< 1 Timoti 6 >
1 Basha bonse bape bulemu bunene abo mbobalasebenselenga kwambeti, kapataba muntu eshasebanye Lina lya Lesa ne ciyisho cetu.
Wale wote walio chini ya nira kama watumwa wawachukulie mabwana zao kama wenye heshima zote, wanatakiwa kufanya hivyo ili jina la Mungu na mafundisho yasitukanwe.
2 Mobasha, na mbomulasebenselenga ni banse benu muliklistu kamutabanyanshanga cebo ca kwambeti nibaklistu banenu sobwe, amwe basebenseleni cena, pakwinga bakute kucanamo cena mu ncito shabo ni baklistu, kayi embobasuni. Kopitilisha kubeyisha malailile awa ngondakupa kwambeti bakonkelenga.
Watumwa wenye mabwana waaminio wasiwadharau kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie zaidi. Kwa sababu mabwana wanaosaidiwa kazi zao ni waamini na wanapendwa. Fundisha na kuyatangaza mambo haya.
3 Muntu leyishinga bintu byapusana ne ibi, lakananga kusuminisha maswi ancinencine a Mwami wetu Yesu Klistu, ne ciyisho cekatana ne buyumi bulalemekeshenga Lesa,
Iwapo mtu fulani anafundisha kwa upotovu na hayapokei maelekezo yetu yenye kuaminika, ambayo ni maneno ya Bwana wetu Yesu Kristo, iwapo hawalikubali fundisho liongozalo kwenye utauwa.
4 ulico ni muntu shikulisumpula utacishi ciliconse, shikutotekowa. Ici cikute kuletowa munyono, ne kutotekeshanya, ne kutukashana, kayi ne kuyeyelana byaipa.
Mtu huyo anajivuna na hajui chochote. Badala yake, ana vurugu na mabishano juu ya maneno. Maneno haya huzaa wivu, ugomvi, matukano, shuku mbaya,
5 Ici cikute kuletowa kulondola pa bantu bakute miyeyo yaipa batakonsho kwishiba ca ncinencine. Balo bakute kuyeyeti kupaila Lesa ni nshila ya kucaninamo bubile.
na vurugu za mara kwa mara kati ya watu wenye akili zilizoharibika. Wanaiacha kweli. Wanafikiri kwamba utauwa ni njia ya kuwa matajiri”
6 Ee, nicakubinga kupaila Lesa kukute kupa muntu kuba wakwana ne bintu mbyakute.
Sasa utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7 Sena pali cintu ncotwalaletelela pacinshi? Paliya! Sena pali cintu nceti tukamantilile pakufumapo? Paliya!
Kwa maana hatukuja na chochote duniani. Wala hatuwezi kuchukua chochote kutoka duniani.
8 Neco, na katukuteko cakulya, byakufwala ne pakona byopelebyo byakwana.
Badala yake, tutosheke na chakula na mavazi.
9 Nomba bantu bakute kuyandishisha bubile bakute kuwila mumasunko angi, ne kwikatwa mu tose twabuluya tweshikononga twalunkumbwa lwa mubili lukute kubatwala kulufu.
Sasa hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu, katika mtego. Huanguka katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya, na katika kitu chochote kinachowafanya watu wazame katika maangamizi na uharibifu.
10 Pakwinga kusunisha mali emuyanda wa bintu bingi byaipa. Nabambi bantu pakusunisha mali balataya lushomo ne kuliletela mapensho pa mibili yabo.
Kwa kuwa kupenda fedha ni chanzo cha aina zote za uovu. Watu ambao hutamani hiyo, wamepotoshwa mbali na imani na wamejichoma wenyewe kwa huzuni nyingi.
11 Nomba obe muntu wa Lesa, kotamantamo lubasu mu bintu byaipa. Obe lwila bululami, kulemeka Lesa, lushomo, lusuno, kutalekela pakati, ne kuba wabomba moyo.
Lakini wewe mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo. Fuata haki, utauwa, uaminifu, upendo, usitahimilivu, na upole.
12 Kolwana nkondo yaina ya lushomo, kwambeti ukatambule buyumi butapu, pakwinga ekubuyumi ubu nkwalakukuwila Lesa pasa mpowalikwambilila sha lushomo lwakobe pa menso abantu bangi. (aiōnios )
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios )
13 Pamenso pali Lesa ukute kupa buyumi bintu byonse, kayi ne pamenso pa Klistu Yesu uyo walapa bukamboni bwakendi pantangalala kuli Ponsho Pilato, ndakwambileti,
Nakupa amri hii mbele za Mungu, anayesababisha vitu vyote kuishi, na mbele ya Yesu Kristo, aliyenena iliyo kweli kwa Pontio Pilato:
14 konkela byonse mbyowalambilwa kwinsa mwakubula kutonshanya mpaka pabusuba mbweshakabwele Mwami Yesu Klistu.
itunze amri kwa ukamilifu, pasipo mashaka, hadi ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo.
15 Lesa ngobakute kulumbaisha bantu bonse, Mwendeleshi wancinencine, wa bendeleshi, Mwami wa bami bonse, endiyeti akapesheti Klistu akabwele kayi pa cindi celela.
Mungu atadhihirisha ujio wake kwa wakati sahihi- Mungu, Mbarikiwa, nguvu pekee, Mfalme anayetawala, Bwana anayeongoza.
16 Lesa enkowa eutafu, ewekala mu mumuni utashikwa pepi, paliya muntu walamubonapo, kayi paliya wela kumubona. Lesa apewe bulemu, kayi shakendi ningofu shitapu kucindi ca cindi. Ameni. (aiōnios )
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios )
17 Bacenjesheko bantu babile mucishi kwambeti, kabatatwanga nambi kucinka manungo mububile bwela kutaika cindi ciliconse, nsombi kabashoma Lesa ukute kutupa bintu byonse mwakutandabula cikasa kwambeti afwe tukondwe nebuyumi. (aiōn )
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn )
18 Bambile kwambeti benshilenga byaina bantu, babe babile mu micito yaina, beshikupako banabo camoyo umo bintu mbyobakute.
Waambie watende mema, watajirike katika kazi njema, wawe wakarimu, na utayari wa kutoa.
19 Uko ekubunganya bubile bwabo kwambeti bube pebakwa buyumi bwabo bwakuntangu mbweti bakalicanine, ee buyumi bwa ncinencine nditu.
Katika njia hiyo watajiwekea msingi mzuri kwa mambo yajayo, ili kwamba waweze kushika maisha halisi.
20 Obe Timoti, kobamba cena bintu mbyolapewa mu makasa akobe. Talamuka ku mibandi ne kutotekeshanya kwabuluya kutalete bulemu kuli Lesa uko bantu nkobakute kuboneti, “Emano.”
Timotheo, linda kile ulichopewa. Jiepushe na majadiliano ya kipumbavu na mabishano yenye kujipinga ambayo kwa kwa uongo huitwamaarifa.
21 Nabambi balataya lushomo cebo cakulibonesheti bakute mano amushoboyu. Nkumbo sha Lesa shibe nenjamwe.
Baadhi ya watu huyatangaza mambo haya, na hivyo wameikosa imani. Neema na iwe pamoja nawe.