< Psalmi 1 >

1 Blagoslovljen je človek, ki ne hodi po nasvetu brezbožnih niti ne stoji na poti grešnikov niti ne poseda na sedežu posmehljivcev.
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 Temveč je njegovo veselje v Gospodovi postavi in o njegovi postavi premišljuje podnevi in ponoči.
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 On bo kakor drevo, posajeno ob rekah vodá, ki prinaša svoj sad ob svojem času. Prav tako njegovo listje ne bo ovenelo in karkoli dela, bo uspelo.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 Brezbožni niso takšni, temveč so kakor pleve, ki jih veter odnaša.
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Zato brezbožni ne bodo obstali na sodbi niti grešniki v skupnosti pravičnih.
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Kajti Gospod pozna pot pravičnih, toda pot brezbožnih bo izginila.
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.

< Psalmi 1 >