< Jeremija 38 >
1 Potem so Matánov sin Šefatjá, Pašhúrjev sin Gedaljá, Šelemjájev sin Juhál in Malkijájajev sin Pašhúr slišali besede, ki jih je Jeremija govoril vsemu ljudstvu, rekoč:
Shefatia mwana wa Matani, na Gedalia mwana wa Pashuri, na Yehukali mwana wa Shelemia, na Pashuri mwana wa Malkiya wakasikia kile Yeremia alichokuwa akiwaambia watu wote wakati aliposema,
2 »Tako govori Gospod: ›Kdor preostaja v tem mestu, bo umrl pod mečem, z lakoto in s kužno boleznijo, toda kdor gre naprej h Kaldejcem, bo živel, kajti svoje življenje bo imel za plen in bo živel.‹
“Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Yeyote akaaye ndani ya mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni, lakini yeyote atakayejisalimisha kwa Wakaldayo ataishi. Atakayeyatoa maisha yake kama nyara, ataishi.’
3 Tako govori Gospod: ›To mesto bo zagotovo izročeno v roko kralja babilonske vojske, ki ga bo zavzel.‹«
Tena hili ndilo asemalo Bwana: ‘Mji huu kwa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli, ambaye atauteka.’”
4 Zato so princi rekli kralju: »Rotimo te, naj bo ta človek usmrčen, kajti on tako slabi roke bojevnikov, ki preostajajo v tem mestu in roke vsega ljudstva, ko jim govori takšne besede, kajti ta človek ne išče blaginje tega ljudstva, temveč škodo.«
Ndipo maafisa wakamwambia mfalme, “Mtu huyu imempasa kuuawa. Anawakatisha tamaa askari waliobaki katika mji huu, vivyo hivyo na watu wote pia, kwa ajili ya mambo anayowaambia. Mtu huyu hawatakii mema watu hawa, bali maangamizi yao.”
5 Potem je kralj Sedekíja rekel: »Glejte, v vaši roki je, kajti kralj ni tisti, ki lahko stori kakršnokoli stvar zoper vas.«
Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko mikononi mwenu! Mfalme hawezi kufanya lolote kuwapinga ninyi.”
6 Potem so prijeli Jeremija in ga vrgli v odprtino jame Malkijája, sina Hameleha, ki je bila na dvorišču ječe in Jeremija so spustili dol z vrvmi. Tam v jami pa ni bilo vode, ampak blato. Tako se je Jeremija pogreznil v blato.
Basi wakamchukua Yeremia na kumtia kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme, kilichokuwa katika ua wa walinzi. Wakamteremsha Yeremia kwa kamba ndani ya kisima. Hakikuwa na maji ndani yake, ila tope tu, naye Yeremia akazama ndani ya matope.
7 Torej ko je Ebed Meleh, Etiopijec, eden izmed evnuhov, ki je bil v kraljevi hiši, slišal, da so Jeremija vtaknili v jamo; kralj je takrat sedel v Benjaminovih velikih vratih;
Lakini Ebed-Meleki Mkushi, aliyekuwa afisa katika jumba la kifalme, akasikia kuwa walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya kisima. Wakati mfalme alipokuwa ameketi katika Lango la Benyamini,
8 je Ebed Meleh odšel naprej iz kraljeve hiše in kralju spregovoril, rekoč:
Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,
9 »Moj gospod kralj, ti možje so storili zlo v vsem, kar so storili preroku Jeremiju, ki so ga vrgli v jamo, in verjetno bo umrl zaradi lakote na kraju, kjer je, kajti v mestu ni več kruha.«
“Mfalme bwana wangu, watu hawa wamefanya uovu kwa yote waliomtendea nabii Yeremia. Wamemtupa ndani ya kisima, mahali ambapo atakufa kwa njaa wakati ambapo hakuna chakula popote katika mji.”
