< 1 Bakolinto 11 >
1 Lino konkelani, ame mbuli nenjame ncondakonkelenga Klistu.
Nifuateni mimi, kama na mimi ninavyomfuata Kristo.
2 Ndamulumbunga pakwinga mulanganukunga mubintu byonse, kayi mulakonkelenga biyisho mbyondalamushiyila.
Sasa nawasifu kwasababu ya vile mnavyonikumbuka katika mambo yote. Nawasifu kwasababu mmeyashika mapokeo kama nilivyoyaleta kwenu.
3 Nomba ndayandanga kwambeti mwishibeti Klistu endiye mutwi wa mutuloba uliyense. Neye mutuloba endiye mutwi wa mutukashi, neye Lesa endiye mutwi wa Klistu.
Basi nataka mfahamu ya kuwa Kristo ni kichwa cha kila mwanaume, naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke, na ya kuwa Mungu ni kichwa cha Kristo.
4 Na mutuloba pa kupaila nambi pa kushinshima kaliwalifweka kumutwi ukute kunyansha mutwi wakendi.
Kila mwanaume aombaye au atoae unabii akiwa amefunika kichwa anakiabisha kichwa chake.
5 Neye mutukashi pakupaila nambi pa kushinshima kali wabula kulifweka kumutwi ukute kunyansha mutwi wakendi. Uliya kupusana ne mutukashi ngobalacese munkunyu.
Lakini kila mwanamke aombae au kutoa unabii hali kichwa chake kikiwa wazi anakiaibisha kichwa chake. Kwa maana ni sawa sawa na kama amenyolewa.
6 Na mutukashi ubula kulifweka kumutwi, cilicena kucesa mishishi yakendi. Pakwinga nicansoni mutukashi kucesa munkunyu nambi kucesa mishishi, neco, wela kulifweka kumutwi.
Ikiwa kama mwanamke hatafunika kichwa chake, na akatwe nywele zake ziwe fupi. Maana ikiwa ni aibu mwanamke kukata nywele zake au kunyolewa, basi afunike kichwa chake.
7 Mutuloba nkalayandikinga kulifweka kumutwi pakwinga ukute kulesha cimo ne bulemu bwa Lesa. Kakuli mutukashi neye ebulemu bwa mutuloba.
Kwani haimpasi mwanamume kufunika kichwa chake, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.
8 Pakwinga mutuloba uliya kupangwa kufuma kumutukashi, nsombi mutukashi endiye walapangwa kufuma kumutuloba.
Maana mwanamume hakutokana na mwanamke. Bali mwanamke alitokana na mwanamume.
9 Kayi mutuloba uliya kulengwa cebo ca mutukashi sobwe, nsombi mutukashi endiye walalengwa cebo camutuloba.
Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke. Bali mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume.
10 Neco, cebo ca bintu ibi ne cebo cabangelo, mutukashi alifweke kumutwi kwambeti cibe cilesho ca bulemu mbwakute.
Hii ndio sababu mwanamke anapaswa kuwa na ishara ya mamlaka juu ya kichwa chake, kwa sababu ya malaika.
11 Mubuyumi bwetu muli Lesa, mutukashi nkela kubako kwabula mutuloba nambi mutuloba kubako kwakubula mutukashi.
Hata hivyo, katika Bwana, mwanamke hayupo peke yake pasipo mwanamume, au mwanamume pasipo mwanamke.
12 Mbuli mutukashi ncalapangwa kufuma kumutuloba, neye mutuloba ukute kusemwa kufuma kumutukashi. Ibi byonse byalafuma kuli Lesa.
Maana kama vile mwanamke alitoka kwa mwanamume, vile vile mwanamume alitoka kwa mwanamke. Na vitu vyote hutoka kwa Mungu.
13 Lino, kamulyomboloshani mobene na ngaciboneka cena kwambeti mutukashi apailenga kuli Lesa nkali wabula kulifweka kumutwi.
Hukumuni wenyewe: Je! ni sahihi mwanamke amuombe Mungu hali kichwa chake kikiwa wazi?
14 Sena, bwikalo bwa buntu bwetu nkabukute kutwiyisheti cikute kupa nsoni mutuloba akutenga mishishi itali?
Je hata asili peke yake haiwafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?
15 Nsombi kumutukashi neye ebulemu Lesa mbwalapa mutukashi mishishi itali itali kwambeti imufwekenga kumutwi.
Je asili haiwafundishi ya kwamba mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwake? Maana amepewa zile nywele ndefu kama vazi lake.
16 Na pali muntu layandanga kutoteka pamakani awa, afwe nambi mibungano ya Lesa tuliya mwambo naumbi wampaililo wapita uwu sobwe.
Lakini ikiwa mtu yeyote anataka kubishana juu ya hili, sisi hatuna namna nyingine, wala makanisa ya Mungu.
17 Lino, ncondayandanga kumulailila nteti mukondwe naco. Pakwinga mibungano yenu ilabanga yaipa kayi nkayaina.
Katika maagizo yafuatayo, mimi siwasifu. Maana mnapokusanyika, sio kwa faida bali kwa hasara.
