< Job 31 >

1 Sklenil sem zavezo s svojimi očmi. Zakaj naj bi potem mislil na devico?
Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
2 Kajti kakšen delež od Boga je od zgoraj? In kakšna dediščina od Vsemogočnega od zgoraj?
Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
3 Mar ni uničenje za zlobne? In posebna kazen za delavce krivičnosti?
Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
4 Mar on ne vidi mojih poti in šteje vse moje korake?
Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
5 Če sem hodil z ničnostjo ali če je moje stopalo hitelo k prevari,
Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
6 naj bom stehtan na pravilni tehtnici, da Bog lahko spozna mojo neokrnjenost.
na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
7 Če se je moj korak obrnil iz poti in je moje srce hodilo za mojimi očmi in če se je kakršenkoli madež prilepil na moje roke,
Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
8 potem naj jaz sejem in naj drug jé. Da, naj bo moje potomstvo izkoreninjeno.
na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
9 Če je bilo moje srce zavedeno z žensko, ali če sem prežal pri vratih svojega soseda,
Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
10 potem naj moja žena melje drugemu in naj se drugi sklanjajo nadnjo.
na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
11 Kajti to je grozoten zločin. Da, to je krivičnost, ki naj se kaznuje s sodniki.
Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
12 Kajti to je ogenj, ki použiva v uničenje in bi izkoreninil ves moj donos.
Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
13 Če sem preziral zadevo svojega sluga ali svoje dekle, ko so se pričkali z menoj,
Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
14 kaj bom potem storil, ko se dvigne Bog? In ko on obiskuje, kaj naj mu odgovorim?
kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
15 Mar ni on, ki me je naredil v maternici, naredil njega? Ali naju ni eden oblikoval v maternici?
Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
16 Če sem uboge zadržal pred njihovo željo, ali očem vdove storil, da opešajo,
kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
17 ali sem sam pojedel svoj grižljaj in osiroteli ni jedel od njega
au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
18 (kajti od moje mladosti je bil vzgajan z menoj kakor z očetom in usmerjal sem jo od maternice svoje matere),
kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
19 če sem gledal kogarkoli giniti zaradi pomanjkanja obleke ali kateregakoli revnega brez pokrivala,
ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
20 če me njegova ledja niso blagoslovila in če ni bil ogret z runom moje ovce;
ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
21 če sem povzdignil svojo roko zoper osirotelega, ko sem videl svojo pomoč v velikih vratih,
ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
22 potem naj moj laket pade od moje lopatice in moj laket [naj] bo odlomljen od kosti.
Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
23 Kajti uničenje od Boga mi je bilo strahota in zaradi razloga njegovega visočanstva ne bi mogel zdržati.
Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
24 Če sem zlato naredil za svoje upanje ali sem čistemu zlatu rekel: › Ti si moje zaupanje, ‹
Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
25 če sem se veselil, ker je bilo moje premoženje veliko in ker je moja roka veliko pridobila,
na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
26 če sem pogledal sonce, ko je sijalo ali luno hoditi v sijaju
Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
27 in je bilo moje srce skrivno premamljeno, oziroma so moja usta poljubila mojo roko?
na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
28 Tudi to bi bila krivičnost, da bi bil kaznovan od sodnika, kajti jaz bi zanikal Boga, ki je zgoraj.
hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
29 Če sem se veselil ob uničenju tistega, ki me je sovražil ali sem se povzdignil, ko ga je našlo zlo,
Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
30 niti svojim ustom nisem dopustil, da grešijo z želenjem prekletstva njegovi duši.
Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
31 Če možje mojega šotora niso rekli: ›Oh, da bi imeli njegovo meso! Ne moremo biti zadovoljni.‹
Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
32 Tujec ni prenočeval na ulici, temveč sem svoja vrata odprl popotniku.
(hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
33 Če sem svoje prestopke pokril kakor Adam, s skrivanjem svoje krivičnosti v svojem naročju,
Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
34 ali sem se bal velike množice, ali me straši zaničevanje družin, da sem molčal in nisem šel izpred vrat?
kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
35 Oh, da bi me nekdo poslušal! Glej, moja želja je, da bi mi Vsemogočni odgovoril in da bi moj nasprotnik napisal knjigo.
Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
36 Zagotovo bi to vzel na svojo ramo in si to privezal kot krono.
Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
37 Prikazal bi mu število mojih korakov. Kakor princ bi šel blizu k njemu.
Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
38 Če moja dežela joka zoper mene ali da se njene brazde podobno pritožujejo,
Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
39 če sem brez denarja pojedel njene sadove ali sem njenim lastnikom povzročil, da izgubijo svoje življenje,
ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
40 naj osat raste namesto pšenice in smrdljiv plevel namesto ječmena.« Jobove besede so končane.
ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.

< Job 31 >