< Hebrejcem 4 >

1 Bojmo se torej, da se, ko je še ostala obljuba vniti v pokoj njegov, ne vidi, da je kdo izmed vas zaostal.
Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
2 Kajti obljubo smo prejeli, kakor tudi oni; ali onim ni pomagala slišana beseda, ker ni bila pridružena veri njim, ki so slišali.
Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
3 Kajti v pokoj vnidemo kateri smo verovali, kakor je rekel: "Da sem prisegel v jezi svoji: Ne vnidejo v pokoj moj," dasì so dela zvršena bila od ustanove svetá.
Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
4 Kajti rekel je nekje o sedmem dnevi tako: "In počival je Bog sedmi dan od vseh dél svojih."
Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
5 In v tem zopet: "Ne vnidejo v pokoj moj."
Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
6 Ker je torej še pričakovati, da vnidejo nekateri vanj, in oni, kateri so prej obljubo prejeli, niso prišli noter zaradi nepokorščine,
Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
7 Stavi zopet, neki dan: "Danes" v Davidu govoreč, čez toliko časa, kakor jo rečeno: "Danes, ko začujete glas njegov, ne odrevenite src svojih."
Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
8 Kajti ako bi jih bil Jezus upokojil, ne bi potem govoril o drugem dnevi;
Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
9 Torej čaka sobotni počitek ljudstva Božjega.
Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
10 Kajti on, ki je prišel v pokoj njegov, počiva tudi sam od svojih dél, kakor od lastnih Bog.
Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
11 Glejmo torej, da vnidemo v ón pokoj, da ne pade kdo v enakem zgledu nepokorščine.
Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
12 Živa je namreč beseda Božja, in krepka in ostrejša nego vsak dvorezen meč in pridere noter do ločitve duše in duha, členovja in mozga, in je sodnik naklepov in misli srčnih;
Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
13 In stvari ni skrite pred njim; vse pa je golo in razodeto očem njega, s katerim imamo opravek.
. Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
14 Ker imamo torej višjega duhovnika velikega, ki je prehodil nebesa, Jezusa sina Božjega, držímo se spoznanja.
Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
15 Kajti nimamo višjega duhovnika, kateri bi ne mogel z nami trpeti slabosti naših, nego izkušanega v vsem enako razen greha.
Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
16 Bližajmo se torej zaupno prestolu milosti, da zadobimo usmiljenje in najdemo milost za pravočasno pomoč.
Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.

< Hebrejcem 4 >