< 3 Yohane 1 >
1 Ame mutangunishi ndamulembelenga muname Gayo ngondasunishisha.
Mzee: Kwa Gayo rafiki yangu, nimpendaye katika kweli.
2 Wasunika, ndasengenga kwambeti bintu byonse bikwendele cena, kayi ne kwambeti ubenga ne buyumi mbuli ncondicinshi kwambeti uli cena mu mushimu.
Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama vile roho yako ifanikiwavyo.
3 Pakwinga ndalasangalala kwine pacindi bashoma banetu mpobalesa akungambila mbuli ncowashoma pakukonkela cakubinga.
Ilinifurahisha sana baadhi ya ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu wako katika kweli na jinsi unavyoendelea kuenenda katika hiyo kweli.
4 Paliya cintu nacimbi cikute kunkondwelesha capita makani akunyumfwa kwambeti bana bame balekalanga mu cakubinga.
Sina furaha kubwa kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu wanaenenda katika kweli.
5 Owasunika, washomeka pa mulimo ngokute kwinshila bashoma banobe kayi ne bensu.
Rafiki mpendwa, wewe ni mwaminifu kwa yale unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni kwako.
6 Bashoma aba balambila mubungano wakuno mbuli ncowalabanyamfwa mu lusuno. Neco ulenshinga cena kubanyamfwa munshila yeshikukondwelesha Lesa kwambeti bapitilishe pa bulwendo bwabo.
Wameshuhudia kuhusu upendo wako mbele ya kanisa. Utafanya vyema ukiwasafirisha kama inavyostahili kwa Mungu.
7 Pakwinga balatatika bulwendo bwabo pacebo ca Klistu ne kukana kutambula lunyamfo kufuma ku bantu bakunsa.
Ilikuwa ni kwa ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
8 Neco afwe bashoma twelela kubanyamfwa bantu aba kwambeti tusebensele pamo mu mulimo wa kukambauka cancinencine.
Kwa hiyo imetupasa sisi kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.
9 Ndalalembamo maswi ang'ana mukalata yalatumwa ku mubungano, nsombi Diyotilefe uyo lalipanga butangunishi nkalayandanga kunyumfwila.
Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe, yeye apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali mamlaka yetu.
10 Neco na nkese, ndakayubululunga byonse mbyalenshinga. Lepishinga lina lyakame kayi ne kumbepeshela. Kayi ntebyo ibyo byonka, nsombi nkalayandanga kayi ne kutambula bashoma kayi lakanishinga abo balayandanga kubatambula nekubatandanya mumubungano.
Hivyo kama nikija, nitakumbuka matendo yake atendayo, akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala hatosheki na hayo anayotusingizia, bali pia hukataa kuwakaribisha ndugu, na hata huwazuia wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza watoke kanisani.
11 Wasunika, kotakonkanga byaipa nsombi byaina. Pakwinga uliyense shikwinsa byaina ni wa Lesa, uliyense lenshinga byaipa nkalabona Lesa.
Rafiki mpendwa, usiige lile lililo baya bali lile lililo jema. Yeyote atendaye mema atoka kwa Mungu, bali atendaye mabaya hajamwona Mungu.
12 Uliyense lapanga bukamboni bwaina pali Demetiliyo, pakwinga cancinenccine cilapanga bukamboni bwaina pali endiye. Kayi ne bukamboni bwetu, pakwinga ucinshi kwambeti tulambanga cancinencine.
Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake, nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.
13 Nkute bingi byakukwambila, nsombi nkansuni kubilemba mu kalata sobwe,
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.
14 Ndayeyenga kwisa kwambeti tukabandike nkatuli twalangana. Lumuno lube ne njobe, banobe balikuno balakupanga mutende. Ubape mitende banetu bali uko bonse, umo ne umo.
Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana. Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa wanakusalimu. Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila mmoja kwa jina lake.