< 1 Timoteju 6 >
1 Kateri so hlapci pod jarmom, naj imajo svoje gospode za vse česti vredne, da se ne govori pregrešno o Bogu in nauku.
Wale wote walio chini ya nira kama watumwa wawachukulie mabwana zao kama wenye heshima zote, wanatakiwa kufanya hivyo ili jina la Mungu na mafundisho yasitukanwe.
2 Kateri pa imajo verne gospode, naj jih ne zaničujejo, ker so bratje; nego tem bolj naj služijo, ker so verni in ljubljeni, kateri sprejemajo dobroto. Tako úči in opominjaj.
Watumwa wenye mabwana waaminio wasiwadharau kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie zaidi. Kwa sababu mabwana wanaosaidiwa kazi zao ni waamini na wanapendwa. Fundisha na kuyatangaza mambo haya.
3 Ako kdo drugače uči in ne pristopi zdravim besedam Gospoda našega Jezusa Kristusa in nauku k pobožnosti,
Iwapo mtu fulani anafundisha kwa upotovu na hayapokei maelekezo yetu yenye kuaminika, ambayo ni maneno ya Bwana wetu Yesu Kristo, iwapo hawalikubali fundisho liongozalo kwenye utauwa.
4 Oslepljen je in nič ne umé, nego boleha za pregovarjanji in besednimi prepiri, iz česar postane zavist, prepir, preklinjanje, natolcevanje;
Mtu huyo anajivuna na hajui chochote. Badala yake, ana vurugu na mabishano juu ya maneno. Maneno haya huzaa wivu, ugomvi, matukano, shuku mbaya,
5 Nepotrebni opravki ljudî popačenih v duhu in brez resnice, ki mislijo, da je pobožnost pridobivanje. Ogiblji se takih.
na vurugu za mara kwa mara kati ya watu wenye akili zilizoharibika. Wanaiacha kweli. Wanafikiri kwamba utauwa ni njia ya kuwa matajiri”
6 Je pa pridobivanje veliko pobožnost sè zadovoljnostjo.
Sasa utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7 Kajti ničesar nismo prinesli na svet, jasno, da tudi odnesti ne moremo ničesar;
Kwa maana hatukuja na chochote duniani. Wala hatuwezi kuchukua chochote kutoka duniani.
8 Če pa imamo hrane in odeje, bodimo s tem zadovoljni.
Badala yake, tutosheke na chakula na mavazi.
9 Kateri pa hočejo biti bogati, padejo v izkušnjavo in past in mnoga poželenja nespametna in škodljiva, katera pogrezajo ljudî v pogubljenje in pogin.
Sasa hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu, katika mtego. Huanguka katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya, na katika kitu chochote kinachowafanya watu wazame katika maangamizi na uharibifu.
10 Kajti vsega zlega korenina je lakomnost; njej vdani so nekateri zabredli od vere in prebodli se z mnogimi bolečinami.
Kwa kuwa kupenda fedha ni chanzo cha aina zote za uovu. Watu ambao hutamani hiyo, wamepotoshwa mbali na imani na wamejichoma wenyewe kwa huzuni nyingi.
11 Ti pa, o človek Božji, ogiblji se tega; hodi pa za pravico, pobožnostjo, vero, ljubeznijo, stanovitnostjo, krotkostjo.
Lakini wewe mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo. Fuata haki, utauwa, uaminifu, upendo, usitahimilivu, na upole.
12 Bij lepi boj vere; poprimi se večnega življenja, za katero si bil tudi poklican in si spoznal lepo spoznanje pred mnogimi pričami. (aiōnios )
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios )
13 Naročam ti pred Bogom, ki vse oživlja, in Kristusom Jezusom, kateri je pričal pred Poncijem Pilatom lepo spoznanje,
Nakupa amri hii mbele za Mungu, anayesababisha vitu vyote kuishi, na mbele ya Yesu Kristo, aliyenena iliyo kweli kwa Pontio Pilato:
14 Da hraniš zapoved brez madeža, brez napake, do prihoda Gospoda našega Jezusa Kristusa.
itunze amri kwa ukamilifu, pasipo mashaka, hadi ujio wa Bwana wetu Yesu Kristo.
15 Katerega bode o svojem času prikazal blaženi in edini vladar, kralj kraljujočih in gospodujočih gospod,
Mungu atadhihirisha ujio wake kwa wakati sahihi- Mungu, Mbarikiwa, nguvu pekee, Mfalme anayetawala, Bwana anayeongoza.
16 Kateri ima sam neumrjočnost, v svetlobi bivajoč ne dohodni; katerega ni videl ljudî nobeden, in tudi videti ne more; njemu čast in moč večna! Amen. (aiōnios )
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios )
17 Bogatinom na tem svetu naročaj, naj se ne prevzemajo; in naj ne zaupajo v bogastva negotovost, nego v Boga živega, kateri nam delí vsega obilo v uživanje; (aiōn )
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn )
18 Naj dobro delajo, bogati v dobrih delih, radodarni, podeljivi:
Waambie watende mema, watajirike katika kazi njema, wawe wakarimu, na utayari wa kutoa.
19 Naj si nabirajo zaklade v dobro podstavo za prihodnjost, da se poprimejo večnega življenja.
Katika njia hiyo watajiwekea msingi mzuri kwa mambo yajayo, ili kwamba waweze kushika maisha halisi.
20 O Timotej, brani zalogo ogibajoč se posvetnega govoričenja in nasprotij krivo imenovane znanosti,
Timotheo, linda kile ulichopewa. Jiepushe na majadiliano ya kipumbavu na mabishano yenye kujipinga ambayo kwa kwa uongo huitwamaarifa.
21 Katero spoznavajoč so nekateri izgrešili vero. Milost s teboj! Amen. Timoteju list prvi pisan iz Laodiceje, katera jo glavno mesto Frigije Pakacijane.
Baadhi ya watu huyatangaza mambo haya, na hivyo wameikosa imani. Neema na iwe pamoja nawe.