< 1 Timoti 6 >

1 Basha bonse bape bulemu bunene abo mbobalasebenselenga kwambeti, kapataba muntu eshasebanye Lina lya Lesa ne ciyisho cetu.
Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu.
2 Mobasha, na mbomulasebenselenga ni banse benu muliklistu kamutabanyanshanga cebo ca kwambeti nibaklistu banenu sobwe, amwe basebenseleni cena, pakwinga bakute kucanamo cena mu ncito shabo ni baklistu, kayi embobasuni. Kopitilisha kubeyisha malailile awa ngondakupa kwambeti bakonkelenga.
Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.
3 Muntu leyishinga bintu byapusana ne ibi, lakananga kusuminisha maswi ancinencine a Mwami wetu Yesu Klistu, ne ciyisho cekatana ne buyumi bulalemekeshenga Lesa,
Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa,
4 ulico ni muntu shikulisumpula utacishi ciliconse, shikutotekowa. Ici cikute kuletowa munyono, ne kutotekeshanya, ne kutukashana, kayi ne kuyeyelana byaipa.
huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,
5 Ici cikute kuletowa kulondola pa bantu bakute miyeyo yaipa batakonsho kwishiba ca ncinencine. Balo bakute kuyeyeti kupaila Lesa ni nshila ya kucaninamo bubile.
na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.
6 Ee, nicakubinga kupaila Lesa kukute kupa muntu kuba wakwana ne bintu mbyakute.
Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7 Sena pali cintu ncotwalaletelela pacinshi? Paliya! Sena pali cintu nceti tukamantilile pakufumapo? Paliya!
Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8 Neco, na katukuteko cakulya, byakufwala ne pakona byopelebyo byakwana.
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
9 Nomba bantu bakute kuyandishisha bubile bakute kuwila mumasunko angi, ne kwikatwa mu tose twabuluya tweshikononga twalunkumbwa lwa mubili lukute kubatwala kulufu.
Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.
10 Pakwinga kusunisha mali emuyanda wa bintu bingi byaipa. Nabambi bantu pakusunisha mali balataya lushomo ne kuliletela mapensho pa mibili yabo.
Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.
11 Nomba obe muntu wa Lesa, kotamantamo lubasu mu bintu byaipa. Obe lwila bululami, kulemeka Lesa, lushomo, lusuno, kutalekela pakati, ne kuba wabomba moyo.
Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
12 Kolwana nkondo yaina ya lushomo, kwambeti ukatambule buyumi butapu, pakwinga ekubuyumi ubu nkwalakukuwila Lesa pasa mpowalikwambilila sha lushomo lwakobe pa menso abantu bangi. (aiōnios g166)
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios g166)
13 Pamenso pali Lesa ukute kupa buyumi bintu byonse, kayi ne pamenso pa Klistu Yesu uyo walapa bukamboni bwakendi pantangalala kuli Ponsho Pilato, ndakwambileti,
Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri,
14 konkela byonse mbyowalambilwa kwinsa mwakubula kutonshanya mpaka pabusuba mbweshakabwele Mwami Yesu Klistu.
uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo,
15 Lesa ngobakute kulumbaisha bantu bonse, Mwendeleshi wancinencine, wa bendeleshi, Mwami wa bami bonse, endiyeti akapesheti Klistu akabwele kayi pa cindi celela.
ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana,
16 Lesa enkowa eutafu, ewekala mu mumuni utashikwa pepi, paliya muntu walamubonapo, kayi paliya wela kumubona. Lesa apewe bulemu, kayi shakendi ningofu shitapu kucindi ca cindi. Ameni. (aiōnios g166)
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios g166)
17 Bacenjesheko bantu babile mucishi kwambeti, kabatatwanga nambi kucinka manungo mububile bwela kutaika cindi ciliconse, nsombi kabashoma Lesa ukute kutupa bintu byonse mwakutandabula cikasa kwambeti afwe tukondwe nebuyumi. (aiōn g165)
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn g165)
18 Bambile kwambeti benshilenga byaina bantu, babe babile mu micito yaina, beshikupako banabo camoyo umo bintu mbyobakute.
Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine.
19 Uko ekubunganya bubile bwabo kwambeti bube pebakwa buyumi bwabo bwakuntangu mbweti bakalicanine, ee buyumi bwa ncinencine nditu.
Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.
20 Obe Timoti, kobamba cena bintu mbyolapewa mu makasa akobe. Talamuka ku mibandi ne kutotekeshanya kwabuluya kutalete bulemu kuli Lesa uko bantu nkobakute kuboneti, “Emano.”
Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
21 Nabambi balataya lushomo cebo cakulibonesheti bakute mano amushoboyu. Nkumbo sha Lesa shibe nenjamwe.
ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani. Neema iwe nanyi. Amen.

< 1 Timoti 6 >