< Galačanom 3 >
1 O nespametni Galati! kdo vas je obajal, da resnici ne verujete, kterim se je pred očmi Jezus Kristus opisal, med vami na križ razpet?
Wagalatia wajinga, ni jicho gani ovu lililowaharibu? Je Yesu Kristo hakuoneshwa kama msulubiwa mbele ya macho yenu?
2 To samo hočem izvedeti od vas, jeli ste z deli postave duha prejeli ali s poslušanjem vere?
Mimi nataka tu kufahamu hili kutoka kwenu. Je mlimpokea Roho kwa matendo ya sheria au kwa kuamini kile mlichosikia?
3 Tako ste nespametni? počenši z duhom sedaj z mesom dokončujete?
Je, ninyi ni wajinga kiasi hiki? Je mlianza katika Roho ili mmalize katika mwili?
4 Toliko ste zastonj pretrpeli? če bi bilo le tudi zastonj.
Je mliteseka kwa mambo mengi bure, kama kweli yalikuwa ya bure?
5 Kteri vam torej daje duha in dela moči v vas, jeli to dela z deli postave ali s poslušanjem vere?
Je yeye atoaye Roho kwenu na kutenda matendo ya nguvu kati yenu hufanya kwa matendo ya sheria au kwa kusikia pamoja na imani?
6 Kakor se veli: "Abraham je veroval Bogu in zaračunilo se mu je za pravico."
Abraham “Alimwamini Mungu akahesabiwa kuwa mwenye haki”.
7 Znajte tedaj, da so tisti, kteri so iz vere, sinovi Abrahamovi.
Kwa namna ile ile eleweni kwamba, wale ambao wanaamini ni watoto wa Abrahamu.
8 Pismo pa naprej videvši, da z vero opravičuje pogane Bog, oznanilo je naprej Abrahamu: "V tebi se bodo blagoslovili vsi pogani."
Andiko lilitabiri kwamba Mungu angewahesabia haki watu wa mataifa kwa njia ya imani. Injili ilihubiriwa kwanza kwa Abrahamu: “katika wewe mataifa yote yatabarikiwa”.
9 Tako se tisti, kteri so iz vere, blagoslavljajo z vernim Abrahamom.
Ili baadaye wale ambao wana imani wabarikiwe pamoja na Abrahamu, ambaye alikuwa na imani.
10 Kajti kterikoli so iz del postave, pod kletvijo so; kajti pisano je: Preklet vsak, kdor ne ostane v vsem, kar je pisano v knjigi postave, da naj storí.
Wale ambao wanategemea matendo ya sheria wako chini ya laana. Kwa kuwa imeandikwa, “Amelaaniwa kila mtu ambaye hashikamani na mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sheria, kuyatenda yote.”
11 Da se pa v postavi nikdor ne opravičuje pred Bogom, očitno je, zakaj: "Pravični bo iz vere živel."
Sasa ni wazi kwamba Mungu hamhesabii haki hata mmoja kwa sheria, kwa kuwa “Mwenye haki ataishi kwa imani”.
12 A postava ni iz vere, nego: "Človek, kteri je to storil, živel bo v tem."
Sheria haitokani na imani, lakini badala yake “Ambaye hufanya mambo haya katika sheria, ataishi kwa sheria.”
13 Kristus nas je odkupil iz kletve postave postavši za nas kletev, (kajti pisano je: "Preklet vsak, kdor visi na drevesu.")
Kristo alitukomboa sisi kutoka katika laana ya sheria wakati alipofanyika laana kwa ajili yetu. Kwa kuwa imeandikwa, “Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti.”
14 Da pride med pogane blagoslov Abrahamov v Kristusu Jezusu, da prejmemo obljubo duha po veri.
Lengo lilikuwa kwamba, baraka ambazo zilikuwa kwa Ibrahimu zingekuja kwa watu wa mataifa katika Kristo Yesu, ili kwamba tuweze kupokea ahadi ya Roho kupitia imani.
15 Bratje, po človeku govorim: Nikdor človečje potrjene zaveze ne zameče ali jej kaj pridaja.
Ndugu, ninazungumza kwa namna ya kibinadamu. Hata wakati ambapo agano la kibinadamu limekwisha kuwekwa imara, hakuna awezaye kupuuza au kuongezea.
