< Sodniki 4 >

1 Ko je bil Ehúd mrtev, so Izraelovi otroci ponovno počeli zlo v Gospodovih očeh.
Baada ya Ehudi kufa, watu wa Israeli walifanya tena yaliyo mabaya machoni pa Bwana.
2 Gospod jih je prodal v roko kánaanskega kralja Jabína, ki je kraljeval v Hacórju, katerega poveljnik vojske je bil Siserá, ki je prebival v Haróšetu poganov.
Bwana akawatia mkononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyewala huko Hasori. Kamanda wa jeshi lake aitwaye Sisera, naye aliishi Harosheti ya Mataifa.
3 Izraelovi otroci so vpili h Gospodu, kajti imel je devetsto bojnih vozov iz železa in dvajset let je mogočno zatiral Izraelove otroke.
Wana wa Israeli wakamwomba Bwana awasaidie, kwa sababu Sisera alikuwa na magari ya chuma mia tisa na akawashinda wana wa Israeli kwa nguvu kwa miaka ishirini.
4 Ob tistem času je Izraelu sodila prerokinja Debóra, Lapidótova žena.
Basi Debora, nabii wa kike (mke wa Lapidothi), alikuwa mwamuzi anayeongoza katika Israeli wakati huo.
5 Prebivala je pod Debórinim palmovim drevesom med Ramo in Betelom, na gori Efrájim in Izraelovi otroci so prihajali gor k njej za sodbo.
Naye aliketi chini ya mtende wa Debora kati ya Rama na Betheli katika nchi ya mlima wa Efraimu, na watu wa Israeli walimwendea ili kutatua migogoro yao.
6 Poslala je in poklicala Abinóamovega sina Baráka iz Kedeš-Neftálija in mu rekla: »Ali ni Gospod, Izraelov Bog, zapovedal, rekoč: ›Pojdi in odpravi se proti gori Tabor in s seboj vzemi deset tisoč mož izmed Neftálijevih otrok in Zábulonovih otrok?‹
Akamtuma Baraka mwana wa Abinoamu kutoka Kedeshi huko Naftali. Akamwambia, Bwana, Mungu wa Israeli, anakuamuru, Nenda katika mlima wa Tabori, uende pamoja nawe watu elfu kumi kutoka Naftali na Zabuloni.
7 K tebi, k reki Kišón, bom pritegnila Siserája, poveljnika Jabínove vojske, z njegovimi bojnimi vozovi in njegovo množico in izročila ga bom v tvojo roko.«
Nitamfukuza Sisera, jemadari wa jeshi la Yabini, akutane nawe karibu na mto Kishoni, pamoja na magari yake na jeshi lake, na nitakupa ushindi juu yake. '
8 Barák ji je rekel: »Če boš šla z menoj, potem bom šel, če pa ne boš šla z menoj, potem ne bom šel.«
Baraka akamwambia, 'Ikiwa utakwenda nami, nitakwenda, lakini ikiwa huendi pamoja nami, sitaenda.'
9 Rekla je: »Zagotovo bom šla s teboj, vendar potovanje, na katero greš, ne bo v tvojo čast, kajti Gospod bo Siserája prodal v roko ženske.« Debóra je vstala in z Barákom odšla v Kedeš.
Alisema, 'Nitakwenda nawe. Hata hivyo, njia unayoienda haitakupa heshima wewe, kwa kuwa Bwana atamuuza Sisera mkononi mwa mwanamke. Ndipo Debora akainuka, akaenda pamoja na Baraka Kedeshi.
10 Barák je v Kedeš poklical Zábulona in Neftálija in ta je odšel gor z deset tisoč možmi ob svojih stopalih in Debóra je z njim odšla gor.
Baraki akawaita wana wa Zebuloni na Naftali kusanyika Kedeshi. Watu elfu kumi walimfuata, na Debora akaenda pamoja naye.
11 Torej Kenéjec Heber, ki je bil izmed otrok Mojzesovega tasta Hobába, se je oddvojil od Kenéjcev in si svoj šotor postavil na ravnini Caananím, ki je pri Kedešu.
Heberi (Mkeni) alijitenganisha na Wakeni - walikuwa wazao wa Hobabu (mkwe wa Musa) - na akaweka hema yake mwaloni uliopo huko Saanaimu karibu na Kedesh.
12 Siseráju so naznanili, da je Abinóamov sin Barák odšel gor h gori Tabor.
Walipomwambia Sisera kwamba Baraka, mwana wa Abinoamu, alikuwa amekwenda mlima wa Tabori,
13 Siserá je zbral skupaj vse svoje bojne vozove, devetsto železnih bojnih vozov in vse ljudstvo, ki je bilo z njim, od Haróšeta poganov do reke Kišón.
Sisera akawaita magari yake yote, magari ya farasi mia tisa, na askari wote waliokuwa pamoja naye, kutoka Haroshethi ya Mataifa mpaka Mto Kishoni.
