< Žalostinke 1 >

1 Kako mesto sedi osamljeno, ki je bilo polno ljudstva! Kako je ona postala kakor vdova! Ona, ki je bila velika med narodi in princesa med provincami, kako je postala podvržena davku!
Mji ambao mwanzo ulikuwa na watu wengi sasa umekaa peke yake. Amekuwa kama mjane, japo alikuwa taifa kubwa. Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa, lakini sasa amelazimishwa utumwani.
2 Bridko joka ponoči in njene solze so na njenih licih. Med vsemi svojimi ljubimci nima nikogar, da jo potolaži. Vsi njeni prijatelji so zahrbtno postopali z njo, postali so njeni sovražniki.
Analia na kuomboleza usiku, na machozi yake yanafunika mashavu yake. Hamna ata mpenzi wake anaye mliwaza. Marafiki wake wote wamemsaliti. wamekuwa maadui wake.
3 Juda je odšel v ujetništvo zaradi stiske in zaradi velikega hlapčevstva. Prebiva med pogani, ne najde nobenega počitka. Vsi njegovi preganjalci so ga dohiteli med ožinami.
Baada ya umaskini na mateso, Yuda ameenda matekani. Anaishi miongoni mwa mataifa na hapati pumziko lolote. Wanao wakimbiza wamewapata katika upweke wake.
4 Poti [na] Sion žalujejo, ker ni nihče prišel k slovesnim praznikom. Vsa njena velika vrata so zapuščena. Njeni duhovniki vzdihujejo, njene device so užaloščene in sama je v grenkobi.
Barabara za Sayuni zinaomboleza kwasababu hakuna anaye kuja kwenye sherehe iliyo andaliwa. Malango yake yote ni ukiwa. Makuhani wake wote wana sononeka. Mabikra wake wana uzuni na yeye mwenyewe yupo katika ugumu.
5 Njeni nasprotniki so vodilni, njeni sovražniki uspevajo; kajti Gospod jo je prizadel zaradi množice njenih prestopkov. Njeni otroci so odšli v ujetništvo pred sovražnikom.
Maadui wake wamekuwa bwana zake; maadui wake wana fanikiwa. Yahweh amemuadhibu kwa dhambi zake nyingi. Watoto wake wadogo wanaenda matekani kwa maadui zake.
6 Od sionske hčere je odšla vsa njena lepota. Njeni princi so postali podobni jelenom, ki ne najdejo pašnika in odšli so brez moči pred zasledovalcem.
Uzuri umemwacha binti wa Sayuni. Watoto wa mfalme wamekuwa kama ayala ambaye haoni malisho, na wanaenda bila uwezo kwa wanao wakimbiza.
7 V dneh svoje stiske in svojih bed se je [prestolnica] Jeruzalem spomnila vseh svojih prijetnih stvari, ki jih je imela v dneh davnine, ko je njeno ljudstvo padlo v roko sovražnika in ji nihče ni pomagal. Nasprotniki so jo videli in jo zasmehovali pri njenih šabatih.
Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba, Yerusalemu itakumbuka hazina zake za dhamani alizo kuwa nazo awali. Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui, hakuna aliye msaidia. Maadui waliwaona na kucheka maangamizo yake.
8 [Prestolnica] Jeruzalem je bridko grešila, zato je odstranjena. Vsi, ki so jo častili, jo prezirajo, ker so videli njeno nagoto. Da, ona vzdihuje in se obrača nazaj.
Yerusalemu ili tenda dhambi sana, hivyo basi, amedhalillika kama kitu kichafu. Wote walio mheshimu sasa wana mdharau kwa kuwa wameona uchi wake. Anasononeka na kujaribu kugeuka pembeni.
9 Njena umazanost je v krajcih njenih oblačil; ne spominja se svojega zadnjega konca, zato se je čudovito spustila. Nobenega tolažnika ni imela. Oh Gospod, glej mojo stisko, kajti sovražnik se je poveličal.
Amekuwa mchafu chini ya sketi yake. Hakuwaza hatima yake. Anguko lake lilikuwa baya. Hakukuwa na wakumliwaza. Alilia, “Angalia mateso yangu, Yahweh, kwa kuwa adui amekuwa mkuu sana.”
10 Nasprotnik je svojo roko razprostrl nad vse njene prijetne stvari, kajti videla je, da so pogani vstopili v njeno svetišče, katerim si zapovedal, da naj ne vstopijo v tvojo skupnost.
Adui ameeka mkono wake kwenye hazina zetu za dhamani. Ameona mataifa yakiingia sehemu yake takatifu, japo uliamuru wasiingie katika sehemu yako ya kukusanyikia.
11 Vse njeno ljudstvo vzdihuje, iščejo kruh; svoje prijetne stvari so dali za hrano, da podprejo dušo. Glej, oh Gospod in preudari, kajti postala sem ničvredna.
Watu wote wana sononeka wanapo tafuta mkate. Wametoa hazina zao za dhamani kwa ajili ya chakula cha kurejesha uhai wao. Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi, kwa kuwa nimekuwa sina faida.
