< Matej 20 >

1 »Kajti nebeško kraljestvo je podobno človeku, ki je hišni gospodar in je zgodaj zjutraj odšel ven, da najame delavce v svoj vinograd.
“Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake.
2 In ko se je z delavci dogovoril za en kovanec na dan, jih je poslal v svoj vinograd.
Akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.
3 In odšel je ven okoli tretje ure in videl druge stati brez dela na trgu
Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.
4 in jim rekel: ›Pojdite tudi vi v vinograd in karkoli je prav, vam bom dal.‹ In odšli so svojo pot.
Akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.
5 Ponovno je odšel ven okoli šeste ure in devete ure in storil prav tako.
Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.
6 In okoli enajste ure je odšel ven in našel druge stati brez dela in jim reče: ›Zakaj stojite tukaj ves dan brez dela?‹
Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
7 Rekli so mu: ›Ker nas nihče ni najel.‹ Reče jim: ›Pojdite tudi vi v vinograd; in karkoli je prav, to boste prejeli.‹
Wakamjibu: Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Yeye akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu.
8 Ko je torej prišel večer, gospodar vinograda reče svojemu oskrbniku: ›Pokliči delavce in jim daj njihovo plačilo ter začni od zadnjih do prvih.‹
“Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza hazina wake, Waite wafanyakazi ukawalipe mshahara wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho, na kumalizia na wale wa kwanza.
9 In ko so prišli tisti, ki so bili najeti okoli enajste ure, so prejeli vsak [po] en kovanec.
Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja dinari moja.
10 Toda ko so prišli prvi, so domnevali, da bi morali prejeti več; pa so prav tako prejeli vsak [po] en kovanec.
Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.
11 In ko so to prejeli, so godrnjali zoper hišnega očeta,
Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.
12 rekoč: ›Ti zadnji so delali samo eno uro in si jih naredil enake nam, ki smo prenašali breme in vročino dneva.‹
Wakasema, Watu hawa walioajiriwa mwisho walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia kazi ngumu kutwa na jua kali?
13 Toda enemu izmed njih je odgovoril in rekel: ›Prijatelj, ne delam ti nobene krivice; ali se nisi z menoj dogovoril za en kovanec?‹
“Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa denari moja?
14 Vzemi to, kar je tvoje in pojdi svojo pot. Temu zadnjemu bom dal enako kakor tebi.
Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.
15 Ali mi ni dovoljeno, da s svojo lastnino storim kar hočem? Ali je tvoje oko hudobno, ker sem jaz dober?‹
Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?”
16 Tako bodo zadnji prvi in prvi zadnji, kajti veliko je poklicanih, toda malo izbranih.«
Yesu akamaliza kwa kusema, “Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho.”
17 In ko je šel gor v Jeruzalem, je Jezus na poti vzel dvanajst učencev na stran ter jim rekel:
Yesu alipokuwa anakwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,
18 »Glejte, mi gremo gor v Jeruzalem in Sin človekov bo izdan visokim duhovnikom in pisarjem in obsodili ga bodo na smrt
“Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe.
19 in izročili ga bodo poganom v zasmeh in bičanje in da ga križajo in tretji dan bo ponovno vstal.«
Watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa.”
20 Tedaj je prišla k njemu mati Zebedejevih otrok s svojima sinovoma, ga oboževala in od njega želela neko stvar.
Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.
21 In rekel ji je: »Kaj želiš?« Ona mu reče: »Zagotovi, da bosta lahko ta dva moja sinova, v tvojem kraljestvu, sedela eden na tvoji desni roki, drugi pa na levi.«
Yesu akamwuliza, “Unataka nini?” Huyo mama akamwambia, “Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa wanangu wawili watakaa mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto.”
22 Toda Jezus je odgovoril in rekel: »Ne veste, kaj prosite. Ali zmoreta piti iz čaše, iz katere bom jaz pil in biti krščena s krstom, s katerim sem jaz krščen?« Rekla sta mu: »Midva zmoreva.«
Yesu akajibu, “Hamjui mnaomba nini. Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa mimi?” Wakamjibu, “Tunaweza.”
23 In jima reče: »Zares bosta pila iz moje čaše in krščena bosta s krstom, s katerim sem jaz krščen. Toda sedeti na moji desni roki in na moji levi, ni moje da dam, temveč bo dano tem, za katere je to pripravljeno od mojega Očeta.«
Yesu akawaambia, “Kweli mtakunywa kikombe changu, lakini kuketi kulia au kushoto kwangu si kazi yangu kupanga; jambo hilo watapewa wale waliowekewa tayari na Baba yangu.”
24 Ko so deseteri to slišali, so bili prevzeti z ogorčenjem zoper ta dva brata.
Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.
25 Toda Jezus jih je poklical k sebi in rekel: »Vi veste, da princi poganov izvajajo gospostvo nad njimi in oni, ki so veliki, izvajajo oblast nad njimi.
Hivyo Yesu akawaita, akawaambia, “Mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala watu wao kwa mabavu na wakuu hao huwamiliki watu wao.
26 Toda med vami naj ne bo tako, temveč kdorkoli hoče biti med vami velik, naj bo vaš sluga,
Lakini kwenu isiwe hivyo, ila yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote;
27 in kdorkoli hoče biti med vami vodja, naj bo vaš služabnik;
na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.
28 prav tako tudi Sin človekov ni prišel, da bi mu služili, temveč da služi in da svoje življenje dá v odkupnino za mnoge.«
Jinsi hiyohiyo, Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi.”
29 In ko so odšli iz Jerihe, mu je sledila velika množica.
Yesu alipokuwa anaondoka mjini Yeriko, umati wa watu ulimfuata.
30 In glej, dva slepa človeka sta sedela ob poti. Ko sta zaslišala, da je šel mimo Jezus, sta zakričala, rekoč: »Usmili se naju, oh Gospod, ti Davidov Sin.«
Basi, kulikuwa na vipofu wawili wameketi kando ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaaza sauti: “Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!”
31 Množica pa ju je oštela, ker bi morala molčati. Toda onadva sta še bolj vpila, rekoč: »Usmili se naju, oh Gospod, ti Davidov Sin.«
Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaaza sauti: “Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!”
32 In Jezus se je ustavil in ju poklical ter rekel: »Kaj želita, da vama storim?«
Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
33 Rekla sta mu: »Gospod, da bi se najine oči lahko odprle.«
Wakamjibu, “Mheshimiwa, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.”
34 Jezus je imel torej do njiju sočutje in se dotaknil njunih oči. In njune oči so takoj prejele vid in sta mu sledila.
Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

< Matej 20 >