10 Potem je kralj ukazal Etiopijcu Ebed Melehu, rekoč: »Vzemi od tod trideset mož s seboj in dvigni preroka Jeremija iz jame, preden umre.«
Basi mfalme akamwamuru Ebed-Meleki Mkushi, akisema, “Chukua watu thelathini kutoka hapa pamoja nawe, mkamtoe nabii Yeremia huko kwenye kisima kabla hajafa.”
11 Tako je Ebed Meleh s seboj vzel može in odšel v kraljevo hišo pod zakladnico in od tam vzel stara zakrpana oblačila in stare cunje ter jih z vrvmi spustil dol v jamo k Jeremiju.
Basi Ebed-Meleki akawachukua watu pamoja naye, wakaenda mpaka kwenye chumba kilichoko chini ya hazina ndani ya jumba la kifalme. Akachukua matambaa makuukuu pamoja na nguo zilizochakaa kutoka huko, na kumshushia Yeremia kwa kamba ndani ya kisima.
12 Etiopijec Ebed Meleh je rekel Jeremiju: »Deni si ta stara zakrpana oblačila in stare cunje pod svoja ramena pod vrvi.« Jeremija je tako storil.
Ebed-Meleki Mkushi akamwambia Yeremia, “Weka haya matambaa makuukuu na hizo nguo zilizochakaa makwapani ili kuzuia kamba.” Yeremia akafanya hivyo,
13 Tako so Jeremija potegnili gor z vrvmi in ga vzeli iz jame in Jeremija je ostal na dvorišču ječe.
nao wakamvuta juu kwa kamba na kumtoa katika kisima. Yeremia akakaa katika ua wa walinzi.
14 Potem je kralj Sedekíja poslal in vzel preroka Jeremija k sebi v tretji vhod, ki je v Gospodovi hiši. Kralj je rekel Jeremiju: »Vprašal te bom stvar, ničesar ne prikrij pred menoj.«
Ndipo Mfalme Sedekia akatuma watu wamwitie nabii Yeremia wamlete kwake kwenye ingilio la tatu la Hekalu la Bwana. Mfalme akamwambia Yeremia, “Ninataka kukuuliza jambo fulani, usinifiche kitu chochote.”
15 Potem je Jeremija rekel Sedekíju: »Če ti to razglasim, mar me ne boš zagotovo usmrtil? In če ti dam nasvet, mar mi boš prisluhnil?«
Yeremia akamwambia Sedekia, “Nikikupa jibu, je, hutaniua? Hata kama nikikupa shauri, wewe hutanisikiliza.”
16 Tako je kralj Sedekíja na skrivnem prisegel Jeremiju, rekoč: » Kakor živi Gospod, ki nam je naredil to dušo, te ne bom usmrtil niti te ne bom dal v roko teh mož, ki ti strežejo po življenju.«
Lakini Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia kiapo hiki kwa siri, akisema, “Hakika kama aishivyo Bwana, ambaye ametupa pumzi, sitakuua wala sitakutia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wako.”
17 Potem je Jeremija rekel Sedekíju: »Tako govori Gospod, Bog nad bojevniki, Izraelov Bog: ›Če boš zagotovo šel naprej k princem babilonskega kralja, potem bo tvoja duša živela in to mesto ne bo sežgano z ognjem in živel boš ti in tvoja hiša,
Kisha Yeremia akamwambia Sedekia, “Hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Ikiwa utajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, maisha yako yatasalimika, na mji huu hautateketezwa kwa moto. Pia wewe na jamaa yako mtaishi.
18 toda če ne boš šel naprej k princem babilonskega kralja, potem bo to mesto dano v roke Kaldejcem in požgali ga bodo z ognjem in ne boš pobegnil iz njihove roke.«
Lakini ikiwa hutajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, mji huu utatiwa mikononi mwa Wakaldayo na watauteketeza kwa moto, nawe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao.’”
