< Psalmi 10 >

1 Zakaj stojiš daleč stran, oh Gospod? Zakaj se skrivaš v časih stiske?
Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
2 Zlobni v svojem ponosu preganjajo revnega. Naj se ujamejo v naklepe, ki so si jih domislili.
Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
3 Kajti zlobni se baha z željo svojega srca in blagoslavlja pohlepnega, ki ga Gospod prezira.
Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
4 Zlobni zaradi ponosa svojega obličja ne bo povpraševal po Bogu. V vseh njegovih mislih ni Boga.
Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
5 Njegove poti so vedno boleče, tvoje sodbe so daleč zgoraj izven njegovega pogleda. Glede na vse njegove sovražnike on puha nanje.
Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
6 V svojem srcu je rekel: »Ne bom omajan, kajti nikoli ne bom v nadlogi.«
Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
7 Njegova usta so polna preklinjanj, prevare in sleparstva. Pod njegovim jezikom je vragolija in prazne reči.
Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
8 Sedi v skrivališčih vasi. Na skrivnih krajih mori nedolžnega. Njegove oči so na skrivaj naravnane zoper revnega.
Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
9 Na skrivnem preži kakor lev v svojem brlogu. Leži na preži, da ujame revnega. Revnega ujame, ko ga vleče v svojo mrežo.
Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
10 Klečeplazi in se ponižuje, da lahko revni pade po njegovih močnih.
Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
11 V svojem srcu je rekel: »Bog je pozabil. Skriva svoj obraz, tega nikoli ne bo videl.«
Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
12 Vstani, oh Gospod, oh Bog, dvigni svojo roko. Ne pozabi ponižnega.
Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
13 Zakaj zlobni zaničuje Boga? V svojem srcu je rekel: »Ti tega ne boš zahteval.«
Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
14 To si videl, kajti gledaš vragolijo in zlobnost, da to poplačaš s svojo roko. Revni se ti izroča, pomočnik si osirotelemu.
Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
15 Zlomi laket zlobnemu in zlemu človeku. Preiskuj njegovo zlobnost, dokler je ne najdeš več.
vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
16 Gospod je Kralj na veke vekov. Pogani so izginili iz njegove dežele.
Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
17 Gospod, slišal si hrepenenje ponižnih. Pripravil boš njihovo srce, svojemu ušesu boš povzročil, da sliši,
Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
18 da razsodiš osirotelega in zatiranega, da človek iz zemlje ne more več zatirati.
Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.

< Psalmi 10 >