< 1 Timoti 5 >
1 Nkabakansa mukulene, nsombi mwambile mwabulemu pakwinga ulyeti baiso. Misepela banobe ubabonengeti bakwenu,
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
2 batukashi bamakulene ubabonengeti banyoko, ne batukashi batwanike ubabonengeti bakwenu kwakubula kubakumbwa.
nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.
3 Kopa bulemu bamukalubingi babula pakwikata.
Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.
4 Nomba na mukalubingi ukute bana, nambi bashikulu, abo bana ne bashikulu batangune kwinshila mukowa wabo ncalayandanga Lesa. Mukwinseco bakute kubweshela bashali ne bamankambushabo ncebalikubenshila, ico cikute kukondwelesha Lesa.
Kama mjane ana watoto ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha Mungu katika matendo kwa kuwatunza wale wa jamaa zao wenyewe, na hivyo wawarudishie wema waliowatendea wazazi wao, kwa kuwa hivi ndivyo impendezavyo Mungu.
5 Mukalubingi wabula weshikumunyamfwa nambi kumulama, kupembelela kwakendi wakusha muli Lesa kayi ukute kupitilisha kupaila ne kusenga lunyamfwo kuli Lesa, munshi ne mashiku.
Mwanamke ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa Mungu naye hudumu katika maombi usiku na mchana akimwomba Mungu ili amsaidie.
6 Nomba mukalubingi washa mano mubintu byabula ncito, wafwa kendi nambi ucili muyumi.
Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.
7 Naboyo ubape malailile awa kwambeti babule kampenda.
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
8 Nomba na muntu katanyamfwa banse bendi makamaka bamung'anda yakendi, lakana lushomo kayi waipa kupita muntu wabula lushomo.
Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.
9 Kotalemba lina lya mukalubingi pa maina abamukalubingi na nkanashika pabyaka makumi asanu ne limo, kayi abe mukashi walebwapo kumulume umo,
Mjane yeyote asiwekwe kwenye orodha ya wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka sitini, na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,
10 ukute mpuwo yancito shaina. Abe mutukashi walakulisha cena banabendi, kayi walikupa cakulya bantu beshi kupita, kayi walikutambula cena bensu mung'anda yakendi kayi walikunyamfwa bantu mumapensho abo, kayi walikulibenga kwinsa byaina.
awe ameshuhudiwa kwa matendo yake mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu, aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa ajili ya matendo mema ya kila namna.
11 Bamukalubingi batana bashika byaka makumi asanu ne limo kotabalemba maina. Pakwinga baba ne nyotwa yakuyanda kwebwa, bakute kushiya Klistu,
Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.
12 kayi ingababa ne mulandu wa kupwaya cipangano cabo cakutanguna.
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
13 Pambali palico, ngababa batolo, bakute cinga cakuya kulibandikisha ku manda abanabo, kufwiya nekwingila mumakani abanabo, ne kwamba makani abula kwelela kwamba.
Zaidi ya hayo, wajane kama hao huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa wasengenyaji, wajiingizao katika mambo yasiyowahusu na kusema mambo yasiyowapasa kusema.
14 Caina kwambeti bamukalubingi bacili batwanike bebwe, baseme bana ne kubakulisha cena, kwambeti balwani betu babule cindi ca kutwamba bintu byaipa.
Hivyo nawashauri wajane vijana waolewe, wazae watoto na wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui nafasi ya kutushutumu.
15 Kobona, cilenshiki kuli ba mukalubingi batwanike, balatatiki kukonkela Satana.
Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.
16 Na pali mutukashi muklistu ukute kulela bamukalubingi apitilishe kubanyamfwa kabataba mutolo ku mubungano, kwambeti mubungano upitilishe kunyamfwa bamukalubingi babula pa kwikata.
Lakini kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane katika jamaa yake, inampasa awasaidie wala si kuwaacha wakililemea kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kweli kweli.
17 Batangunishi ba mubungano balatangunininga cena bapewe bulemu ne malipilo elela ncito ya kukambauka ne kwiyisha.
Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.
18 Ici celana ne Mabala a Lesa alambangeti, “Kotasunga ng'ombe matomo kumulomo kwambeti ibule kulya cindi ncolaisebenseshenga mulibala” Kayi “musebenshi wela kutambula malipilo kuli walamwingisha ncito”
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
19 Kotautambula mulandu wakumubepesha mutangunishi wa mubungano na uliya bakamboni babili nambi batatu bawishi cena mulandu'wo.
Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.
20 Nambi kulico, bakanse abo balapitilishingo'wa kwinsa bintu byaipa, kwambeti nabambi bamantepo ciyo.
Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
21 Ndakwambilinga mwangofu pamenso pa Lesa ne Klistu Yesu pamo ne bangelo basalwa, kwambeti ukonke malailile awa kwakubula kulanga pa nkumo, kwambeti ubule kusalulula.
Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
22 Kotafwambananga kubika makasa pa muntu kumuleta mu ncito ya Mwami ya butangunishi mu mubungano, pakwinga wenseco ngaumantamo lubasu mu bwipishi bwakendi. Obe pitilisha kuba wabula kampenda mu buyumi bwakobe.
Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.
23 Kotanwango'wa menshi onka, konwangonga waini kukunyamfwa kusungulula mulibunda, cebo cakwambeti ukute kukolwa kolwa.
Acha kunywa maji peke yake, tumia divai kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.
24 Bwipishi bwa bantu nabambi bukute kuboneka patuba, nambi kabatana bomboloshewa. Nomba bwipishi bwa bantu nabambi bukute kumanta cindi citali kwambeti buboneke.
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
25 Ni cimo cimo micito yaina ikute kuboneka patuba, nayo itabonekele patuba nkayela kusolekwa sobwe.
Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.