< 4 Mojzes 13 >

1 Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
2 »Pošlji može, da bodo lahko preiskali kánaansko deželo, ki jo dajem Izraelovim otrokom. Iz vsakega rodu njihovih očetov boste poslali človeka, vsakega, ki je voditelj med njimi.«
Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
3 Mojzes jih je po Gospodovi zapovedi poslal iz Paránske divjine; vsi tisti možje so bili poglavarji Izraelovih otrok.
Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
4 To so bila njihova imena: iz Rubenovega rodu Zahúrjev sin Šamúa,
Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5 iz Simeonovega rodu Horíjev sin Šafát,
Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6 iz Judovega rodu Jefunéjev sin Kaléb,
Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7 iz Isahárjevega rodu Jožefov sin Jigál,
Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
8 iz Efrájimovega rodu Nunov sin Hošéa,
Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9 iz Benjaminovega rodu Rafújev sin Paltí,
Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
10 iz Zábulonovega rodu Sodijev sin Gadiél,
kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
11 iz Jožefovega rodu, namreč iz Manásejevega rodu Susíjev sin Gadí,
kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
12 iz Danovega rodu Gemalíjev sin Amiél,
kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
13 iz Aserjevega rodu Mihaelov sin Setúr,
kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
14 iz Neftálijevega rodu Vofsíjev sin Nahbí,
kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
15 iz Gadovega rodu Mahíjev sin Geuél,
kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
16 To so imena mož, ki jih je Mojzes poslal, da ogledajo deželo. Mojzes je Nunovega sina Hošéa imenoval Ješua.
Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
17 Mojzes jih je poslal, da ogledajo kánaansko deželo in jim rekel: »Pojdite gor po tej poti proti jugu in pojdite gor na goro.
Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
18 Oglejte si deželo, kakšna je in ljudstvo, ki prebiva v njej, če so močni ali šibki, maloštevilni ali številni,
Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
19 in kakšna je dežela, ki v njej prebivajo, bodisi je ta dobra ali slaba, in kakšna mesta so, ki v njih prebivajo, ali so v šotorih ali v oporiščih,
Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
20 in kakšna je dežela, ali je ta obilna ali revna, ali je tam les ali ne. In bodite odločnega poguma in prinesite sad dežele.« Torej bil je čas prvih sadov grozdja.
Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
21 Tako so odšli gor in preiskali deželo od Cinske divjine do Rehóba, kakor ljudje pridejo do Hamáta.
Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
22 Povzpeli so se pri jugu in prišli do Hebróna, kjer so bili Ahimán, Šešáj in Talmáj, Anákovi otroci. (Torej Hebrón je bil zgrajen sedem let pred Coanom v Egiptu.)
Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
23 Prišli so k Eškólskemu potoku in od tam odrezali vejo z enim šopom grozdja in nosili so jo med dvema na palici in prinesli so od granatovcev in od fig.
Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
24 Kraj je bil imenovan potok Eškól zaradi šopa grozdja, ki so ga Izraelovi otroci odrezali od tam.
Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
25 In po štiridesetih dneh so se vrnili iz preiskovanja dežele.
Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
26 Šli so in prišli k Mojzesu in Aronu in k vsej skupnosti Izraelovih otrok v Paránsko divjino, do Kadeša in jima nazaj prinesli besedo in vsej skupnosti in jim pokazali sad dežele.
Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
27 Povedali so mu in rekli: »Prišli smo do dežele, kamor nas pošiljaš in ta zagotovo teče z mlekom in medom, in to je njen sad.
Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
28 Vendar je ljudstvo, ki prebiva v deželi močno in mesta so obzidana in zelo velika in poleg tega smo tam videli Anákove otroke.
Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
29 Amalečani prebivajo v južni deželi; Hetejci, Jebusejci in Amoréjci prebivajo v gorah, Kánaanci pa prebivajo poleg morja in ob jordanski pokrajini.«
Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
30 Kaléb je ljudstvo pomiril pred Mojzesom in rekel: »Brž pojdimo gor in jo zavzemimo, kajti zelo smo sposobni, da jo premagamo.«
Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
31 Toda možje, ki so odšli z njim, so rekli: »Mi nismo zmožni oditi gor zoper ljudstvo, kajti oni so močnejši od nas.«
Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
32 Izraelovim otrokom so prinesli zlo poročilo o deželi, ki so jo preiskali, rekoč: »Dežela, skozi katero smo šli, da jo preiščemo, je dežela, ki požira svoje prebivalce. Vse ljudstvo, ki smo ga videli v njej, so možje velike postave.
Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
33 Tam smo videli velikane, Anákove sinove, ki so izšli iz velikanov in v svojih očeh smo bili kakor kobilice in takšni smo bili v njihovem pogledu.«
Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”

< 4 Mojzes 13 >