< Marko 15 >

1 In precej zjutraj se posvetujejo véliki duhovni s starešinami in pismarji, in ves zbor, zvezavši Jezusa, odpeljejo in izročé Pilatu.
Asubuhi na mapema wakuu wa makuhani walikutana pamoja na wazee na waandishi na baraza zima la wazee. Kisha wakamfunga Yesu wakampeleka kwa Pilato. Pilato akamwuliza, “wewe ni Mfalme wa Wayahudi?”
2 In vpraša ga Pilat: Ti si kralj Judovski? On pa odgovorí in mu reče: Ti praviš.
“Akamjibu, “Wewe umesema hivyo.”
3 In tožili so ga véliki duhovni veliko.
Wakuu wa makuhani wakaeleza mashitaka mengi juu ya Yesu.
4 Pilat ga pa zopet vpraša, govoreč: Ne odgovarjaš li ničesar? Glej, kaj zoper té pričajo.
Pilato akamwuliza tena, “Hujibu chochote? Huoni jinsi wanavyokushtaki kwa mambo mengi?
5 Ali Jesus mu ni nič več odgovoril, tako, da se je Pilat čudil.
Lakini Yesu hakumjibu Pilato, na hiyo ilimshangaza.
6 O prazniku jim je pa izpuščal po enega jetnika, kterega so zahtevali.
Kwa kawaida wakati wa sikukuu humfungulia mfungwa mmoja, mfungwa waliyemwomba.
7 Bil je pa, kteremu je bilo ime Baraba, s tovariši v ječi, kteri so bili o puntu ubojstvo storili.
Kulikuwapo wahalifu gerezani, miongoni mwa wauaji kati ya walioasi wanaotumikia makosa yao. Alikuwepo mtu mmoja aitwaye Baraba.
8 In zakričavši ljudsto, začne zahtevati, naj storí, kakor jim je vselej storil.
Umati ulikuja kwa Pilato, na kumwomba afanye kama alivyofanya huko nyuma.
9 Pilat jim pa odgovorí in reče: Hočete li, da vam izpustim kralja Judovskega?
Pilato akawajibu na kusema, “Mnataka niwafungulie Mfalme wa Wayahudi?”
10 Vedel je namreč, da so ga bili iz nevošljivosti izročili véliki duhovni.
Kwa kuwa alijua ni kwa sababu ya wivu wakuu wa makuhani walimkamata Yesu na kumleta kwake.
11 Véliki duhovni pa podpihajo ljudstvo, naj jim rajši Baraba izpustí.
Lakini wakuu wa makuhani walichochea umati kupiga kelele kwa sauti kwamba afunguliwe Baraba badala yake.
12 Pilat pa zopet odgovorí in jim reče: Kaj torej hočete, da naj storim s tem, ki ga imenujete kralja Judovskega?
Pilato akawajibu tena na kusema, “Nimfanye nini Mfalme wa Wayahudi?
13 Oni pa zopet zakričé: Križaj ga!
Wakapiga kelele tena, “Msulibishe!”
14 Pilat jim pa reče: Kaj pa je hudega storil? Oni pa še bolj zavpijejo: Križaj ga!
Pilato akasema, “Amefanya jambo gani baya?” Lakini wakazidi kupiga kelele zaidi na zaidi “Msulibishe.”
15 Pilat pa, hoteč ljudstvu ustreči, izpustí jim Baraba; in Jezusa biča in izročí, naj ga križajo.
Pilato akitaka kuwaridhisha umati, akawafungulia Baraba. Akampiga Yesu mijeledi kisha akamtoa ili asulibiwe.
16 A vojaki ga odpeljejo noter na dvor, to je: v sodnišnico, in skličejo ves trop.
Askari walimwongoza hadi ndani ya ua (ule ulio ndani ya kambi) na walikusanyika pamoja kikosi cha askari.
17 In oblečejo mu škrlaten plašč, in spletó krono iz trnja in jo denejo na-nj.
Wakamvika Yesu kanzu ya rangi ya zambarau, na wakasokota taji ya miiba wakamvika.
