< Psalmi 106 >

1 Aleluja! Slavite Gospoda, ker je dober, ker je vekomaj milost njegova.
Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Kdo bi dopovedal najvišjo moč Gospodovo, oznanil vso hvalo njegovo?
Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
3 O blagor jim, ki se držé postave té, ki delajo pravico vsak čas!
Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
4 Spomni se me, Gospod, po blagovoljnosti, katero izkazuješ svojemu ljudstvu, obišči me z blaginjo svojo.
Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
5 Da uživam izvoljenih tvojih dobroto, da se radujem radosti naroda tvojega; da se s posestjo tvojo ponašam.
Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
6 Grešili smo z očeti svojimi: krivično smo delali, ravnali hudobno.
Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
7 Očetje naši niso umeli v Egiptu čudovitih dél tvojih; spominjali se niso milosti tvojih obilosti; temuč priliko so dajali izpremeniti jih pri morji, ko so stopali v morje trstovito.
Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
8 Vendar jih je rešil zavoljo imena svojega, da bi pokazal svojo moč.
Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
9 Ker zarotil je trstovito morje, in posušilo se je; in peljal jih je skozi valove kakor skozi puščavo.
Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
10 Tako jih je rešil roke sovražnikove; otel jih je neprijateljeve roke.
Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
11 Pokrile pa so vode njih sovražnike; eden izmed njih ni ostal.
Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
12 Da sì so verjeli besedam njegovim, peli hvalo njegovo,
Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
13 Pozabili so naglo dél njegovih; čakali niso sveta njegovega.
Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
14 Ampak iz poželjivosti v puščavi izkušali so Boga mogočnega v samoti.
Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
15 Tako da je podelivši jim, kar so prosili, poslal kugo nad nje.
Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
16 Potem ko so bili nevoščljivi Mojzesu v šatorji, Aronu svetniku Gospodovemu,
Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
17 Odprla se je zemlja in požrla Datana in zagrnila je drhal Abiramovo.
Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
18 In vnel se je ogenj v njih drhal, in s plamenom požgal krivične.
Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
19 Naredili so tele na Horebu, in klanjali so se podobi.
Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
20 In premenivši čast svojo v podobo vola, ki travo jé,
Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
21 Pozabili so Boga mogočnega, rešitelja svojega, kateri je bil storil velike reči v Egiptu,
Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
22 Čudovita dela v deželi Kamovi, strašna pri trstovitem morji.
Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
23 Zatorej je rekel, da jih bode pogubil; ko bi ne bil Mojzes, izvoljenec njegov, stopil v ón predór pred njim, da bi odvrnil jezo njegovo, da jih ne pogubi.
Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
24 Zavrgli so tudi zaželeno deželo, ne verujoč besedi njegovi.
Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
25 In godrnjaje v šatorih svojih niso poslušali glasú Gospodovega.
bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
26 Zatorej je dvignil roko svojo ter prisegel, da jih podere v sami puščavi.
Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
27 In da podere seme njih med narodi, in razkropi jih po deželah.
akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
28 Razen tega so se združili tudi z malikom Peorjem, in jedli mrtvih daritve.
Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
29 Klicali so tako Boga v nevoljo z deli svojimi, da je pridrla nad nje nadloga.
Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
30 Dokler ni vstal Pineas in storil sodbo, ter je bila ustavljena tista nadloga;
Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
31 Kar se mu je štelo za pravico, od roda do roda vekomaj.
Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
32 Enako so razdražili gorečo jezo pri vodah prepira, tako da se je slabo godilo Mojzesu zavoljo njih.
Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
33 Ko so bili razdražili duha njegovega, in je izgovoril z ustnami svojimi razdraženje svoje:
Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
34 Pokončali niso onih ljudstev, za katera jim je bil zapovedal Gospod;
Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
35 Ampak pomešali so se z onimi narodi in naučili se njih dél.
bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
36 In čestili so njih podobe, katere so bile njim v izpotiko.
nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
37 Ker darovali so sinove svoje in hčere svoje hudobnim duhovom;
Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
38 In prelivali so nedolžno kri, kri sinov svojih in hčer svojih, katere so darovali podobam Kanaanskim, tako da je bila zemlja onečiščena z njih moritvami.
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
39 In oskrunjali so se sè svojimi deli; prešestvovali z dejanji svojimi.
Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
40 Zatorej se je razsrdil Gospod nad ljudstvom svojim in studil svojo posest,
Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
41 Tako da jih je dal v roko narodom, da bi jim gospodovali njih sovražniki, črtilci,
Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
42 In jih zatirali njih neprijatelji, in da bi se poniževali pod njih roko.
Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
43 Mnogokrat jih je rešil, dasì so ga bili razsrdili z naklepom svojim, in so bili ponižani zavoljo krivice svoje.
Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
44 Ozrl se je na njih stisko, slišal je njih vpitje.
Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
45 In spomnivši se zá nje zaveze svoje, kesal se je po obilosti milosti svojih;
Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
46 Tako da jim je izkazal usmiljenje pred vsemí, kateri so jih v sužnjosti imeli.
Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
47 Reši nas, Gospod, Bog naš, in zberi nas izmed tistih narodov, da slavimo sveto ime tvoje, in se s hvaljenjem priporočamo v hvali tvoji,
Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
48 Blagoslovljen Gospod, Izraelov Bog, od veka do veka in vse ljudstvo naj govori: Aleluja!
Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.

< Psalmi 106 >