19 Kralj Sedekíja pa je rekel Jeremiju: »Bojim se Judov, ki so prebegnili h Kaldejcem, da me ne bi izročili v njihovo roko in bi se mi posmehovali.«
Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia, “Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbilia kwa Wakaldayo, kwa kuwa Wakaldayo wanaweza kunitia mikononi mwao, nao wakanitenda vibaya.”
20 Toda Jeremija je rekel: »Ne bodo te izročili. Ubogaj, rotim te, glas Gospoda, ki ti ga govorim. Tako bo dobro s teboj in tvoja duša bo živela.
Yeremia akajibu, “Hawatakutia mikononi mwao. Mtii Bwana kwa kufanya kile ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha yako yatakuwa salama.
21 Toda če zavrneš iti naprej, je to beseda, ki mi jo je pokazal Gospod:
Lakini ukikataa kujisalimisha, hili ndilo Bwana alilonifunulia:
22 ›Glej, vse ženske, ki so preostale v hiši Judovega kralja, bodo privedene k princem babilonskega kralja in te ženske bode rekle: ›Tvoji prijatelji so te zavedli in prevladali zoper tebe. Tvoja stopala so pogreznjena v blato in oni so se umaknili nazaj.‹
Wanawake wote walioachwa katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda wataletwa mbele ya maafisa wa mfalme wa Babeli. Wanawake hao watakuambia: “‘Walikupotosha na kukushinda, wale rafiki zako uliowaamini. Miguu yako imezama matopeni; rafiki zako wamekuacha.’
23 Tako bodo privedli ven vse tvoje žene in tvoje otroke h Kaldejcem in ne boš ušel iz njihove roke, temveč boš zajet z roko babilonskega kralja in povzročil boš, da bo to mesto sežgano z ognjem.‹«
“Wake zako wote na watoto wataletwa na kutiwa mikononi mwa Wakaldayo. Wewe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao. Lakini utatekwa na mfalme wa Babeli, na mji huu utateketezwa kwa moto.”
24 Potem je Sedekíja rekel Jeremiju: »Naj noben človek ne izve o teh besedah in ne boš umrl.
Kisha Sedekia akamwambia Yeremia, “Usiruhusu mtu yeyote ajue kuhusu haya mazungumzo, la sivyo utakufa.
25 Toda če princi slišijo, da sem govoril s teboj in pridejo k tebi in ti rečejo: ›Razglasi nam sedaj, kaj si rekel kralju, ne skrivaj tega pred nami in ne bomo te usmrtili; in tudi kaj je kralj rekel tebi.‹
Maafisa wakisikia kwamba nimezungumza nawe, nao wakakujia na kusema, ‘Tuambie kile ulichozungumza na mfalme na kile mfalme alichokuambia, usitufiche au sivyo tutakuua,’
26 Potem jim boš rekel: ›Svojo ponižno prošnjo sem predstavil pred kraljem, da mi ne bi povzročil, da se vrnem v Jonatanovo hišo, da bi tam umrl.‹
basi waambie, ‘Nilikuwa ninamsihi mfalme asinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani nisije nikafia humo.’”
27 Potem so prišli vsi princi k Jeremiju in ga vprašali in ta jim je povedal glede na vse te besede, ki jih je kralj zapovedal. Tako so prenehali govoriti z njim, kajti zadeva ni bila zaznana.
Maafisa wote wakamjia Yeremia na kumuuliza, naye Yeremia akawaambia kila kitu mfalme alichomwagiza kusema. Kisha hawakusema lolote zaidi na Yeremia kwa sababu hakuna yeyote aliyesikia mazungumzo yake na mfalme.
28 Tako je Jeremija prebival na dvorišču ječe do dne, ko je bil Jeruzalem zavzet. Bil je tam, ko je bil Jeruzalem zavzet.
Naye Yeremia akabaki katika ua wa walinzi hadi siku Yerusalemu ilipotekwa.