< Apostolska dela 1 >
1 Prvo torej knjigo sem napisal o vsem, o Teofil, kar je jel Jezus delati in pa učiti,
Kitabu cha zamani nilikiandika, Theofilo, nikisema yote Yesu aliyoanza kufanya na kufundisha,
2 Noter do dné, ko se je gor vzel, potem ko je zapovedi dal aposteljnom, ktere je bil po svetem Duhu izvolil.
mpaka siku ambayo Yeye alipokelewa juu. Hii ilikuwa baada ya kutoa amri kupitia Roho Mtakatifu kwa mitume aliokuwa amewachagua.
3 Kterim se je tudi po trpljenji svojem živega pokazal, z mnogimi gotovimi znamenji, in jim se je štirideset dnî prikazoval, in govoril o kraljestvu Božjem.
Baada ya mateso yake, Yeye alionekana kwao akiwa hai pia na vithibitisho vingi vikishuhudia. Kwa siku arobaini alijidhihirisha kwao, na alizungumza kuhusu ufalme wa Mungu.
4 In ko se je ž njimi sešel, zapovedal jim je, naj ne odidejo iz Jeruzalema, nego čakajo obljube očetove, ktero ste slišali od mene;
Alipokuwa akikutana pamoja nao, aliwaamuru wasiondoke Yerusalemu, lakini wasubiri kwa ajili ya ahadi ya Baba, ambayo, alisema, “Mlisikia kutoka kwangu
5 Kajti Janez sicer je krstil z vodo, ali vi se boste krstili z Duhom svetim, ne dolgo po teh dnéh.
kwamba Yohana alibatiza kabisa kwa maji, lakini mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu katika siku hizi chache.”
6 Tí pa, kteri so se bili sešli, vpraševali so ga torej, govoreč: Gospod! ali boš v teh dnéh zopet postavil kraljestvo Izraelovo?
Na walipokuwa wamekutanika pamoja walimuuliza, “Bwana, hivi huu ndio muda utakaowarudishia Israeli ufalme?”
7 On pa jim reče: Ni vaše, da bi znali čas ali uro, ktero je Bog svojej oblasti pridržal;
Yeye akawaambia, “Siyo sawa kwenu kujua wakati au majira ambayo Baba amekusudia kwa mamlaka yake mwenyewe.”
8 Nego prejeli boste moč, ko pride sveti Duh na vas, in boste mi priče v Jeruzalemu in po vsej Judeji in Samariji in noter do kraja zemlje.
Lakini mtapokea nguvu, wakati Roho Mtakatifu atakapokuja juu yenu, na ninyi mtakuwa mashahidi wangu kote katika Yerusalemu na Uyahudi yote na Samaria mpaka mwisho wa nchi.”
9 In ko je to povedal, vzdignil se je vpričo njih: in oblak ga je vzel izpred njih očî.
Bwana Yesu alipokwisha yasema haya, wakiwa wanatazama juu, Yeye aliinuliwa juu, na wingu likamfunika wasimwone kwa macho yao.
10 In ko so gledali za njim, ko je šel na nebo, in glej, moža dva pristopita k njim v belej obleki,
Wakati wanatazama mbinguni kwa makini akienda, ghafla, watu wawili walisimama katikati yao wamevaa mavazi meupe.
11 Ktera tudi rečeta: Možjé Galilejci! kaj stojite in zrete na nebo? Ta Jezus, ki se je gor vzel od vas na nebo, ta bo prišel, kakor ste ga videli, da je šel na nebo.
Walisema, “Enyi watu wa Galilaya, kwa nini mnasimama hapa mkitazama mbinguni?” Huyu Yesu aliyepaa juu mbinguni atarudi kwa namna ile ile kama mlivyomuona akienda mbinguni.
12 Tedaj so se vrnili v Jeruzalem z gore, ktera se imenuje Oljska, in je blizu Jeruzalema, en sobotni dan hodá.
Ndipo wakarudi Yerusalemu kutoka kwenye mlima wa mizeituni, ambao uko karibu na Yerusalemu, mwendo wa siku ya Sabato.
13 In ko so bili noter prišli, šli so gor v gornjo izbo, kjer so prebivali: Peter in pa Jakob in Janez in Andrej, Filip in Tomaž, Jernej in Matevž, Jakob Alfejev in Simon Zelot in Juda Jakobov,
Walipofika walikwenda ghorofani walikokuwa wakikaa. Nao ni Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Thomaso, Batholomayo, Mathayo, Yakobo Mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda Mwana wa Yakobo.
