< 3 Yohane 1 >

1 Ame mutangunishi ndamulembelenga muname Gayo ngondasunishisha.
Mimi mzee nakuandikia wewe Gayo, rafiki yangu, ninayekupenda kweli.
2 Wasunika, ndasengenga kwambeti bintu byonse bikwendele cena, kayi ne kwambeti ubenga ne buyumi mbuli ncondicinshi kwambeti uli cena mu mushimu.
Mpenzi wangu, nakutakia mafanikio mema ya kila aina; nakutakia afya njema ya mwili kama ulivyo nayo rohoni.
3 Pakwinga ndalasangalala kwine pacindi bashoma banetu mpobalesa akungambila mbuli ncowashoma pakukonkela cakubinga.
Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika hapa, wakaiambia juu ya uaminifu wako kuhusu ukweli; naam, wewe unaishi daima katika ukweli.
4 Paliya cintu nacimbi cikute kunkondwelesha capita makani akunyumfwa kwambeti bana bame balekalanga mu cakubinga.
Hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.
5 Owasunika, washomeka pa mulimo ngokute kwinshila bashoma banobe kayi ne bensu.
Mpenzi wangu, wewe ni mwaminifu kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.
6 Bashoma aba balambila mubungano wakuno mbuli ncowalabanyamfwa mu lusuno. Neco ulenshinga cena kubanyamfwa munshila yeshikukondwelesha Lesa kwambeti bapitilishe pa bulwendo bwabo.
Ndugu hao wamelieleza kanisa hapa habari za upendo wako. Tafadhali uwasaidie waendelee na safari yao kwa namna itakayompendeza Mungu,
7 Pakwinga balatatika bulwendo bwabo pacebo ca Klistu ne kukana kutambula lunyamfo kufuma ku bantu bakunsa.
Maana wanaanza safari yao katika utumishi wa Kristo bila kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
8 Neco afwe bashoma twelela kubanyamfwa bantu aba kwambeti tusebensele pamo mu mulimo wa kukambauka cancinencine.
Basi, sisi tunapaswa kuwasaidia watu hawa, ili nasi tupate kushiriki katika kazi yao kwa ajili ya ukweli.
9 Ndalalembamo maswi ang'ana mukalata yalatumwa ku mubungano, nsombi Diyotilefe uyo lalipanga butangunishi nkalayandanga kunyumfwila.
Niliandika barua fupi kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe, ambaye hupenda kuwa kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza.
10 Neco na nkese, ndakayubululunga byonse mbyalenshinga. Lepishinga lina lyakame kayi ne kumbepeshela. Kayi ntebyo ibyo byonka, nsombi nkalayandanga kayi ne kutambula bashoma kayi lakanishinga abo balayandanga kubatambula nekubatandanya mumubungano.
Basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. Isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
11 Wasunika, kotakonkanga byaipa nsombi byaina. Pakwinga uliyense shikwinsa byaina ni wa Lesa, uliyense lenshinga byaipa nkalabona Lesa.
Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye mema ni wa Mungu; lakini anayetenda mabaya hajapata kumwona Mungu.
12 Uliyense lapanga bukamboni bwaina pali Demetiliyo, pakwinga cancinenccine cilapanga bukamboni bwaina pali endiye. Kayi ne bukamboni bwetu, pakwinga ucinshi kwambeti tulambanga cancinencine.
Kila mtu anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa ushahidi wetu juu yake, nawe wajua kwamba tunachosema ni kweli.
13 Nkute bingi byakukwambila, nsombi nkansuni kubilemba mu kalata sobwe,
Ninayo bado mengi ya kukwambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.
14 Ndayeyenga kwisa kwambeti tukabandike nkatuli twalangana. Lumuno lube ne njobe, banobe balikuno balakupanga mutende. Ubape mitende banetu bali uko bonse, umo ne umo.
Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana. Nakutakia amani. Rafiki zako wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu wote kila mmoja binafsi.

< 3 Yohane 1 >