< Filipljanom 4 >

1 Zato, moji bratje, srčno ljubljeni in zaželeni, moja radost in krona, tako stojte trdno v Gospodu, moji srčno ljubljeni.
Kwa hiyo, ndugu zangu, ninaowapenda na ambao ninawaonea shauku, ninyi mlio furaha yangu na taji yangu, hivi ndivyo iwapasavyo kusimama imara katika Bwana, ninyi wapenzi wangu.
2 Rotim Evodíjo in rotim Sintího, da bosta istega mišljenja v Gospodu.
Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana.
3 In prosim tudi tebe, resnični soborec, pomagaj tema ženskama, ki sta se z menoj trudili v evangeliju; tudi s Klemnom in z drugimi mojimi sodelavci, katerih imena so v knjigi življenja.
Naam, nakusihi wewe pia, mwenzangu mwaminifu, uwasaidie hawa wanawake, kwa sababu walijitaabisha katika kazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega, wakiwa pamoja na Klementi na watendakazi wenzangu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
4 Nenehno se veselite v Gospodu. In ponovno pravim: ›Veselite se.‹
Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini!
5 Naj bo vaša zmernost znana vsem ljudem. Gospod je blizu.
Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.
6 Ne vznemirjate se in ne skrbite glede ničesar, temveč naj bodo v vsaki stvari vaše želje razglašene Bogu z molitvijo in ponižno prošnjo, z zahvaljevanjem.
Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
7 In Božji mir, ki presega vse razumevanje, bo varoval vaša srca in mišljenja po Kristusu Jezusu.
Nayo amani ya Mungu, inayopita fahamu zote, itailinda mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
8 Končno, bratje, katerekoli stvari so resnične, katerekoli stvari so iskrene, katerekoli stvari so pravične, katerekoli stvari so čiste, katerekoli stvari so očarljive, katerekoli stvari so na dobrem glasu; če obstaja kakršnakoli moč in če obstaja kakršnakoli hvala, mislite na te stvari.
Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo na sifa njema, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote ya kupendeza, yoyote yenye staha, ukiwepo uzuri wowote, pakiwepo chochote kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo.
9 Stvari, ki ste se jih tako naučili, kakor sprejeli in slišali ter videli na meni, te izvršujte; in z vami bo Bog miru.
Mambo yote mliyojifunza au kuyapokea au kuyasikia kutoka kwangu, au kuyaona kwangu, yatendeni hayo. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.
10 Toda silno sem se razveselil v Gospodu, da je vaša skrbnost do mene sedaj končno ponovno vzcvetela; v čemer ste tudi bili skrbni, toda manjkala vam je priložnost.
Nina furaha kubwa katika Bwana kwamba hatimaye mmeanza upya kushughulika tena na maisha yangu. Kweli mmekuwa mkinifikiria lakini mlikuwa hamjapata nafasi ya kufanya hivyo.
11 Ne da govorim glede na pomanjkanje, kajti naučil sem se, v kakršnemkoli stanju sem, biti s tem zadovoljen.
Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.
12 Vem oboje, kako je biti ponižen in vem, kako je biti bogat; povsod in v vseh stvareh sem poučen, tako biti sit kakor biti lačen, tako biti bogat kakor prenašati pomanjkanje.
Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa.
13 Vse stvari lahko storim v Kristusu, ki me krepi.
Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
14 Vendar ste dobro storili, da ste soudeleženi pri moji stiski.
Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.
15 Torej vi Filipljani veste tudi, da na začetku evangelija, ko sem odšel iz Makedonije, nobena cerkev ni sodelovala z menoj glede dajanja in sprejemanja, razen vas samih.
Zaidi ya hayo, ninyi Wafilipi mnajua kwamba siku za kwanza nilipoanza kuhubiri Injili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshiriki nami katika masuala ya kutoa na kupokea isipokuwa ninyi.
16 Kajti celó v Tesaloníko ste večkrat poslali za mojo nujno potrebo.
Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja.
17 Ne, ker [bi si] želel daru, temveč si želim sad, da bo obilen na vaš račun.
Si kwamba natafuta sana yale matoleo, bali natafuta sana ile faida itakayozidi sana kwa upande wenu.
18 Toda imam vse in obilo; sem poln, ker sem od Epafrodita prejel stvari, ki so bile poslane od vas, dišavo sladkega vonja, sprejemljivo žrtvovanje, všečno Bogu.
Nimelipwa kikamilifu hata na zaidi; nimetoshelezwa kabisa sasa, kwa kuwa nimepokea kutoka kwa Epafrodito vile vitu mlivyonitumia, sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na ya kumpendeza Mungu.
19 Toda moj Bog bo preskrbel vse vaše potrebe, glede na svoja bogastva, v slavi, po Jezusu Kristusu.
Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.
20 Torej Bogu in našemu Očetu bodi slava na veke vekov. Amen. (aiōn g165)
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
21 Pozdravite vsakega svetega v Kristusu Jezusu. Pozdravljajo vas bratje, ki so z menoj.
Msalimuni kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walioko pamoja nami wanawasalimu.
22 Pozdravljajo vas vsi sveti, predvsem tisti, ki so iz cesarjeve družine.
Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wale watu wa nyumbani mwa Kaisari.
23 Milost našega Gospoda Jezusa Kristusa bodi z vami vsemi. Amen. [To je bilo napisano Filipljanom iz Rima po Epafroditu.]
Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

< Filipljanom 4 >