< 2 Timoti 1 >
1 Njame, Paulo mutumwa wa Klistu Yesu kwelana ne kuyanda kwa Lesa, walatumwa kuya kukambauka sha buyumi mbwalatushomesha mukwikatana ne Klistu Yesu.
Paulo mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, sawasawa na ahadi ya uzima ulio ndani ya Kristo Yesu,
2 Ndalembelenga obe Timoti mwaname ngonsuni. ndasengengeti luse, nkumbo kayi ne lumuno lwa Lesa Bata ne Klistu Yesu Mwami wetu, bibe pali njobe.
kwa Timotheo mwana mpendwa: Neema, rehema na amani toka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
3 Ndalumbunga Lesa ngondasebenselenga ne miyeyo yaswepa yabula mbuli bamashali bakame bakulukulu ncebalikwinsa. Ndalumbunga pakwinga nkandakulubunga mu mipailo yakame munshi ne mashiku sobwe.
Ninamshukuru Mungu, ambaye ninamtumikia kwa nia njema kama walivyofanya baba zangu, ninapokumbuka daima katika maombi yangu. Usiku na
4 Ndanuka ncewalikulila misoshi, nkute kuyanda kwisa kukubona kwambeti nkakondwe ca makasa abili.
mchana ninatamani kukuona, ili kwamba nijawe na furaha. Ninayakumbuka machozi yako.
5 Ndanuka lushomo lwa ncinencine ndobakute banyoko ba Yunisi ne bankambuyobe batukashi ba Loisi, ndashometi nenjobe elushomo ndokute.
Nimekuwa nikikumbushwa kuhusu imani yako halisi, ambayo hapo kwanza ilikaa kwa bibi yako Loisi na mama yako Yunisi. Na nina hakika ya kwamba imani hiyo inakaa ndani yako pia.
6 Neco ndakwanushungeti usheko mano kucipo ca Lesa ncokute ico ncewalatambula pasa mpondalabika makasa akame pali njobe ucisosele mulilo.
Hii ndiyo sababu nakukumbusha kuchochea karama ya Mungu iliyomo ndani yako kwa njia ya kuwekewa mikono yangu.
7 Pakwinga Lesa liya kutupa Mushimu wa buyowa sobwe, Mushimu wa Lesa ukute kutupa ngofu, nelusuno kwambeti tucikonshenga kulitibuka.
Kwa kuwa Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na upendo na nidhamu.
8 Neco kotanyumfwanga nsoni kuba kamboni wa Mwami Yesu, nambi kunyumfwa nsoni cebo ca kwambeti ame ndasungwa muno mu jele, obe libambile kucana mapensho, nomba Lesa nakakupe ngofu shakukambauka Mulumbe Waina.
Kwa hiyo usiuonee haya ushuhuda kuhusu Bwana wetu, wala wangu mimi Paulo mfungwa wake. Bali ushiriki mateso kwa ajili ya injili sawasawa na uweza wa Mungu.
9 Walatupulusha ne kutukuwa kwambeti tube bantu bakendi, nkatwalikuba twelela kucitambula, nsombi bwalikuba bubambo ne nkumbo sha Lesa. nkumbo nshalatulesha kupitila mukwikatana ne Klistu Yesu kacitana cilengwa cindi. (aiōnios )
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios )
10 Lino Lesa walatuyubulwila ibi bintu mpwalaboneka Mupulushi wetu Klistu Yesu, nendi ewalapwisha ngofu sha lufu kupitila mu Mulumbe Waina, latwishibishi cena motwela kucanina buyumi butafu.
Lakini sasa wokovu wa Mungu umekwishafunuliwa kwa kuja kwa mwokozi wetu Kristo Yesu. Ni Kristo aliyeikomesha mauti na kuleta uzima usiokoma kwa nuru ya injili.
11 Lesa walansala kwambeti mbe mukambaushi, mutumwa kayi shikwiyisha Mulumbe Waina.
Kwa sababu hiyo nilichaguliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu.
12 Encondapengelenga, ndiya nsoni pakwinga ndimwishi ngondashoma. Neco ndashometi wela kutabilisha cena bintu mbyabika mumakasa akame mpaka busuba bwashakabwele.
Kwa sababu hii nateseka pia, lakini sioni haya kwa kuwa namjua yeye niliyekwisha kumuamini. Nina hakika kuwa yeye anaweza kukitunza kile nilichokikabidhi kwake hata siku ile.
13 Lino ikatisha camakasa abili maswi acancine ncine ngondalakwiyisha kwambeti, lushomo ne lusuno lwetu mukwikatana ne Klistu Yesu bibe cilesho kwakobe ca kukonkela.
Ukumbuke mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu, pamoja na imani na upendo ulio ndani ya Kristo Yesu.
14 Kupitila muMushimu Uswepa ngotukute, ukunyamfwe kubamba cena buboni bwa palubasu mbowalapewa.
Yatunze Mambo mazuri aliyokukabidhi Mungu kupitia Roho Mtakatifu aishiye ndani yetu.
15 Ucishi kwambeti bonse mu cimpansha ca Asiya balanshiya ndenka, pali abo balanshiya pali Figelo ne Hemojene.
Unajua ya kuwa, wote waishio katika Asia waliniacha. Kwenye kundi hili wamo Figelo na Hemogene.
16 Nkumbo sha Lesa shibe mung'anda ya Onesifolo, pakwinga ewalikwisa kunjuminisha tunkanda twingi, kayi nkali kunyumfwa nsoni pakumbona kandi ndasungwa nshimbi mu jele.
Bwana airehemu nyumba ya Onesiforo kwa kuwa mara nyingi aliniburudisha na hakuionea aibu minyororo yangu.
17 Mpwalesa ku Loma walanangaula mpaka walancana.
Badala yake, alipokuwa Roma alinitafuta kwa bidii na akanipata.
18 Nkumbo sha Lesa shikabe pali Onesifolo pa busuba bwa lombolosho. Obe ucishi kufula kwa ncito shaina nshalikunyamfwa mpondalikuba ku Efenso.
Mungu amjalie kupata rehema kutoka kwake siku ile. Kama alivyonisaidia nilipokuwa Efeso, wewe wajua vyema.