< 1 Batesalonika 2 >

1 Mobanse, amwe mobene mucinshi kwambeti kufwakasha kwetu kwalikuba kwaina.
Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,
2 Mucinshi mbuli bantu baku Filipi ncobalatupensha nekutusebanya, katutana kwisa ku Tesalonika. Necikabeco Lesa walatuyumisha moyo mpaka twalacikosha kumukambaukila Mulumbe Waina weshikufuma kulyendiye nambi bangi balikutoteka.
kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.
3 Pakwinga mbyetwalikukambauka nkatwalasebensesha miyeyo yaipa nambi kuyanda kubepa bantu sobwe.
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
4 Nsombi tukute kukambauka mbuli Lesa ncakute kuyandeti twinse, pakwinga Lesa walatusuminisha kwambeti twelela kupewa mulimo wakukambauka Mulumbe Waina. Nkatuleleshenga kukondwelesha bantu sobwe, nsombi kukondwelesha Lesa uyo ukute kwinshiba miyeyo yetu.
Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.
5 Mucinshi cena kwambeti nkatwalesa kulinjamwe ne maswi akuyanda kumukondwelesha nambi kwambeti tucaninepo pindu kulinjamwe, Lesa ekamboni wetu.
Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.
6 Nkatwalayanda kulumbwa ne muntu uliyense nambi amwe, nambi bambi,
Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote. Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa mzigo kwenu,
7 cakubinga mpotwalasenga lunyamfo netukaba batumwa ba Yesu Klistu twalalibombelesha pakumusenga bintu mbuli mushali mutukashi ncakute kulama cena banabendi.
lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.
8 Pacebo cakumusunishisha twalikuba twalibambila kumuyabila Mulumbe Waina weshi kufuma kuli Lesa kayi ne buyumi bwetu. Pakwinga mwalikuba mwasunika kulinjafwe.
Tuliwapenda sana kiasi kwamba tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa wa thamani mno kwetu.
9 Mobanse mwengashila cena mbuli ncotwalasebensa cangofu pakati penu, twalasebensa munshi ne mashiku kwambeti tutamupensha mubintu mbyotwalikuyanda kusebensesha mpotwali kumukambaukila Mulumbe Waina wa Lesa.
Ndugu zetu, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote wa kwenu wakati tulipokuwa tunawahubiria Injili ya Mungu.
10 Njamwe bakamboni betu pamo ne Lesa, kwambeti bwikalo bwetu pakati penu amwe bashoma bwalikuba bwaswepa, bwalululama kayi bwabula kampenda.
Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na wasio na lawama miongoni mwenu ninyi mlioamini.
11 Lino mucinshi kwambeti twalikushako mano kuli uliyense pakati penu mbuli mushali mutuloba ncakute kulama banabendi.
Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.
12 Twalamuyuminisha ne kumutontosha myoyo, kayi ne kumwambila cangofu kwambeti mwelela kuba ne bwikalo bwakukondwelesha Lesa, uyo lamukunga kwambeti mukengile mu Bwami bwabulemu bwakendi.
Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.
13 Nomba kuli cebo nacimbi cikute kupesheti tulumbaishe Lesa. Mpotwalamuletela Mulumbe Waina mwalaukutika nekusumina.
Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
14 Mobanse, bintu bimobimo byalamwinshikila byalenshikila kumibungano ya Lesa ili muli Yesu Klistu yaku Yudeya. Nomba bantu bakucomwenu balamupensha mbuli Bayuda ncebalapensha baklistu baku Yudeya.
Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi,
15 Abo balashina Mwami Yesu ne bashinshimi balikubako kaindi, kayi ebalatupensha. Aba nkabakute kukondwelesha Lesa sobwe, kayi ebapelana ne bantu bonse.
wale waliomuua Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni adui wa watu wote,
16 Balelesha kutukanisha kukambuka Mulumbe Waina kubantu ba kunsa kwambeti batambule lupulusho. Neco balalibunjikila bwipishi bwabo bonse cakwambeti bukalu bwa Lesa bulabashikili.
wakijitahidi kutuzuia tusizungumze na watu wa Mataifa ili kwamba wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi kujilundikia dhambi zao hadi kikomo. Lakini hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.
17 Mobanse necikabeti twalapansana nenjamwe kwa kacindi cing'ana kumubili nsombi mumiyeyo tuli pamo, twalikuyandishisha kwambeti tukabonane menso ne menso. Nambi twalamushiya myoyo yetu yalikubowa nenjamwe.
Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa nanyi kwa kitambo kidogo (ingawa kutengana huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso kwa uso.
18 Ecebo cakendi twalikuyandishisha kubwelela kwisa kumubona, ame ndalelekesha kwisa kayi nteko kankanda kamowa nsombi tubili, nomba Satana walatabankana panshila.
Maana tulitaka kuja kwenu, hasa mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini Shetani akatuzuia.
19 Anu kupembelela kwetu nicani? Inga kukondwa kwetu nicani? Kayi ne cilambo cetu nicani ncetwelela kutwangila Mwami wetu akesa? Sena ntamwe?
Kwa maana tumaini letu ni nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja kwake? Je, si ni ninyi?
20 Cakubinga bulemu bwetu nekukondwa kwetu njamwe.
Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.

< 1 Batesalonika 2 >