18 Cakutanguna ndanyumfungeti mwabungananga pamo mumubungano mulasalulananga. Ndashoma kwambeti mpani makani awa nakubinga.
Maana kwanza, nasikia ya kuwa mkutanikapo kanisani, kuna migawanyiko kati yenu, na kwa sehemu ninaamini.
19 Nkandatonshanyanga sobwe, pela kuba kupusana miyeyo pakati penu kwambeti abo balenshinga calulama baboneke.
Kwa maana ni lazima iwepo misuguano kati yenu, ili kwamba wale waliokubaliwa wajulikane kwenu.
20 Neco mukute mwabungananga pamo nkamukute kulya cakulya ca mansailo ca Mwami sobwe.
Kwa maana mkutanikapo, mnachokula sio chakula cha Bwana.
21 Pakwinga mukute kulya kwakusalana cakwinseti nabambi bakute bashala babula cakulya, kakuli nabambi bakute kwinsa kukolewa.
Mnapokula, kila mmoja hula chakula chake mwenyewe kabla wengine hawajala. hata huyu ana njaa, na huyu amelewa.
22 Sena muliya manda enu uko nkomwelela kulyela nekunwinina? Sena mulayandangowa kupesha nsoni mubungano wa Lesa, nekunyalisha abo bantu balabulunga cakulya? Mulayandanga ng'ambeconi? Ndimulumbe sena? Pa bintu ibi nkandelela kumulumba sobwe.
Je hamna nyumba za kulia na kunywea? Je mnalidharau kanisa la Mungu na kuwafedhehesha wasio na Kitu? Niseme nini kwenu? Niwasifu? Sitawasifu katika hili!
23 Ciyisho ncondalatambula ku Mwami encondalamupa kwambeti busuba busa mansailo, Mwami Yesu mpwalayabwa walamanta shinkwa,
Maana nilipokea kutoka kwa Bwana kile ambacho nimewapa ninyi ya kuwa Bwana Yesu, usiku ule aliposalitiwa, alichukua mkate.
24 mpwalalumbaisha Lesa ne kukomona walambeti “Uwu emubili wakame ngondabengele njamwe. Kamwinsanga ici kuba cakunganukilapo.”
Baada ya kushukuru, aliuvunja na kusema, “Huu ndio mwili wangu, ulio kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi.”
25 Kayi copeleco mpobalapwisha kulya walamanta nkomeshi ya waini nekwambeti “Nkomeshi iyi ecipangano ca linolino cilapangwa nemilopa yakame. Cibe cakunganukilapo cindi conse mwanwanga.”
Na vivi hivi akachukua kikombe baada ya kula, na kusema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi mara nyingi kila mywapo, kwa kunikumbuka mimi.”
26 Pakwinga cindi conse mwalyanga shinkwa nekunwina munkomeshi iyi, mukute kukambauka shalufu lwa Mwami mpaka cindi nceti akese.
Kwa kila muda mlapo mkate huu na kukinywea kikombe, mwaitangaza mauti ya Bwana mpaka atakapokuja.
27 Ecebo cakendi na muntu uliyense ulya shinkwa uwu nekunwina munkomeshi ya Mwami munshila yabula kwelela, lepishilinga mubili nemilopa ya Mwami.
Kwa hiyo, kila aulaye mkate au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana.
28 Neco muntu uliyense katana ulya shinkwa nekunwina munkomeshi iyi alicencete mwine abone nawelela.
Mtu ajihoji mwenyewe kwanza, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.
29 Pakwinga na bantu kabalya shinkwa nekunwina mu nkomeshi cakuteshiba mubili wa Klistu nceulapandululunga, bakute kulikwila lombolosho.
Maana alaye na kunywa bila kuupambanua mwili, hula na kunywa hukumu yake mwenyewe.
30 Ecebo cakendi bantu bangi pakati penu balatyompwanga kayi balakolwanga nabambi bafwa.
Hii ndiyo sababu watu wengi kati yenu ni wagonjwa na dhaifu, na baadhi yenu wamekufa.
31 Na katulicenceta, nkatwela kwingila mulombolosho lulico sobwe.
Lakini tukijichunguza wenyewe hatutahukumiwa.
32 Neco Lesa ukute kutupa cisubulo, kwambeti twiye kuba ne mano kwambeti, katutakacanika nemulandu pamo nebantu bacinka manungo pabintu byapa cishi capanshi.
Ila tunapohukumiwa na Bwana, twarudiwa, ili tusije tukahukumiwa pamoja na dunia.
33 Neco, mobanse bame, batuloba ne batukashi, cindi ncomulabungananga pamo kulya Mulalilo wa Mwami kamupembelanga banenu.
Kwa hiyo, kaka na dada zangu, mkutanikapo mpate kula, ngojeaneni.
34 Uliyense lanyumfunga nsala alyele limo cakulya kung'anda kwakendi kwambeti kamutaliletela cisubulo cindi ncomulabungananga pamo. Bintu nabimbi mbyondabulu kwamba ninkese nkabyambe ndakesa.
Mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake, ili kwamba mkutanikapo pamoja isiwe kwa hukumu. Na kuhusu mambo mengine mliyoandika, nitawaelekeza nitakapokuja.