< Malahija 1 >
1 Breme Gospodove besede Izraelu, po Malahiju.
Ujumbe: Neno la Bwana kwa Israeli kupitia kwa Malaki.
2 »Ljubil sem vas, « govori Gospod. Vendar pravite: »V čem si nas ljubil?« » Mar ni bil Ezav Jakobov brat?« govori Gospod, »vendar sem ljubil Jakoba,
Bwana asema, “Nimewapenda ninyi.” “Lakini ninyi mnauliza, ‘Wewe umetupendaje?’” Bwana asema, “Je, Esau hakuwa ndugu yake Yakobo? Hata hivyo nimempenda Yakobo,
3 Ezava pa sovražil ter opustošil njegove gore in njegovo dediščino za zmaje divjine.«
lakini nikamchukia Esau, nami nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa jangwani.”
4 Kakor govori Edóm: »Obubožani smo, toda vrnili se bomo in pozidali zapuščene kraje, « tako govori Gospod nad bojevniki: »Gradili bodo, toda jaz bom rušil. Imenovali jih bodo: ›Meja zlobnosti‹ in ›Ljudstvo, zoper katero ima Gospod ogorčenje na veke.‹«
Edomu anaweza kusema, “Ingawa tumepondapondwa, tutajenga upya magofu.” Lakini hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Wanaweza kujenga, lakini nitabomoa. Wataitwa Nchi Ovu, watu ambao siku zote wapo chini ya ghadhabu ya Bwana.
5 Vaše oči bodo videle in rekli boste: » Gospod bo poveličan prek Izraelove meje.«
Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘Bwana ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’
6 »Sin časti svojega očeta in služabnik svojega gospodarja. Če sem jaz potem oče, kje je moja čast? In če sem jaz gospodar, kje je moj strah?« govori Gospod nad bojevniki, »vam, oh duhovniki, ki prezirate moje ime. Vi pa pravite: ›V čem smo prezirali tvoje ime?‹
“Mwana humheshimu baba yake, naye mtumishi humheshimu bwana wake. Kama mimi ni baba, iko wapi heshima ninayostahili? Kama mimi ni bwana, iko wapi heshima ninayostahili?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Ni ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau Jina langu. “Lakini mnauliza, ‘Tumelidharau Jina lako kwa namna gani?’
7 Na mojem oltarju ste darovali oskrunjen kruh, vi pa pravite: ›V čem smo te oskrunili?‹ V tem, da pravite: › Gospodova miza je zaničevanja vredna.‹
“Mnatoa sadaka chakula kilichotiwa unajisi juu ya madhabahu yangu. “Lakini ninyi mnauliza, ‘Tumekutia unajisi kwa namna gani?’ “Kwa kusema kuwa meza ya Bwana ni ya kudharauliwa.
8 In če darujete slepo za žrtev, mar ni to zlo? In če darujete hromo in bolno, mar ni to zlo? Daruj to sedaj svojemu voditelju; ali bo zadovoljen s teboj, ali sprejme tvojo osebo?« govori Gospod nad bojevniki.
Wakati mletapo dhabihu za wanyama walio vipofu, je, hilo si kosa? Mnapoleta dhabihu zilizo vilema au wanyama wagonjwa, je, hilo si kosa? Jaribuni kuvitoa kwa mtawala wenu! Je, angefurahishwa nanyi? Je, atawakubalia?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
9 »In sedaj vas prosim, rotite Boga, da nam bo milostljiv. To je bilo z vašimi sredstvi. Mar bo cenil vaše osebe?« govori Gospod nad bojevniki.
“Basi mwombeni Mungu awe na neema kwetu. Je, kwa sadaka kama hizo kutoka mikononi mwenu, atawapokea?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
10 »Kdo je tam, celo med vami, da bi zaman zaprl vrata? Niti na mojem oltarju ognja ne netite zaman. Nobenega zadovoljstva nimam z vami, « govori Gospod nad bojevniki, »niti ne bom sprejel daritve iz vaše roke.
“Laiti mmoja wenu angalifunga milango ya Hekalu, ili msije mkawasha moto usiokuwa na faida juu ya madhabahu yangu! Sina furaha nanyi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “nami sitaikubali sadaka toka mikononi mwenu.
11 Kajti od sončnega vzhoda, celo do zahajanja istega bo moje ime veliko med pogani in na vsakem kraju bo mojemu imenu darovano kadilo in čista daritev, kajti moje ime bo veliko med pogani, « govori Gospod nad bojevniki.
Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa, kuanzia mawio ya jua hata machweo yake. Kila mahali uvumba na sadaka safi zitaletwa kwa Jina langu, kwa sababu Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
12 »Toda vi ste to oskrunili v tem, ko pravite: › Gospodova miza je oskrunjena; in njen sad, celó njegova jed, je zaničevanja vredna.‹
“Lakini mnalinajisi Jina langu kwa kusema kuhusu meza ya Bwana, ‘Imetiwa unajisi pamoja na chakula chake. Ni ya kudharauliwa.’
13 Pravite tudi: ›Glej, kakšna težava je to!‹ In vi ste nad tem vihali nos, « govori Gospod nad bojevniki, »in privedli to, kar je bilo raztrgano in hromo in bolno. Tako daritev ste privedli. Mar naj bi to sprejel iz vaše roke?« govori Gospod.
Nanyi mnasema, ‘Mzigo gani huu!’ Nanyi mnaidharau kwa kiburi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwa nguvu, walio vilema au walio wagonjwa na kuwatoa kama dhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?” asema Bwana.
14 Toda preklet bodi slepar, ki ima v svojem tropu samca, pa prisega in žrtvuje Gospodu pokvarjeno stvar, kajti jaz sem velik Kralj, « govori Gospod nad bojevniki, »in moje ime je grozno med pogani.«
“Amelaaniwa yeye adanganyaye, aliye na mnyama wa kiume anayekubalika katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa, lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na dosari kwa Bwana. Kwa kuwa mimi ni Mfalme Mkuu, nalo Jina langu linapaswa kuogopwa miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.