< Nehemija 1 >

1 Besede Nehemija, Hahaljájevega sina. Pripetilo se je v mesecu kislévu, v dvajsetem letu, medtem ko sem bil v palači Suze,
Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia Ikawa, katika mwezi wa Kisleu, katika mwaka wa ishirini, nilikuwa katika mji mkuu wa Sushani,
2 da je prišel Hananí, eden izmed mojih bratov, on in nekateri možje iz Juda. Vprašal sem jih glede Judov, ki so pobegnili, ki so preostali od ujetništva in glede Jeruzalema.
mmoja wa ndugu zangu, Hanani, alikuja pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza kuhusu Wayahudi waliopona, Wayahudi waliosalia waliokuwa huko, na kuhusu Yerusalemu.
3 Rekli so mi: »Ostanek, ki je ostal od ujetništva, tam v provinci, je v veliki stiski in graji. Prav tako je porušeno jeruzalemsko obzidje in njegova velika vrata so požgana z ognjem.«
Wakaniambia, “Wale waliokuwa katika mkoa ule waliookoka katika kifungo wapo katika shida kubwa na aibu kwa sababu ukuta wa Yerusalemu umebomolewa na milango yake imeteketezwa kwa moto.”
4 In pripetilo se je, ko sem slišal te besede, da sem se usedel, jokal in žaloval določene dni in se postil ter molil pred Bogom nebes
Na mara tu niliposikia maneno haya, nikakaa na kulia, na kwa siku niliendelea kuomboleza na kufunga na kuomba mbele ya Mungu wa mbinguni.
5 in rekel: »Rotim te, oh Gospod Bog nebes, veliki in strašni Bog, ki ohranja zavezo in usmiljenje za tiste, ki ga ljubijo in obeležujejo njegove zapovedi.
Ndipo nikasema, “Wewe ndiwe Bwana, Mungu wa mbinguni, Mungu uliye mkuu na kushangaza, unayetimiza agano na upendo wa kudumu pamoja na wale wanaokupenda na kushika amri zake.
6 Naj bo tvoje uho sedaj pozorno in tvoje oči odprte, da boš lahko slišal molitev svojega služabnika, ki jo sedaj molim pred teboj podnevi in ponoči zaradi tvojih služabnikov, Izraelovih otrok in priznavam grehe Izraelovih otrok, ki smo jih zagrešili zoper tebe. Tako jaz, kakor hiša mojega očeta smo grešili.
Sikiliza maombi yangu na fungua macho yako, ili uisikie sala ya mtumishi wako kwamba sasa nasali mbele yako mchana na usiku kwa ajili ya watu wa Israeli watumishi wako. Mimi ninakiri dhambi za watu wa Israeli, ambazo tumefanya dhidi yako. Wote mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.
7 Zoper tebe smo postopali zelo izprijeno in se nismo držali zapovedi niti zakonov niti sodb, ki si jih zapovedal svojemu služabniku Mojzesu.
Tumefanya uovu sana juu yako, na hatukuzingatia amri, sheria, na hukumu ambazo ulimwamuru mtumishi wako Musa.
8 Spomni se, rotim te, besede, ki jo zapoveduješ svojemu služabniku Mojzesu, rekoč: › Če grešite, vas bom razkropil na tuje, med narode.
Tafadhali kumbuka neno ulilomuamuru mtumishi wako Musa, 'mkitenda pasipo uaminifu, nitawatawanya kati ya mataifa,
9 Toda če se obrnete k meni in se držite mojih zapovedi in jih izpolnjujete, čeprav bi bili izmed vas vrženi v najbolj oddaljen del neba, jih bom vendar zbral od tam in jih privedel na kraj, ki sem ga izbral, da tam postavim svoje ime.‹
lakini mkirudi kwangu na kufuata amri zangu na kuzifanya, ingawa watu wako walienea chini ya mbingu za mbali, Nami nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali pale nilipopachagua ili kulifanya jina langu.'
10 Torej ti so tvoji služabniki in tvoje ljudstvo, ki si jih odkupil s svojo veliko oblastjo in s svojo močno roko.
Sasa wao ni watumishi wako na watu wako, ambao uliwaokoa kwa nguvu yako kubwa na kwa mkono wako wenye nguvu.
11 Oh Gospod, rotim te, naj bo sedaj tvoje uho pozorno k molitvi tvojega služabnika in k molitvi tvojih služabnikov, ki se želijo bati tvojega imena. Prosim te, naredi svojega služabnika ta dan uspešnega in zagotovi mu usmiljenje pred očmi tega človeka.« Kajti bil sem kraljevi dvorni točaj.
Bwana, naomba, sikiliza sasa maombi ya watumishi wako na sala ya watumishi wako ambao hufurahia kuheshimu jina lako. Sasa unifanikishe mimi mtumishi wako leo, na unijalie rehema mbele ya mtu huyu.” Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.

< Nehemija 1 >