa Sabata bulibonse. kakuli balakwanilisha calambwa ne bashinshimi bakulukulu, pakumombolosha Yesu kwambeti ashiniwe.”
Kwa wale waishio Yerusalemu, na watawala wao, hawakumtambua kwa uhalisia, na wala hawakuutambua ujumbe wa manabii ambao husomwa kila Sabato; kwa hiyo walitimiliza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu kifo Yesu.
28 Nikukabeti baliya kucana mulandu welela lufu, balamusenga Pilato kwambeti Yesuyo ashiniwe.
Japokuwa hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue.
29 Mpobalapwisha kwinsa byonse, mbuli ncebyalembwa mu Mabala a Lesa bilambanga sha Yesu, abo balikukonkela kwiyisha kwakendi, balamuselushapo palusanda, ne kuya kumubika mumanda.
Walipomaliza mambo yote yaliyoandikwa kuhusu yeye, walimshusha kutoka mtini na kumlaza kaburini.
30 Nomba Lesa walamupundusha kubafu,
Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu.
31 walabonekela kwa masuba angi ku bantu basa balikumushindikila kufuma ku Galileya kuya ku Yelusalemu katanafwa. Bantu aba ebakamboni bakendi kubantu bamu Islayeli.
Alionekana kwa siku nyingi kwa wale waliokwenda pamoja naye kutoka Galilaya kuelekea Yerusalemu. Watu hawa sasa ni mashahidi wa watu.
32 Neco afwe tulesa kukambauka Mulumbe Waina wa bishomesho Lesa mbyalalaya bamashali betu bakulukulu.
Hivyo tunawaletea habari njema kuhusu ahadi walizopewa mababu zetu.
33 Ibyo mbyalalaya latwinshili afwe, tobashukululwa babo, pakumupundusha Yesu kubafu. Mbuli ncecalembwa Mukutembaula kwacibili kwambeti, Obe omwaname, lelo ndaba baiso.
Mungu aliweka ahadi hizi kwetu, watoto wao, katika hilo alimfufua Yesu na kumrudisha tena katika uhai. Hili pia liliandikwa katika Zaburi ya pili: 'Wewe ni Mwanangu, leo nimekuwa Baba yako'
34 Lesa walamupundusha Yesu kubafu kwambeti katabola sobwe. Calenshika mbuli ncalambeti, Ninkakupe colwe caswepa, kayi cancinencine, ico ncendalamulaya Dafeti.
Pia kuhusu ukweli ni kwamba alimfufua kutoka wafu ili kwamba mwili wake usiharibike, ameongea hivi: 'Nitakupatia utakatifu na baraka halisi za Daudi'
35 Ecebo cakendi Mukutembaula nakumbi kayi walambeti, Nteti mukalekelele Musebenshi wenu Washomeka kwambeti akabole.
Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine, 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
36 Awa maswi nkalambanga sha Dafeti, pakwinga Dafeti mubuyumi bwakendi mpwalakwanilisha kusebensa ncito njalamubambila Lesa, walafwa ne kubikwa mu manda uko nkobalabikwa bamashali bakulukulu, mubili wakendi walabola.
Kwa kuwa baada ya Daudi kutumikia mapenzi ya Mungu katika kizazi chake, alilala, alilazwa pamoja na baba zake, na aliuona uaharibifu,
37 Nomba usa ngwalapundusha Lesa kubafu, mubili wakendi uliya kubolapo sobwe.
Lakini aliyefufuliwa na Mungu hakuuona uharibifu.
38 Neco mobanse bame, kamwinshibani kwambeti, kupitila muli Yesu, Lesa lamulekelelenga bwipishi bwenu, ici encotulakambaukunga kulinjamwe.
Hivyo na ifahamike kwenu, ndugu, kupitia mtu huyu, msamaha wa dhambi umehubiriwa.
39 Uliyense washoma Yesu walulamikwa pamenso a Lesa, uko nkomwelela kubula kukucana pakukonka Milawo ya Mose.
Kwa yeye kila aaminiye anahesabiwa haki na mambo yote ambayo sheria ya Musa isingewapatia haki.
