< Hebrejcem 3 >
1 Zatorej, bratje sveti, poklica nebeškega deležni, ozirajte se v poslanca in višjega duhovnika spoznanja našega, Kristusa Jezusa;
Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa wito wa mbinguni, mumfikiri Yesu, Mtume na Kuhani Mkuu wa ukiri wetu.
2 Kateri je zvest njemu, ki ga je naredil, kakor tudi Mojzes v vsej hiši njegovi.
Alikuwa mwaminifu kwa Mungu aliyemteua, kama Musa alivyokuwa mwaminifu pia katika nyumba yote ya Mungu.
3 Večje slave namreč je bil ta za vrednega spoznan mimo Mojzesa, potem kakor ima večjo čast od hiše on, ki jo je napravil;
Kwa kuwa Yesu amehesabiwa kuwa na heshima kubwa kuliko aliyokuwa nayo Musa, kwa sababu yule anayejenga nyumba anahesabiwa kuwa na heshima kubwa kuliko nyumba yenyewe.
4 Kajti vsako hišo napravi kdo; on pa, ki je vse naredil, je Bog.
Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini yule anayejenga kila kitu ni Mungu.
5 In Mojzes je bil zvest v vsej hiši njegovi, kakor služabnik v pričanje tistega, kar se je imelo oznanjati;
Hakika Musa alikuwa mwaminifu kama mtumishi katika nyumba yote ya Mungu, akitoa ushuhuda kuhusu mambo yatakayosemwa wakati ujao.
6 Kristus pa, kakor sin čez hišo svojo; katerega hiša smo mi, ako zaupanje in slavo upanja ohranimo trdno do konca.
Lakini Kristo ni Mwana katika usimamizi wa nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba yake kama tutashikilia haraka katika kujiamini na fahari ya kujiamini.
7 Zatorej (kakor govori Duh sveti: "Danes, ko začujete glas njegov,
Kwa hiyo, ni kama Roho Mtakatifu asemavyo, “Leo, kama utasikia sauti yake,
8 Ne odrevenite src svojih, kakor o razdražbi, o dnevi izkušnjave v puščavi,
Usiufanye moyo wako kuwa mgumu kama Waisraeli walivyofanya katika uasi, katika wakati wa kujaribiwa nyikani.
9 Kjer so me izkušali očetje vaši, presojali me in videli dela moja štirideset let;
Huu ulikuwa wakati ambao baba zenu waliniasi kwa kunijaribu, na wakati, kwa miaka arobaini, waliona matendo yangu.
10 Zato sem se razsrdil nad onim rodom in rekel: "Vedno tavajo v srci, oni pa niso spoznali potov mojih;
Kwa hiyo sikufurahishwa na kizazi hicho. Nilisema, 'Wanapotea kila mara katika mioyo yao, na hawajui njia zangu.
11 Tako da sem prisegel v jezi svoji: Ne vnidejo v pokoj moj.")
Ni kama vile nilivyoapa katika hasira yangu: hawataiingia raha yangu.”
12 Glejte, bratje, da ne bode v kom izmed vas hudobnega srca nevere, da odpade od Boga živega;
Muwe waangalifu, ndugu, ili kwamba usije ukawepo moyo mwovu wa kutokuamini kwa mmoja wenu, moyo ambao utakwenda mbali na Mungu aliye hai.
13 Nego opominjajte se vsak dan, dokler se še kliče "danes", da se ne odreveni kdo izmed vas v zmoti greha;
Badala yake, mhamasishane kila siku kila mmoja na mwenzie, ili kila iitwapo leo mtamani, ili kwamba mmoja kati yenu asifanywe kuwa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
14 Kajti deležni smo postali Kristusa, ako le začetek zaupanja trdno ohranimo do konca;
Kwa maana tumekuwa washiriki wa Kristo ikiwa tutashikamana na uthabiti wetu kwa nguvu katika yeye kutoka mwanzo hadi mwisho.
15 V tem, ko pravi: "Danes, ko začujete glas njegov, ne odrevenite src svojih, kakor o razdražbi."
Kuhusu hili imekwisha kusemwa, “Leo kama mtaisikiliza sauti yake, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu, kama Waisraeli walivyofanya wakati wa uasi.”
16 Kajti nekateri so slišali in razdražili se, a ne vsi, kateri so bili izšli iz Egipta po Mojzesu.
Ni akina nani hao waliomsikia Mungu na kuasi? Hawakuwa wale wote ambao Musa alikuwa amewaongoza kutoka Misri?
17 Nad katerimi pa se je srdil štirideset let? Ne nad njimi, ki so bili grešili, katerim so udje pali v puščavi?
Na kina nani ambao Mungu aliwakasirikia kwa miaka arobaini? Siyo pamoja na wale waliotenda dhambi, ambao miili yao iliyokufa ililala jangwani?
18 Katerim pa je prisegel, da ne vnidejo v pokoj njegov, če ne njim, kateri so bili nepokorni?
Ni akina nani aliowaapia Mungu kwamba hawataingia katika raha yake, kama siyo wale ambao hawakumtii yeye?
19 In vidimo, da niso mogli vniti zaradi nevere.
Tunaona kwamba hawakuweza kuingia katika raha yake kwa sababu ya kutokuamini.