14 Debóra je rekla Baráku: »Vstani, kajti to je dan, na katerega je Gospod izročil Siserája v tvojo roko. Ali ni Gospod šel ven pred teboj?« Tako je Barák odšel dol z gore Tabor in deset tisoč mož za njim.
Debora akamwambia Baraka, Nenda! Kwa maana hii ndiyo siku ambayo Bwana amekupa ushindi juu ya Sisera. Je! si Bwana anayekuongoza? Basi Baraka akashuka kutoka mlima wa Tabori na watu kumi elfu wakamfuata.
15 Gospod je pred Barákom z ostrino meča porazil Siserája, vse njegove bojne vozove in vso njegovo vojsko, tako da se je Siserá spustil iz svojega bojnega voza in pobegnil na svojih stopalih.
Bwana alifanya jeshi la Sisera kuchanganyikiwa, magari yake yote, na jeshi lake lote. Watu wa Baraka waliwashinda na Sisera akaanguka kutoka kwenye gari lake na kukimbia kwa miguu.
16 Toda Barák je zasledoval bojne vozove in vojsko do Haróšeta poganov in vsa Siserájeva vojska je padla na ostrino meča in niti mož ni preostal.
Lakini Baraka akayafuata magari na jeshi mpaka Haroshethi ya Mataifa, na jeshi lote la Sisera likauawa kwa upanga, wala hakuna mtu aliyeokoka.
17 Vendar je Siserá na svojih stopalih pobegnil proč k šotoru Jaéle, žene Kenéjca Heberja, kajti mir je bil med Jabínom, kraljem Hacórja in hišo Kenéjca Heberja.
Lakini Sisera akakimbia kwa miguu mpaka hema ya Yaeli, mkewe Heberi Mkeni; kwa sababu kulikuwa na amani kati ya Yabini mfalme wa Hazori, na nyumba ya Heberi Mkeni.
18 Jaéla je odšla ven, da sreča Siserája ter mu rekla: »Zavij noter, moj gospod, zavij noter k meni. Ne boj se.« Ko je zavil noter, k njej v šotor, ga je pokrila z ogrinjalom.
Jaeli akatoka kumlaki Sisera, akamwambia, karibu, bwana wangu; karibu kwangu, wala usiogope. Basi akakaribia kwake, akaingia hemani kwake, naye akamvika bushuti.
19 Rekel ji je: »Daj mi, prosim te, piti malo vode, kajti žejen sem.« Odprla je meh mleka, mu dala piti in ga pokrila.
Akamwambia, Tafadhali nipe maji kidogo ninywe, kwa maana nina kiu. Alifungua mfuko wa ngozi ya maziwa akampa anywe, kisha akamfunika tena.
20 Ponovno ji je rekel: »Stoj v vratih šotora in zgodilo se bo, ko pride katerikoli mož in od tebe poizveduje in reče: ›Ali je tam kakšen mož, ‹ da boš rekla: ›Ne.‹
Akamwambia, “Simama mlangoni pa hema. Ikiwa mtu atakuja na kukuuliza, 'Je, kuna mtu hapa?', Sema 'Hapana'.”
21 Potem je Heberjeva žena Jaéla vzela šotorski klin in v svojo roko vzela kladivo in po tiho odšla k njemu in klin zabila v njegova sènca in ga pritrdila k tlom, kajti trdno je zaspal in bil je izmučen. Tako je umrl.
Kisha Jaeli (mke wa Heberi) akachukua kigingi cha hema na nyundo mkononi mwake akamwendea kwa siri, kwa sababu alikuwa amelala usingizi mzito, naye akakitia kigingi cha hema upande wa kichwa chake akamchoma na kikapenya kushuka chini. Hivyo akafa.
22 Glej, ko je Barák zasledoval Siserája, je Jaéla prišla ven, da ga sreča ter mu rekla: »Pridi in pokazala ti bom moža, ki ga iščeš.« Ko je vstopil v njen šotor, glej, Siserá je ležal mrtev in klin je bil v njegovih sèncih.
Baraka alipokuwa akimfuata Sisera, Jaeli alitoka kukutana naye akamwambia, “Njoo, nitakuonyesha mtu unayemtafuta.” Basi akaingia pamoja naye, tazama Sisera amekufa, na kigingi cha hema kando ya kichwa chake.
23 Tako je Bog na ta dan pred Izraelovimi otroki podjarmil kánaanskega kralja Jabína.
Basi siku hiyo Mungu alimshinda Jabin, mfalme wa Kanaani, mbele ya watu wa Israeli.
24 Roka Izraelovih otrok je uspevala in prevladala zoper kánaanskega kralja Jabína, dokler niso uničili kánaanskega kralja Jabína.
Uwezo wa watu wa Israeli ulikua na nguvu zaidi dhidi ya Jabin mfalme wa Kanaani, hata walipomwangamiza.

< Sodniki 4 >