18 In začnó ga pozdravljati: Zdrav, kralj Judovski!
Wakaanza kumdhihaki na kusema, “Salam, Mfalme wa Wayahudi!”
19 In bili so ga po glavi s trstom, in pljuvali so na-nj, in pripogibali so kolena in priklanjali mu se.
Wakampiga kichwani kwa mwanzi na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake kwa kumheshimu.
20 In ko mu se nasmejajo, slečejo mu škrlatni plašč, in oblečejo mu lastno njegovo oblačilo; ter ga odpeljejo, da ga križajo.
Hata wakiisha kumdhihaki, wakamvua ile kanzu ya rangi ya zambarau na kumvika mavazi yake, na wakamtoa nje kwenda kumsulibisha.
21 In prisilijo nekega mimo gredočega Simona Cirenejca, kteri je šel s polja, očeta Aleksandrovega in Rufovega, naj mu ponese križ.
Wakamlazimisha mpita njia kumsaidia, aliyekuwa anaingia mjini kutoka shamba. Aitwaye Simoni Mkirene (baba yake Iskanda na Rufo); wakamlazimisha kubeba msalaba wa Yesu.
22 In pripeljejo ga na mesto Golgata, kar se tolmači: Mesto mrtvaške glave.
Askari wakampeleka Yesu mahali paitwapo Goligotha (maana ya tafsiri hii ni, Sehemu ya Fuvu la kichwa).
23 In dajali so mu piti vina z miro; ali on ni vzel.
Wakampa mvinyo iliyochanganywa na manemane, lakini hakunywa.
24 In ko so ga na križ razpeli, delili so obleko njegovo, metaje kocko za njo, kdo bo kaj vzel.
Wakamsulibisha na wakagawana mavazi yake, wakayapigia kura kuamua kipande atakachopata kila askari.
25 Bila je pa ura tri, in razpnó ga na križ.
Yapata saa tatu asubuhi walipomsulibisha.
26 In bil je napis krivice njegove napisan: Kralj Judovski.
Wakaweka juu yake ubao ulioandikwa shitaka, “Mfalme wa Wayahudi.”
27 In ž njim križajo dva razbojnika, enega njemu na desno in enega na levo.
Walimsubisha pamoja na majambazi wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine kushoto kwake.
28 In izpolnilo se je pismo, ktero pravi: "In hudodelnikom je prištet."
(Zingatia: Mstari huu, “Na maandiko yakatimia yaliyonena” haumo katika nakala za kale).
29 In mimo gredoči so ga preklinjali, in majali so z glavami svojimi in govorili: Ahá, ki podiraš tempelj, in ga v treh dnéh postavljaš!
Nao waliokuwa wakipita walimtukana, wakitikisa vichwa vyao wakisema, “Aha! wewe utakayevunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
30 Pomagaj si, in snidi s križa!
jiokoe mwenyewe na ushuke chini toka msalabani!”
31 Ravno tako so mu se pa tudi véliki duhovni posmehovali, in govorili so med seboj s pismarji: Drugim je pomagal, sam sebi ne more pomagati.
Kwa namna ile ile wakuu wa makuhani walimdhihaki wakisemezana, pamoja na waandishi na kusema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe.
32 Kristus kralj Izraelski naj snide sedaj s križa, da bomo videli in verovali. Tudi ktera sta bila križana ž njim, zasramovala sta ga.
Kristo Mfalme wa Israel, shuka chini sasa toka msalabani, ili tuweze kuona na kuamini.” Na wale waliosulubiwa pamoja naye pia walimdhihaki.
33 Ko je bila pa ura šest, nastane tema po vsej zemlji noter do devete ure.
Ilipofika saa sita, giza likaja juu ya nchi yote hadi saa tisa.
34 In ob devetej uri zavpije Jezus z močnim glasom, govoreč: Eloi, Eloi, lama sabahtani? kar se tolmači: Bog moj! Bog moj! za kaj si me zapustil?
