< Psalmi 109 >
1 Ne molči, oh Bog moje hvale,
Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
2 kajti usta zlobnih in usta varljivcev so odprta proti meni; zoper mene so govorili z lažnivim jezikom.
Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
3 Obkrožili so me tudi z besedami sovraštva in brez razloga so se borili zoper mene.
Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
4 Zaradi moje ljubezni so moji nasprotniki, toda sebe izročam molitvi.
Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
5 Nagradili so me [z] zlom za dobro in sovražijo me zaradi moje ljubezni.
Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
6 Nad njim postavi zlobnega človeka in naj Satan stoji na njegovi desnici.
Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
7 Ko bo sojen, naj bo obsojen in njegova molitev naj postane greh.
Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
8 Njegovih dni naj bo malo; in drug naj prevzame njegovo službo.
Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
9 Naj bodo njegovi otroci brez očeta in njegova žena vdova.
Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
10 Naj bodo njegovi otroci nenehno potepuhi in [naj] beračijo. Svoj kruh naj iščejo tudi izven svojih zapuščenih krajev.
Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
11 Naj izsiljevalec zgrabi vse, kar ima in tujci naj oplenijo njegov trud.
Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
12 Naj ne bo nikogar, da mu nakloni usmiljenje; niti naj ne bo nikogar, da podpre njegove osirotele otroke.
Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
13 Njegovo potomstvo naj bo iztrebljeno, in v naslednjem rodu naj bo njihovo ime izbrisano.
Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
14 Naj krivičnost njegovih očetov ne bo pozabljena pri Gospodu in greh njegove matere naj ne bo izbrisan.
Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
15 Naj bodo nenehno pred Gospodom, da bi spomin nanje lahko odrezal z zemlje.
Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
16 Zato ker se ni spomnil, da pokaže usmiljenje, temveč je preganjal ubogega in pomoči potrebnega moža, da mogoče celó ubije potrtega v srcu.
Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
17 Kakor je ljubil prekletstvo, tako naj le-to pride nadenj. Kakor se ni razveseljeval v blagoslavljanju, tako naj bo le-to daleč od njega.
Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
18 Kakor se je oblačil s prekletstvom, podobno kakor s svojo obleko, tako naj le-to pride v njegovo notranjost kakor voda in kakor olje v njegove kosti.
Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
19 Naj bo to kakor obleka, ki ga pokriva in namesto pasu, s katerim je nenehno opasan.
Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
20 Naj bo to nagrada mojim nasprotnikom od Gospoda in tistim, ki govorijo zlo zoper mojo dušo.
Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
21 Toda ti delaj zame, oh Bog, Gospod, zaradi svojega imena; osvobodi me, ker je tvoje usmiljenje dobro.
Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
22 Kajti jaz sem ubog in pomoči potreben in moje srce je ranjeno znotraj mene.
Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
23 Odhajal sem kakor senca, ko se ta zmanjšuje; kakor leteča kobilica sem premetavan sem ter tja.
Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
24 Moja kolena so šibka zaradi posta in mojemu mesu manjka mastnosti.
Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
25 Postal sem jim tudi graja; ko so pogledali name, so stresali svoje glave.
Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
26 Pomagaj mi, oh Gospod, moj Bog, oh reši me glede na svoje usmiljenje,
Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
27 da bodo lahko vedeli, da je to tvoja roka, da si ti, Gospod, to storil.
Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
28 Naj preklinjajo, toda ti blagoslavljaj. Ko vstanejo, naj bodo osramočeni, toda tvoj služabnik naj se veseli.
Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
29 Naj bodo moji nasprotniki oblečeni s sramoto in naj se kakor z ogrinjalom pokrijejo s svojo lastno zmedenostjo.
Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
30 S svojimi usti bom silno hvalil Gospoda; da, hvalil ga bom med množico.
Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
31 Kajti stal bo ob desnici ubogega, da ga reši pred tistimi, ki obsojajo njegovo dušo.
Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.