< Psalmi 77 >
1 Načelniku godbe, naslednikov Idutunskih; psalm Asafov. Glas moj gre do Boga, ko zavpijem; glas moj do Boga, da nagne uho k meni.
Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
2 Ob času stiske svoje iščem Gospoda; roka moja je ponoči polita neprestano, duša moja se brani pripustiti tolažbo.
Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
3 Spominjam se Boga, ko trepetam in stokam; premišljam, ko duh moj omaguje presilno.
Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
4 Ko mi ne daš zatisniti očî, zbegan sem, tako da povedati ne morem.
Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
5 Čase premišljujem starodavne, prejšnjih vekov leta.
Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
6 Spominjam se godbe svoje ponočnje; v srci svojem premišljam, in duh moj preiskuje govoreč:
Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
7 Ali bi vekomaj zametal Gospod; ali ne bode dalje dobrovoljen?
Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
8 Ali bi vekomaj opešala milost njegova; konec bilo govora od roda do roda?
Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
9 Ali bi bil pozabil Bog mogočni deliti milost; ali bi zapiral v jezi usmiljenje svoje?
Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
10 Slednjič pravim: To me slabi, ko se je izpremenila Najvišjega desnica.
Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
11 Spominjal so bodem dejanj Gospodovih; dà, spominjal se bodem od starodavnosti vseh čudežev tvojih.
Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
12 In premišljal bodem vsakatero délo tvoje; o dejanjih tvojih bodem pripovedoval:
Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
13 O Bog, v svetosti je steza tvoja, kdo je Bog mogočni kakor Bog?
Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
14 Ti, o Bog mogočni, čudoviti, pokazal si moč svojo na narodih.
Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
15 Rešil si z roko ljudstvo svoje, sinove Jakobove, tudi Jožefa.
Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
16 Videle so te vode, Bog, videle so te vode in se tresle, dà, potresla so se brezna.
Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
17 Izlili so oblaki vode, glas so zagnali gornji oblaki; priletele so tudi pušice tvoje.
Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
18 Bobnel je grom tvoj v tistem krogu, razsvetljali so bliski vesoljni svet; potresla se je zemlja in trepetala.
Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
19 Skozi morje pot tvoja, in steza tvoja skozi prostorne vode, kjer sledovi tvoji niso znani,
Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
20 Vodil si kakor čedo ljudstvo svoje, po Mojzu in Aronu.
Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.