Wakati wa saa tisa, Yesu alipiga kelele kwa sauti kubwa, “Eloi, Eloi, lama sabaktani?” ikiwa na maana “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
35 In nekteri tistih, ki so zraven stali, slišali to, govorili so: Glej! Elija kliče.
Baadhi ya hao waliosimama waliposikia wakasema, “Tazama, anamwita Eliya.”
36 Eden pa odbeží, in napolni gobo z octom, in nataknivši na trst, napajal ga je, govoreč: Pojenjajte! bomo videli, če pride Elija, da ga sneme.
Mtu mmoja akakimbia, akajaza siki katika sponji na kuiweka juu ya mti wa mwanzi, akampa ili anywe. Mtu mmoja akasema, “Ngoja tuone kama Eliya atakuja kumshusha chini.”
37 Jezus pa zavpije z močnim glasom, in izdahne.
Kisha Yesu akalia kwa sauti kubwa na akafa.
38 In zagrinjalo tempeljna se pretrga na dvoje, od vrha do tâl.
Pazia la hekalu likagawanyika vipande viwili toka juu mpaka chini.
39 Videvši pa stotnik, kteri je stal njemu nasproti, da je tako zakričavši izdahnil, reče: Resnično je ta človek sin Božji.
Ofisa mmoja aliyekuwa amesimama akimwelekea Yesu, alipoona amekufa kwa jinsi ile, akasema, “Kweli huyu mtu alikuwa Mwana wa Mungu.”
40 Bile so pa tudi žene, ktere so oddaleč gledale, med kterimi je bila tudi Marija Magdalena, in Marija Jakoba manjšega in Jozejeva mati, in Salome,
Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakitazama kwa mbali. Miongoni mwao alikuwepo Mariamu Magdalena, Mariamu (mama yake Yakobo mdogo wa Yose), na Salome.
41 Ktere so tudi, ko je bil v Galileji, za njim hodile in mu služile; in mnoge druge, ktere so bile ž njim prišle v Jeruzalem.
Wakati alipokuwa Galilaya walimfuata na kumtumikia. Na wanawake wengine wengi pia waliambatana naye hadi Yerusalemu.
42 In ko se je uže zvečerilo, (ker je bil petek, to je: pred soboto, )
Kulipokuwa jioni, na kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalio, siku kabla ya Sabato,
43 Pride Jožef Arimatejec, pošten svetovalec, kteri je tudi pričakoval kraljestva Božjega; in vnide srčno k Pilatu, in zaprosi Jezusovo truplo.
Yusufu wa Arimathaya alikuja pale. Alikuwa ni mjumbe wa Baraza anayeheshimiwa mtu anayeutarajia Ufalme wa Mungu. Kwa ujasiri akaenda kwa Pilato, na kuuomba mwili wa Yesu.
44 Pilat se pa začudi, da je uže umrl; in poklicavši stotnika, vpraša ga, če je davno umrl.
Pilato akashangazwa kwamba Yesu tayari amekufa; akamwita yule afisa akamwuliza kama Yesu amekufa.
45 In zvedevši od stotnika, podarí truplo Jožefu.
Alipopata uhakika kwa afisa kwamba amekufa, alimruhusu Yusufu kuuchukua mwili.
46 In kupivši platna sneme ga, in zavije ga v platno, in položí ga v grob, kteri je bil iztesan iz kamena; in privali kamen grobu na vrata.
Yusufu alikuwa amenunua sanda. Akamshusha toka msalabani, akamfunga kwa sanda, na kumweka ndani ya kaburi lililochimbwa katika mwamba. Kisha akalivingirisha jiwe mlangoni mwa kaburi.
47 Marija Magdalena in Marija Jozejeva ste pa gledali, kje so ga pokladali.
Mariamu Magdalena na Mariamu mama yake Yose waliona sehemu alipozikwa Yesu.

< Marko 15 >