16 Abrahamu pa so se dale obljube in semenu njegovemu. Ne pravi: "In semenom," kakor za več njih, nego kakor za enega: "In semenu tvojemu," kteri je Kristus.
Sasa ahadi zilisemwa kwa Ibrahim na kwa kizazi chake. Haisemi, “kwa vizazi,” kumaanisha wengi, bali badala yake kwa mmoja pekee, “kwa kizazi chako,” ambaye ni Kristo.
17 To pa pravim: zaveze, ktero je najprej potrdil Bog na Kristusa, črez štiri sto in trideset let dana postava ne preklicuje, da se odpravi obljuba.
Sasa nasema hivi, sheria ambayo ilikuja miaka 430 baadaye, haiondoi agano la nyuma lililowekwa na Mungu.
18 Kajti če je iz postave dedščina, ni več iz obljube. Abrahamu je pa po obljubi podaril Bog.
Kwa kuwa kama urithi ungelikuja kwa njia ya sheria, usingekuwa tena umekuja kwa njia ya ahadi. Lakini Mungu aliutoa bure kwa Ibrahimu kwa njia ya ahadi.
19 Čemu torej postava? Za voljo prestopov se je pridodala, dokler ne pride seme, komur je obljuba dana, in naredili so jo angelji v roki posrednika.
Kwa nini sasa sheria ilitolewa? Iliongezwa kwa sababu ya makosa, mpaka mzao wa Ibrahimu aje kwa wale ambao kwao alikuwa ameahidiwa. Sheria iliwekwa katika shinikizo kupitia malaika kwa mkono wa mpatanishi.
20 Ali posrednik ni enega, Bog pa je eden.
Sasa mpatanishi humaanisha zaidi ya mtu mmoja, bali Mungu ni mmoja peke yake.
21 Jeli je torej postava proti obljubam Božjim? Bog ne daj! kajti ko bi se dala postava, ktera bi bila mogoča oživiti, zares bi bila iz vere pravica.
Kwa hiyo je sheria iko kinyume na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa kuwa kama sheria iliyokuwa imetolewa ilikuwa na uwezo wa kuleta uzima, haki ingepatikana kwa sheria.
22 Ali zaprlo je pismo vse pod greh, da bi se obljuba iz vere Jezusa Kristusa dala tem, kteri verujejo.
Lakini badala yake, andiko limefunga mambo yote chini ya dhambi. Mungu alifanya hivi ili kwamba ahadi yake ya kutuokoa sisi kwa imani katika Yesu Kristo iweze kupatikana kwa wale wanao amini.
23 Predno je pa vera prišla, varovali smo se pod postavo zaprti za vero, ktera se je imela razodeti.
Lakini kabla ya imani katika Kristo haijaja, tulikuwa tumefungwa na kuwa chini ya sheria hadi uje ufunuo wa imani.
24 Tako je bila postava voditeljica naša do Kristusa, da se z vero opravičimo.
Kwa hiyo sheria ilifanyika kiongozi wetu hadi Kristo alipokuja, ili kwamba tuhesabiwe haki kwa imani.
25 A ko je vera prišla, več nismo pod voditeljico.
Sasa kwa kuwa imani imekuja, hatuko tena chini ya mwangalizi.
26 Kajti vsi ste sinovi Božji po veri v Kristusu Jezusu,
Kwa kuwa ninyi nyote ni watoto wa Mungu kupitia imani katika Kristo Yesu.
27 Kajti kterikoli ste se v Kristusa pokrstili, Kristusa ste oblekli.
Wote ambao mlibatizwa katika Kristo mmejivika Kristo.
28 Ni tu Juda ne Grka; ni tu sužnja ne svobodnega; ni tu možkega ne ženske; kajti vi vsi ste eden v Kristusu Jezusu.
Hakuna Myahudi wala Myunani, mtumwa wala huru, mwanaume wala mwanamke, kwa kuwa ninyi nyote ni mmoja katika Kristo Yesu.
29 Če ste pa vi Kristusovi, tedaj ste Abrahamovo seme in po obljubi dediči.
Kama ninyi ni wa Kristo, basi ni uzao wa Ibrahimu, warithi kwa mujibu wa ahadi.