14 Vsi ti so bili ene misli stanovitni v molitvi in prošnji, z ženami in Marijo materjo Jezusovo, in z brati njegovimi.
Wote waliungana kama mtu mmoja, kwa juhudi walikuwa wakiendelea katika maombi. Pamoja na hao walikuwepo wanawake, Mariamu Mama yake Yesu, na kaka zake.
15 In v te dní vstane Peter sredi učencev, in reče (bilo je pa ljudî kakih sto in dvajset imen).
Katika siku zile Petro alisimama katikati ya ndugu, kama watu 120, akasema,
16 Možjé bratje! moralo se je izpolniti to pismo, ktero je prerekel sveti Duh z ustmi Davidovimi, za Juda, kteri je bil vodnik tem, ki so vjeli Jezusa;
Ndugu, ilikuwa lazima kwamba maandiko yatimizwe, ambapo zamani Roho Mtakatifu alisema kwa kinywa cha Daudi kuhusiana na Yuda, ambaye aliwaelekeza wale waliomkamata Yesu.
17 Kajti prištet je bil nam, in prejel je bil del te službe.
Kwa kuwa yeye alikuwa mmoja wetu na alipokea fungu lake la faida katika hii huduma.”
18 Ta torej je pridobil njivo od nepravičnega plačila, in obesil se je, in razpočil se je po sredi, in izsul se je ves drob njegov.
(Sasa mtu huyu alinunua eneo kwa kile alichokipokea kwa uovu wake na hapo alianguka akitanguliza kichwa, mwili ukapasuka na matumbo yake yote yakawa wazi yakamwagika.
19 In na znanje je prišlo vsem, kteri prebivajo okoli Jeruzalema, tako, da se imenuje tisto polje v lastnem njih jeziku Akeldama, to je Krvavo polje.
Wote walioishi Yerusalemu walisikia kuhusu hili, hivyo eneo hilo wakaliita kwa lugha yao “Akeldama” hilo ni “shamba la damu.”)
20 Pisano je namreč v bukvah psalmov: "Dvor njegov naj bo pust, in nikogar naj ne bo, kteri bi prebival v njem;" in: "Škofijstvo njegovo naj prejme drugi."
“Kwenye kitabu cha Zaburi imeandikwa, 'Ngoja eneo lake liwe hame na isiruhusiwe hata mmoja kuishi pale;' na, 'Ruhusu mtu mwingine achukue nafasi yake ya uongozi.'
21 Za to je treba, da od teh móž, kteri so bili z nami ves čas, dokler je Gospod Jezus z nami prebival,
Hiyo ni muhimu, kwa hiyo, mmoja wa wanaume ambao waliambatana nasi wakati Bwana Yesu alipotoka na kuingia kati yetu,
22 Začenši od krsta Janezovega noter do dné, ko se je gor vzel od nas: da bo eden od teh z nami vred priča vstajenja njegovega.
kuanzia kwenye ubatizo wa Yohana mpaka siku ile alipotwaliwa juu, lazima awe shahidi wa ufufuo pamoja nasi.
23 Ter postavijo dva, Jožefa, ki se imenuje Barzaba, s priimkom Just, in Matija.
“Wakaweka mbele wanaume wawili, Yusufu aitwaye Barnaba, ambaye pia aliitwa Yusto na Mathia.
24 In moleč rekó: Ti, Gospod, ki poznaš srca vseh, pokaži, kterega od teh dveh si izvolil,
Wao waliomba wakisema, “Wewe, Bwana, ujuaye mioyo ya watu wote, hivyo weka wazi yupi kati ya wawili hawa ambaye umemchagua
25 Da prejme del te službe in aposteljstva, iz kterega je izpadel Juda, da je odšel na svoj kraj.
kuchukua nafasi katika huduma na utume, ambapo Yuda alitenda uovu na kwenda mahali pake.”
26 In vržejo kocke za nju, in kocka pade na Matija, in prištet je bil enajsterim aposteljnom.
Wakapiga kura kwa ajili yao, na kura ikamwangukia Mathia ambaye alihesabiwa pamoja na wale mitume kumi na moja.