< Nehemija 11 >
1 Voditelji ljudstva so prebivali pri Jeruzalemu. Ostali ljudje pa so prav tako metali žrebe, da privedejo enega izmed desetih, da prebiva v Jeruzalemu, svetemu mestu in devet delov, da prebivajo v drugih mestih.
Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.
2 Ljudstvo je blagoslovilo vse može, ki so se voljno ponudili, da prebivajo v Jeruzalemu.
Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.
3 Torej ti so vodje province, ki so prebivali v Jeruzalemu. Toda v judejskih mestih je vsak prebival na svoji posesti v svojih mestih, namreč Izrael, duhovniki, Lévijevci, Netinimci in otroci Salomonovih služabnikov.
Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu, na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,
4 V Jeruzalemu so prebivali nekateri izmed Judovih otrok in izmed Benjaminovih otrok. Izmed Judovih otrok: Atajá, sin Uzíjaha, sinú Zeharjá, sinú Amarjá, sinú Šefatjá, sinú Mahalaléla, izmed Perecovih otrok
ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu). Kutoka wazao wa Yuda: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
5 in Maasejája, sin Baruha, sinú Kolhozéja, sinú Hazajája, sinú Adajája, sinú Jojaríba, sinú Zeharjá, sinú Šilčana.
Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.
6 Vseh Perecovih sinov, ki so prebivali v Jeruzalemu, je bilo štiristo oseminšestdeset hrabrih mož.
Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.
7 To so Benjaminovi sinovi: Salú, sin Mešuláma, sinú Joéda, sinú Pedajá, sinú Kolajája, sinú Maasejája, sinú Itiéla, sinú Ješajája.
Kutoka wazao wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya
8 In za njim Gabáj, Saláj, devetsto osemindvajset.
na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
9 Zihríjev sin Joél je bil njihov nadzornik, Senuájev sin Juda pa je bil drugi nad mestom.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.
10 Od duhovnikov: Jojaríbov sin Jedajá, Jahín.
Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Serajá, sin Hilkijája, sinú Mešuláma, sinú Cadóka, sinú Merajóta, sinú Ahitúba, je bil poveljnik Božje hiše.
Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,
12 Njihovih bratov, ki so opravljali delo hiše, je bilo osemsto dvaindvajset. Adajá, sin Jeroháma, sinú Pelaljája, sinú Amcíja, sinú Zeharjá, sinú Pašhúrja, Malkijájevega sina
pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,
13 in njegovi bratje, vodje očetov, dvesto dvainštirideset. Amašsáj, sin Azaréla, sinú Ahzája, sinú Mešilemóta, sinú Imêrja
na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
14 in njihovi bratje, močni junaški možje, sto osemindvajset. Njihov nadzornik je bil Zabdiél, sin enega izmed velikih mož.
na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
15 Tudi izmed Lévijevcev: Šemajá, sin Hašúba, sinú Azrikáma, sinú Hašabjája, sinú Buníja.
Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
16 Šabetáj ter Jozabád izmed vodij Lévijevcev sta imela nadzor nad zunanjim poslom Božje hiše.
Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
17 Matanjá, sin Miha, sinú Zabdíja, sinú Asáfa, je bil glavni, da prične zahvaljevanje v molitvi. Bakbukjá, drugi med njegovimi brati in Abdá, sin Šamúaja, sinú Galála, sinú Jedutúna.
Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 Vseh Lévijevcev v svetem mestu je bilo dvesto štiriinosemdeset.
Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
19 Poleg tega vratarji: Akúb, Talmón in njuni bratje, ki so varovali velika vrata, jih je bilo sto dvainsedemdeset.
Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
20 Preostanek Izraela, od duhovnikov in Lévijevcev, je bil v vseh Judovih mestih, vsak v svoji dediščini.
Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.
21 Toda Netinimci so prebivali v Ofelu. Cihá in Gišpá pa sta bila nad Netinimci.
Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.
22 Nadzornik Lévijevcev v Jeruzalemu je bil tudi Uzí, sin Baníja, sinú Hašabjája, sinú Matanjája, sinú Miha. Izmed Asáfovih sinov so bili pevci nad poslom Božje hiše.
Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.
23 Kajti to je bila kraljeva zapoved glede njih, da naj bo določen delež za pevce, kar jim je pripadalo za vsak dan.
Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.
24 Petahjá, sin Mešezabéla, izmed otrok Judovega sina Zeraha je bil pri kraljevi roki v vseh zadevah glede ljudstva.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.
25 Glede vasi, z njihovimi polji, so nekateri izmed Judovih otrok prebivali pri Kirját Arbi in v njenih vaseh, pri Dibónu in v njegovih vaseh, pri Kabceélu in v njegovih vaseh,
Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,
26 pri Ješúi, pri Moládi, pri Bet Peletu,
katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,
27 pri Hacár Šuál in pri Beeršébi in v njenih vaseh,
katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,
28 pri Ciklágu, pri Mehóni in v njegovih vaseh,
katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,
29 pri En Rimónu, pri Cori, pri Jarmútu,
katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,
30 Zanóahu, Adulámu in v njihovih vaseh, pri Lahíšu in njegovih poljih, pri Azéki in v njenih vaseh. In prebivali so od Beeršébe, do doline Hinóm.
Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.
31 Tudi otroci Benjamina iz Gebe so prebivali pri Mihmášu, Aji, Betelu in v njihovih vaseh
Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
32 in pri Anatótu, Nobu, Ananjáju,
katika Anathothi, Nobu na Anania,
33 Hacórju, Rami, Gitájimu,
katika Hazori, Rama na Gitaimu,
34 Hadídu, Cebojímu, Nebalátu,
katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
35 Lodu in Onóju, dolini rokodelcev.
katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
36 Izmed Lévijevcev so bili oddelki v Judu in v Benjaminu.
Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.