12 Ali vam ni to nič, vsi vi, ki greste mimo? Glejte in vidite, če je tam kakršnakoli bridkost podobna moji bridkosti, ki mi je storjena, s katero me je Gospod prizadel na dan svoje krute jeze.
Sio kitu kwako, wote mnao pita? Angalia na uone kama kuna mtu mwenye uzuni kama uzuni ninao teswa nao, tangu Yahweh amenitesa mimi katika siku ya hasira yake kali.
13 Od zgoraj je poslal ogenj v moje kosti in ta je prevladal zoper njih. Razprostrl je mrežo za moja stopala, obrnil me je nazaj. Naredil me je zapuščeno in ves dan slabim.
Ni kutoka juu ndipo alipo tuma moto kwenye mifupa yangu na umenishinda. Ametanda nyavu kwa miguu yangu na kunigeuza. Amenifanya ukiwa na dhahifu.
14 Jarem mojih prestopkov je zvezan z njegovo roko. Oviti so in prišli so gor nad moj vrat. Moji moči je storil, da odpove, Gospod me je izročil v njihove roke, pred katerimi se nisem zmožen dvigniti.
Nira ya makosa yangu imefungwa na mikono yake. Zimesokotwa na kuekwa shingoni mwangu. Amefanya uweza wangu kushindwa. Bwana amenikabidhi mikononi mwa, na siwezi kusimama.
15 Gospod je pod stopalom pomendral vse moje mogočne može v moji sredi. Zoper mene je sklical zbor, da zdrobi moje mladeniče. Gospod je pomendral devico, Judovo hčer, kakor v vinski stiskalnici.
Bwana ametupa pembeni wanaume wangu hodari walio niokoa. Ameitisha kusanyiko dhidi yangu kuponda wanaume wangu imara. Bwana amewakanyaga binti bikra wa Yuda kwenye chombo cha kusagia mvinyo.
16 Zaradi teh stvari jokam. Moje oko, moje oko teče dol z vodo, ker je tolažnik, ki naj bi razbremenil mojo dušo, daleč od mene. Moji otroci so zapuščeni, ker je sovražnik prevladal.
Kwa vitu hivi ninalia. Macho yangu, maji yanashuka chini ya macho yangu tangu mfariji aliye paswa kurejesha maisha yangu yuko mbali na mimi. Watoto wangu wamekuwa ukiwa kwasababu adui yangu ameshinda.
17 Sion razširja svoje roke in tam ni nikogar, da jo potolaži. Gospod je zapovedal glede Jakoba, da naj bi bili njegovi nasprotniki naokoli njega. [Prestolnica] Jeruzalem je med njimi kakor ženska, ki ima menstruacijo.
Sayuni ametandaza mikono yake; hakuna wakuwa mliwaza. Yahweh ameamuru hao karibu na Yakobo wawemaadui wake. Yerusalemu ni kitu kichafu kwao.
18 Gospod je pravičen, kajti uprla sem se zoper njegovo zapoved. Poslušajte, prosim vas, vsa ljudstva in glejte mojo bridkost. Moje device in moji mladeniči so odšli v ujetništvo.
Yahweh ni mwenye haki, kwa kuwa nimeasi dhidi ya amri zake. Sikia, ninyi watu, na muone uzuni wangu. Mabikra wangu na wanaume imara wameenda matekani.
19 Poklicala sem svoje ljubimce, toda oni so me zavedli. Moji duhovniki in moje starešine so v mestu izročili duha, medtem ko so iskali svojo hrano, da podprejo svoje duše.
Niliita marafiki zangu, lakini walikuwa na hila kwangu. Makuhani wangu na wazee waliangamia kwenye mji, walipo kuwa wanatafuta chakula cha kurejesha uhai wao.
20 Glej, oh Gospod, kajti v tegobi sem. Moja notranjost je nemirna; moje srce je obrnjeno znotraj mene; kajti neposlušno sem se uprla. Zunaj ropa meč, doma je kakor smrt.
Tazama, Yahweh, kwa kuwa nipo kwenye ugumu; tumbo langu lina nguruma, moyo wangu umetibuka ndani yangu, kwa kuwa nimekuwa muasi sana. Nje, upanga umemliza mama, ndani ya nyumba kuna mauti tu.
21 Slišali so, da sem zavzdihnila. Tam ni nikogar, da me potolaži. Vsi moji sovražniki so slišali o moji stiski; veseli so, da si to storil. Privedel boš dan, ki si ga poklical in oni bodo podobni meni.
Wamesikia sononeko langu, lakini hakuna wakuni liwaza. Maadui zangu wote wamesikia shida zangu na wamefurahi umenifanyia hivi. Umeleta siku uliyo ahidi; sasa acha wawe kama mimi.
22 Naj vsa njihova zlobnost pride predte, in stori jim, kakor si storil meni, zaradi vseh mojih prestopkov, kajti mojih vzdihov je mnogo in moje srce je oslabelo.
Acha uovu wote uje mbele zako. Shughulika nao kama ulivyo shughulika na mimi kwasababu ya makosa yangu yote. Masononeko yangu ni mengi na moyo umezimia.

< Žalostinke 1 >