< Filipljanom 3 >

1 V ostalem, bratje moji, veselite se v Gospodu. Isto pisati vam ni sitno meni, vam pa v potrjenje.
Hatimaye, ndugu zangu furahini katika Bwana. Sioni usumbufu kuwaandikia tena maneno yaleyale. Haya mambo yatawapa usalama.
2 Pazite se psov, pazite se slabih delalcev, pazite se razkolja!
Jihadharini na mbwa. Jihadharini na watenda kazi wabaya. Jihadharini na wale wajikatao miili yao.
3 Kajti mi smo obreza, ki v duhu služimo Bogu in se hvalimo v Kristusu Jezusu, in ne zaupamo v meso;
Kwa kuwa sisi nndiyo tohara. Sisi ndiyo huwa tumwabudu Mungu kwa msaada wa Roho. Tujivuniao katika Kristo Yesu, na ambao hatuna ujasiri katika mwili.
4 Dasì bi imel jaz tudi v meso zaupanje. Če méni kdo drug zaupati v meso, jaz bolj;
Hata hivyo, kama kungekuwa na mtu wa kuutumainia mwili huu, mimi ningeweza kufanya hivyo zaidi.
5 Obrezan osmi dan, iz rodú Izraelovega, rodovine Benjaminove, Hebrejec iz Hebrejcev, po postavi Farizej,
Kwani nilitahiriwa siku ya nane, nilizaliwa katika kabila la Waisraeli. Ni wa kabila la Benjamini. Ni Mwebrania wa waebrani. Katika kuitimiza haki ya sheria ya Musa, nilikuwa, Farisayo.
6 Po gorečnosti preganjalec občine, po pravičnosti v postavi bréz pogreška.
Kwa juhudi zangu nililitesa Kanisa. Kwa tuitii haki ya sheria, sikuwa na lawama kisheria.
7 Ali kar mi je bilo dobiček, to sem imel zaradi Kristusa za izgubo;
Lakini katika mambo yote niliyoyaona kuwa ya faida kwangu mimi, niliyahesabu kama takataka kwa sababu ya kumfahamu Kristo.
8 Ali zares tudi zdaj imam vse za izgubo zavoljo preobilosti spoznanja Kristusa Jezusa, Gospoda svojega, za katerega voljo sem vse izgubil, in za smeti imam, da pridobim Kristusa,
Kwa kweli, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kutokana ubora wa kumjua wa Kristo Yesu Bwana wangu. Kwa ajili yake nimeaacha mambo yote, nayahesabu kama takataka ili nimpate Kristo
9 In se najdem v njem, ne da imam svojo pravico iz postave, nego po veri Kristusovi, iz Boga pravico v veri;
na nionekane ndani yake. Sina haki yangu binafisi kutoka katika sheria, bali ninayo haki ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, itokayo kwa Mungu, yenye msingi katika imani.
10 Da spoznam njega in vstajenja njegovega moč, in sodeleštvo njegovega trpljenja, storivši se podobnega smrti njegovi,
Sasa nataka kumfahamu yeye na nguvu ya ufufuo wake na ushirika wa mateso yake. Nataka kubadilishwa na Kristo katika mfano wa kifo chake,
11 Če pač pridem do vstajenja mrtvih;
angalau niweze kuwa na matumaini katika ufufuo wa wafu.
12 Ne da sem že dosegel ali sem že popoln; a lovim, če pač dosežem, za kar sem tudi vjet bil od Kristusa Jezusa.
Siyo kweli kwamba tayari nimeishayapata mambo hayo, au kwamba nimekuwa mkamilifu katika hayo. Bali najitahidi ili niweze kupata kile kupata kile nilichopatikana na Kristo Yesu.
13 Bratje, jaz ne sodim, da sem dosegel;
Ndugu zangu, sidhani kwamba nimekwisha kupata mambo haya. Bali nafanya jambo moja: nasahau ya nyuma nayatazamia ya mbele.
14 Eno pa: pozabivši kar je zadaj, a spenjajoč se po tém, kar je spredaj, proti smotru hitim za darilom nebeškega poklica Božjega v Kristusu Jezusu.
Najitahidi kufikia lengo kusudi ili nipate tuzo ya juu ya wito wa Mungu katika Kristo Yesu.
15 Kolikor nas je torej popolnih, bodimo teh misli; in če ste v čem drugih misli, bode vam tudi to Bog razodel.
Sote tulio ukulia wokovu, tunapaswa kuwaza namna hii. Na ikiwa mwingine atafikiri kwa namna iliyotofauti kuhusu jambo lo lote, Mungu pia atalifunuao hiilo kwenu.
16 Todà do česar smo dospeli, isto bodi nam pravilo v dejanji, isto v mišljenji.
Hata hivyo, hatua ifikia na tuenende katika mtindo huo.
17 Posnemalci moji bodite vsi, bratje, in glejte one, kateri tako živé, kakor imate nas za zgled.
Ndugu zangu, niigeni mimi. Waangalieni kwa makini wale wanaoenenda kwa mfano ulio wa jinsi yetu.
18 Kajti mnogo jih živi, katere sem vam mnogokrat imenoval, zdaj pa jih tudi jokajoč imenujem, sovražnike križa Kristusovega,
Wengi wanaoishi niwale ambao mara nyingi nimewaambieni, na sasa nawaambia kwa machozi -wengi wanaishi kama maadui wa msalaba wa Kristo.
19 Katerih konec poguba, katerih Bog trebuh, in slava v njih sramoti, ki jim je zemeljsko v mislih.
Mwisho wao ni uharibifu. Kwa kuwa Mungu wao ni tumbo, na kiburi chao kiko katika aibu yao. Wanafikiria mambo ya kidunia.
20 Kajti naše dejanje je v nebesih, od koder tudi zveličarja pričakujemo Gospoda Jezusa Kristusa,
Bali uraia wetu uko mbinguni, ambako tunamtarajia mwokozi wetu Yesu Kristo.
21 Kateri bode telo ponižanja našega preizobrazil, da bode podobno telesu slave njegove, po kreposti, s katero si more tudi vse podvreči.
Atabadilisha miili yetu dhaifu kuwa kama mwili wake wa utukufu; kwa uweza ule ule unaomwezesha kuvidhibiti vitu vyote.

< Filipljanom 3 >