40 Amwe cenjelani, kwambeti byalambwa ne bashinshimi bakulukulu bikabule kwinshika kuli njamwe, Ibyo mbyebalambeti,
Hivyo basi kuweni waangalifu kwamba kitu walichokiongelea manabii kisitokee kwenu:
41 “Kamunyumfwani amwe beshikucobola! Mukankamane ne kufwililila! Pakwinga mucindi cabuyumi bwenu ame ninkensepo cintu nceti mukabule kushoma sobwe, nambi muntu naumbi umusansulwila.”
'Tazama, enyi mnaodharau, na mkashangae na mkaangamie; kwa vile nafanya kazi katika siku zenu, Kazi ambayo hamwezi kuiamini, hata kama mtu atawaeleza.”
42 Paulo ne Banabasi mpobalikupula mung'anda yakupaililamo Bayuda, basa bantu balabasenga kwambeti bakese kayi pa Sabata, kwisa kupitilisha kukambauka pabintu ibi.
Wakati Paulo na Barnaba walipoondoka, watu wakawaomba waongee maneno haya siku ya Sabato ijayo.
43 Nomba bantu mpobalamwaika, Bayuda bangi pamo ne bantu nabambi balikukambilila Lesa balikukonkela ciyisho ca Bayuda, balakonkela Paulo ne Banabasi. Bantu aba babili balambila likoto lya bantu, ne kubayuminisha kwambeti bapitilishe kushoma munkumbo sha Lesa.
Wakati mkutano wa sinagogi ulipokwisha, Wayahudi wengi na waongofu thabiti waliwafuata Paulo na Barnaba, ambao waliongea nao na waliwahimiza waendelee katika neema ya Mungu.
44 Mpobwalashika busuba bwa Sabata, bantu bonse ba mumunshi uwo balabungana kwambeti banyumfwe maswi a Mwami.
Sabato iliyofuata, karibu mji mzima ulikusanyika kusikia neno la Mungu.
45 Nomba Bayuda basa mpobalabona likoto lyabantu, balanyumfwa munyono. Balatatika kumutoteka Paulo mbyalikwamba, kayi balamucobola.
Wayahudi walipoona makutano, walijawa na wivu na kuongea maneno yaliyopinga vitu vilivyosemwa na Paulo na walimtukana.
46 Paulo ne Banabasi balamba kwakubula buyowa, balambeti, “Cakubinga calikuba celela kwambeti tukambauke maswi a Lesa kulinjamwe nanshi. Nomba bonani mulakana mobene, mulalileshe mobene kwambeti nkamwelela kutambula buyumi butapu, nitumushiye, nitwenga kubantu bakunsa.” (aiōnios g166)
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios g166)
47 Pakwinga Mwami walatwambileti, Ndakubiki kwambeti umunikile bantu bakunsa, Kwambeti bantu balimucishi conse bakapuluke pacebo cakobe.
Kama ambavyo Bwana ametuamuru, akisema, 'Nimewaweka ninyi kama nuru kwa watu wa mataifa, kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia.”
48 Mpobalanyumfweco bantu bakunsa, balakondwa ne kulumba maswi a Mwami. Abo Lesa mbwalasala kwambeti bakatambule buyumi butapu, balashoma. (aiōnios g166)
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios g166)
49 Maswi a Mwami alamwaikila kuli konse mucimpansha ici.
Neno la Bwana lilienea nchi yote.
50 Nomba Bayuda basa balayungaula batukashi bayampuwo abo balikukambilila Lesa ne batangunishi ba mumunshi. Balatatika kupensha Paulo ne Banabasi ne kubatandanya kufuma mucimpansha cabo.
Lakini wayahudi waliwasihi waliojitoa na wanawake muhimu, pia na viongozi wa mji. Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na waliwatupa nje ya mipaka ya mji.
51 Paulo ne Banabasi balapampamuna lusuko kumyendo kwabo, kwambeti lube bukamboni bwa kukana kwabo, kufumapo balaya ku Ikoniya.
Lakini Paulo na Barnaba walikung'uta vumbi ya miguu yao. Kisha walienda kwenye mji wa Ikonia.
52 Beshikwiya baku Antiyokeya balakondwa kayi balesulilwa ne Mushimu Uswepa.
Na wanafunzi walijawa na furaha pamoja na Roho mtakatifu.

< Incito 13 >